2,000 wakimbia kwao kwa hofu ya kukeketwa Tarime.
Wasichana 2,003 wamezokimbia familia zao na kwenda kuishi katika kituo cha Masanga Wilaya ya Tarime mkoani Mara kwa hofu ya kukeketwa na wazazi wao.
Hayo yalibainishwa na Mlezi wa kituo hicho, Germaine Baibika, wakati akizungumza kwenye mkutano wa wadau wa kupinga ukeketaji ulioandaliwa na Shirika la Jukwaa la Utu wa Mtoto (CDF) uliowashirikisha wadau wa kupinga ukeketaji na ndoa za utotoni.
Baibika alisema takwimu hizo ni tangu mwaka 2008 na idadi hiyo ni tangu walipoanza kupokea wasichana...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi27 Dec
2,000 wakimbia kukeketwa Tarime
11 years ago
Habarileo22 Dec
Mabinti 406 wakimbia kwao wakikwepa kukeketwa
WATOTO wa kike 406 wakiwemo wanafunzi kutoka shule za msingi na sekondari wilayani Tarime mkoani Mara, wamekimbia makwao na kwenda kuhifadhiwa katika kambi ya Kanisa Katoliki Masanga.
9 years ago
Mwananchi29 Dec
Wanafunzi 150 Serengeti wakimbia kukeketwa
10 years ago
Habarileo07 Oct
Amkata mke viwiko kwa kupeleka 400,000/- kwao
POLISI mkoani Kigoma inamshikilia Abona Daniel mkazi wa Kijiji cha Singunga Wilaya ya Uvinza mkoani Kigoma kwa tuhuma za kumkata mke wake viwiko vya mikono kwa panga na kumsababishia ulemavu.
10 years ago
BBCSwahili30 Jun
Warundi 10,000 wakimbia nchi wikendi
10 years ago
BBCSwahili28 Aug
WHO:Hofu ya 20,000 kuambukizwa Ebola
5 years ago
AnandTech26 Mar
Folding@Home Reaches Exascale: 1,500,000,000,000,000,000 Operations Per Second for COVID-19
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-pihtLkzYk90/VhGiZUANexI/AAAAAAAD__0/_ZbZtsc1GXA/s72-c/FullSizeRender_1.jpg)
MDAU WA VIJIMAMBO AKIWA KIJIJI KWAO MKATAA KWAO MTUMWA
![](http://1.bp.blogspot.com/-pihtLkzYk90/VhGiZUANexI/AAAAAAAD__0/_ZbZtsc1GXA/s640/FullSizeRender_1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-G9zPTFn7vBM/VhGiZkaa0lI/AAAAAAAD__4/KcoSS-_deYU/s640/FullSizeRender_2.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-4nOD85cy-JI/XrAP1445Y3I/AAAAAAALpEM/t-N40Mx7iiUSqB_uJZnG_jTAZcDRo-MxwCLcBGAsYHQ/s72-c/852.jpg)
WAJUMBE KAMATI YA WAWAKILISHI CCM ZANZIBAR WATENGA MILIONI 33,000,000/- ZITAKAZOTUMIKA UTENGENEZAJI WA BARAKOA NA KUSAMBAZWA KWA WANANCHI
![](https://1.bp.blogspot.com/-4nOD85cy-JI/XrAP1445Y3I/AAAAAAALpEM/t-N40Mx7iiUSqB_uJZnG_jTAZcDRo-MxwCLcBGAsYHQ/s640/852.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-WOOCBWjbdAY/XrAP0103RXI/AAAAAAALpEI/2S24djwDQ0Ed5ZX15Hfyyus3rsrYiKeMwCLcBGAsYHQ/s640/784.jpg)