WHO:Hofu ya 20,000 kuambukizwa Ebola
Shirika la WHO limeonya kuwa ugonjwa wa Ebola huko Afrika Magharibi huenda ukawaambukiza zaidi ya watu 20,000 kabla haujadhibitiwa.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo17 Mar
2,000 wakimbia kwao kwa hofu ya kukeketwa Tarime.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/CDF-17March2015.jpg)
Wasichana 2,003 wamezokimbia familia zao na kwenda kuishi katika kituo cha Masanga Wilaya ya Tarime mkoani Mara kwa hofu ya kukeketwa na wazazi wao.
Hayo yalibainishwa na Mlezi wa kituo hicho, Germaine Baibika, wakati akizungumza kwenye mkutano wa wadau wa kupinga ukeketaji ulioandaliwa na Shirika la Jukwaa la Utu wa Mtoto (CDF) uliowashirikisha wadau wa kupinga ukeketaji na ndoa za utotoni.
Baibika alisema takwimu hizo ni tangu mwaka 2008 na idadi hiyo ni tangu walipoanza kupokea wasichana...
5 years ago
AnandTech26 Mar
Folding@Home Reaches Exascale: 1,500,000,000,000,000,000 Operations Per Second for COVID-19
10 years ago
BBCSwahili03 Jul
Hofu ya Ebola DRC
10 years ago
BBCSwahili10 Oct
Ebola:Hofu ya maambukizi zaidi
10 years ago
Mtanzania12 Aug
Hofu ya Ebola yatanda nchini
NA EDITHA KARLO, KIGOMA
RAIA wa Burundi aliyetambulika kwa jina la Buchumi Joel (39), amefariki dunia baada ya kuugua ugonjwa wenye dalili sawa na Ebola, ikiwa ni pamoja na kutokwa na damu sehemu mbalimbali za mwili wake.
Madaktari, wauguzi na ndugu waliomuhudumia mgonjwa huyo, wamewekwa chini ya uangalizi maalumu kwa siku 21 kama hatua ya tahadhari, huku wakisubiri kupokea majibu ya sampuli za vipimo ili kubaini iwapo kweli ni ugonjwa wa Ebola ama la.
Akizungumza na waandishi wa habari...
11 years ago
BBCSwahili07 Aug
Ebola yazua hofu Nigeria
10 years ago
Tanzania Daima30 Aug
Hofu ya ebola Mtwara waunda kamati
KUTOKANA na ugonjwa wa Ebola kuenea katika baadhi ya nchi ikiwemo jirani ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), hospitali ya Rufaa ya Ligula mjini hapa, imeunda timu ya usimamizi...
10 years ago
BBCSwahili13 Nov
Ebola:Hofu ya waisilamu kuhusu maziko
10 years ago
BBCSwahili14 Aug
Hofu ya Ebola Tanzania, mmoja ahofiwa