Muumini aomba mwongozo hofu ya ebola
LICHA ya Serikali kusisitiza ugonjwa wa ebola haujaingia nchini, hofu juu ya ugonjwa huo imeendelea kutanda, kiasi cha waumini wa Kanisa Katoliki, Kigango cha Nundu katika Parokia ya Nyakato jijini Mwanza kulazimika kuomba mwongozo wa Kanisa juu ya namna ya kuepuka kugusana wakiwa kanisani.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili19 Oct
Ebola:Rais wa Liberia aomba ushirikiano
10 years ago
StarTV03 Dec
Obama aomba fedha kukabili Ebola.
Rais wa Marekani Barack Obama ametoa wito kwa chama cha Congress kupitisha kiasi cha dola bilion 6 kwa lengo la kukabiliana na mlipuko wa ugonjwa hatari wa Ebola katika nchi za Afrika Magharibi.
Obama amesema hayo muda mfupi baada ya kutembelea taasisi ya taifa afya nchini humo,ambapo aliwapongeza madaktari na wanasayanzi kwa kazi nzuri wanayoifanya kukabiliana na ugonjwa huo.
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/304/amz/worldservice/live/assets/images/2014/11/29/141129163449_ebola_death_304x171__nocredit.jpg)
Inakadiriwa kuwa takriban watu 7,000 wamekufa kutokana na ugonjwa wa Ebola katika nchi za...
10 years ago
BBCSwahili03 Dec
Obama aomba fedha kukabili Ebola
10 years ago
BBCSwahili03 Jul
Hofu ya Ebola DRC
11 years ago
BBCSwahili07 Aug
Ebola yazua hofu Nigeria
10 years ago
BBCSwahili10 Oct
Ebola:Hofu ya maambukizi zaidi
10 years ago
BBCSwahili28 Aug
WHO:Hofu ya 20,000 kuambukizwa Ebola
10 years ago
Mtanzania12 Aug
Hofu ya Ebola yatanda nchini
NA EDITHA KARLO, KIGOMA
RAIA wa Burundi aliyetambulika kwa jina la Buchumi Joel (39), amefariki dunia baada ya kuugua ugonjwa wenye dalili sawa na Ebola, ikiwa ni pamoja na kutokwa na damu sehemu mbalimbali za mwili wake.
Madaktari, wauguzi na ndugu waliomuhudumia mgonjwa huyo, wamewekwa chini ya uangalizi maalumu kwa siku 21 kama hatua ya tahadhari, huku wakisubiri kupokea majibu ya sampuli za vipimo ili kubaini iwapo kweli ni ugonjwa wa Ebola ama la.
Akizungumza na waandishi wa habari...
10 years ago
BBCSwahili14 Aug
Hofu ya Ebola Tanzania, mmoja ahofiwa