Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Muumini aomba mwongozo hofu ya ebola

LICHA ya Serikali kusisitiza ugonjwa wa ebola haujaingia nchini, hofu juu ya ugonjwa huo imeendelea kutanda, kiasi cha waumini wa Kanisa Katoliki, Kigango cha Nundu katika Parokia ya Nyakato jijini Mwanza kulazimika kuomba mwongozo wa Kanisa juu ya namna ya kuepuka kugusana wakiwa kanisani.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Ebola:Rais wa Liberia aomba ushirikiano

Rais wa Liberia Ellen Johnson Sirleaf ametoa wito kwa nchi zote duniani kusadia kupambana na ugonjwa wa Ebola.

 

10 years ago

StarTV

Obama aomba fedha kukabili Ebola.

Rais wa Marekani Barack Obama ametoa wito kwa chama cha Congress kupitisha kiasi cha dola bilion 6 kwa lengo la kukabiliana na mlipuko wa ugonjwa hatari wa Ebola katika nchi za Afrika Magharibi.

Obama amesema hayo muda mfupi baada ya kutembelea taasisi ya taifa afya nchini humo,ambapo aliwapongeza madaktari na wanasayanzi kwa kazi nzuri wanayoifanya kukabiliana na ugonjwa huo.

Mazishi wagonjwa wa Ebola

Inakadiriwa kuwa takriban watu 7,000 wamekufa kutokana na ugonjwa wa Ebola katika nchi za...

 

10 years ago

BBCSwahili

Obama aomba fedha kukabili Ebola

Rais wa Marekani Barack Obama ametoa wito kwa chama cha Congress kupitisha kiasi cha dola bilion 6 ili kuikabili Ebola.

 

10 years ago

BBCSwahili

Hofu ya Ebola DRC

Watu wanne wamefariki dunia wakiwa na dalili za ugonjwa wa Ebola katika Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo.

 

11 years ago

BBCSwahili

Ebola yazua hofu Nigeria

Ugonjwa wa Ebola wazua hofu nchini Nigeria huku serikali ikipanga mikakati ya kukabiliana na homa hiyo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ebola:Hofu ya maambukizi zaidi

Shirika la afya duniani limetahadharisha kutokea maambukizi zaidi ya Ebola licha ya juhudi za pamoja kupambana na janga hilo

 

10 years ago

BBCSwahili

WHO:Hofu ya 20,000 kuambukizwa Ebola

Shirika la WHO limeonya kuwa ugonjwa wa Ebola huko Afrika Magharibi huenda ukawaambukiza zaidi ya watu 20,000 kabla haujadhibitiwa.

 

10 years ago

Mtanzania

Hofu ya Ebola yatanda nchini

20150810_182328NA EDITHA KARLO, KIGOMA

RAIA wa Burundi aliyetambulika kwa jina la Buchumi Joel (39), amefariki dunia baada ya kuugua ugonjwa wenye dalili sawa na Ebola, ikiwa ni pamoja na kutokwa na damu sehemu mbalimbali za mwili wake.

Madaktari, wauguzi na ndugu waliomuhudumia mgonjwa huyo, wamewekwa chini ya uangalizi maalumu kwa siku 21 kama hatua ya tahadhari, huku wakisubiri kupokea majibu ya sampuli za vipimo ili kubaini iwapo kweli ni ugonjwa wa Ebola ama la.

Akizungumza na waandishi wa habari...

 

10 years ago

BBCSwahili

Hofu ya Ebola Tanzania, mmoja ahofiwa

Kuna taarifa ya kuwepo kwa mtu mmoja anayehisiwa kuwa na virusi vya ugonjwa wa Ebola nchini Tanzania.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani