Hofu ya Ebola Tanzania, mmoja ahofiwa
Kuna taarifa ya kuwepo kwa mtu mmoja anayehisiwa kuwa na virusi vya ugonjwa wa Ebola nchini Tanzania.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili03 Jul
Hofu ya Ebola DRC
11 years ago
BBCSwahili07 Aug
Ebola yazua hofu Nigeria
10 years ago
BBCSwahili10 Oct
Ebola:Hofu ya maambukizi zaidi
10 years ago
BBCSwahili28 Aug
WHO:Hofu ya 20,000 kuambukizwa Ebola
10 years ago
Mtanzania12 Aug
Hofu ya Ebola yatanda nchini
NA EDITHA KARLO, KIGOMA
RAIA wa Burundi aliyetambulika kwa jina la Buchumi Joel (39), amefariki dunia baada ya kuugua ugonjwa wenye dalili sawa na Ebola, ikiwa ni pamoja na kutokwa na damu sehemu mbalimbali za mwili wake.
Madaktari, wauguzi na ndugu waliomuhudumia mgonjwa huyo, wamewekwa chini ya uangalizi maalumu kwa siku 21 kama hatua ya tahadhari, huku wakisubiri kupokea majibu ya sampuli za vipimo ili kubaini iwapo kweli ni ugonjwa wa Ebola ama la.
Akizungumza na waandishi wa habari...
10 years ago
BBCSwahili13 Nov
Ebola:Hofu ya waisilamu kuhusu maziko
10 years ago
BBCSwahili28 Aug
Ebola:Hofu yaendelea kutanda A.Magharibi
10 years ago
BBCSwahili27 Aug
Ebola: Hofu yatanda Afrika Mashariki
10 years ago
Habarileo27 Oct
Muumini aomba mwongozo hofu ya ebola
LICHA ya Serikali kusisitiza ugonjwa wa ebola haujaingia nchini, hofu juu ya ugonjwa huo imeendelea kutanda, kiasi cha waumini wa Kanisa Katoliki, Kigango cha Nundu katika Parokia ya Nyakato jijini Mwanza kulazimika kuomba mwongozo wa Kanisa juu ya namna ya kuepuka kugusana wakiwa kanisani.