19 waliokimbia kukeketwa hawajapokelewa na wazazi
Wasichana 19 kati ya 117 waliokimbia kukeketwa katika Wilaya za Ngorongoro mkoani Arusha na Tarime mkoani Mara, hawajapokelewa na wazazi wao na kuhifadhiwa Kituo cha Nyumba Salama kilichopo wilayani hapa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Y8Xf2kBXWFm6*sqGkuxv8iy3Txrf0FG94EX9I4nqH9rlLT0NPEYPqd1uMBac*RIHq9uIrJKrmTXKu74TnpT-RnvsHUcI7VXQ/esha.jpg)
ESHA BUHETI AWASHANGAA WALIOKIMBIA UCHAGUZI
9 years ago
Mwananchi27 Dec
2,000 wakimbia kukeketwa Tarime
11 years ago
BBCSwahili24 Jul
ISIS yaagiza wanawake wote kukeketwa.
11 years ago
CloudsFM24 Jul
ISIS yaagiza wanawake wote kukeketwa.
Umoja wa Mataifa umeelezea ghadhabu kutokana na Fatwa iliyotolewa na Kundi la wapiganaji wa Kiislamu wa ISIS ya kuwataka wanawake wote waliozidi umri wa miaka 11 kukeketwa.
Afisa wa shirika la umoja wa mataifa nchini Iraq ,Jacqueline Badcock ameonya kuwa agizo hilo la kidini ama Fatwa itawaathiri zaidi ya wanawake milioni nne kati ya umri wa miaka 11-46.
ISIS yaagiza wanawake wote kuanzia umri wa miaka 11-46 kukeketwa.
Bi Badcock alisema kuwa utamaduni huo ni jambo geni sana nchini Iraq na...
9 years ago
Mwananchi29 Dec
Wanafunzi 150 Serengeti wakimbia kukeketwa
11 years ago
Habarileo22 Dec
Mabinti 406 wakimbia kwao wakikwepa kukeketwa
WATOTO wa kike 406 wakiwemo wanafunzi kutoka shule za msingi na sekondari wilayani Tarime mkoani Mara, wamekimbia makwao na kwenda kuhifadhiwa katika kambi ya Kanisa Katoliki Masanga.
11 years ago
Mwananchi15 Jun
Usiku kuchangia jengo la wasichana wanaokwepa kukeketwa Tanzania
10 years ago
Vijimambo17 Mar
2,000 wakimbia kwao kwa hofu ya kukeketwa Tarime.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/CDF-17March2015.jpg)
Wasichana 2,003 wamezokimbia familia zao na kwenda kuishi katika kituo cha Masanga Wilaya ya Tarime mkoani Mara kwa hofu ya kukeketwa na wazazi wao.
Hayo yalibainishwa na Mlezi wa kituo hicho, Germaine Baibika, wakati akizungumza kwenye mkutano wa wadau wa kupinga ukeketaji ulioandaliwa na Shirika la Jukwaa la Utu wa Mtoto (CDF) uliowashirikisha wadau wa kupinga ukeketaji na ndoa za utotoni.
Baibika alisema takwimu hizo ni tangu mwaka 2008 na idadi hiyo ni tangu walipoanza kupokea wasichana...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NFpLPbeZNYBWjxAVMyo6KgcBC9RYCNPd-z7IDOGyFZ3DKAPW6Aa-ylnWJqteO8iFhb3REy1HX367DL2eCdlcrZ71Xgm2sk9I/tarime.jpg?width=650)
AKATWA PANGA NA MUMEWE KISA, KUZUIA MTOTO KUKEKETWA