Ebola:Rais wa Liberia aomba ushirikiano
Rais wa Liberia Ellen Johnson Sirleaf ametoa wito kwa nchi zote duniani kusadia kupambana na ugonjwa wa Ebola.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog07 Nov
Afisa WHO amwonya Rais wa Liberia kuhusu Ebola
Anthony Banbury akiwa kwenye kikao maalum na Rais wa Liberia Ellen Johnson Sirleaf kwenye Ikulu ya nchini hiyo.
Na Mwandishi wetu
Afisa wa Umoja wa Mataifa anayehusika na mapambano dhidi ya maradhi ya Ebola ameionya jumuiya ya kimataifa isilegeze kamba katika harakati za kuyatokomeza maradhi hayo hatari
Akizungumza baada ya kukutana na rais wa Liberia Ellen Johnson Sirleaf mjni Monrovia Afisa huyo Anthony Banbury amesema ingawa zipo dalili za kupungua kwa maambukizi ya ugonjwa huo kila...
10 years ago
Dewji Blog18 Apr
Ebola: World Bank Group Provides New Financing to Help Guinea, Liberia and Sierra Leone Recover from Ebola Emergency
New GDP Estimates Show International Support Vital to Speed Recovery
The World Bank Group (WBG) announced today that it would provide at least US$650 million during the next 12 to 18 months to help Guinea, Liberia and Sierra Leone recover from the devastating social and economic impact of the Ebola crisis and advance their longer-term development needs. The new WBG pledge brings the organization’s total financing for Ebola response and recovery efforts to date to US$1.62 billion.
The...
10 years ago
BBCSwahili24 Sep
Obama aomba ushirikiano dhidi ya IS
10 years ago
Habarileo02 Jul
JK aomba ushirikiano kukamata wauaji wa Rwanda
RAIS Jakaya Kikwete amezitaka nchi zote duniani zenye taarifa za watuhumiwa wa mauaji ya Kimbari ya Rwanda ambao hawajakamatwa, kutoa ushirikiano ili watu hao waweze kufikishwa kwenye vyombo vya kimataifa vya sheria.
10 years ago
Dewji Blog07 Nov
JK aomba ushirikiano wa kimataifa kukabili ujangili
Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu akizungumza kwa niaba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Prof. Jakaya Mrisho Kikwete kwenye ufunguzi wa mkutano mkubwa wa kudhibiti ujangili na hifadhi endelevu ya wanyamapori uliofanyika kwenye ukumbi wa mikutano wa makao makuu ya Jumuiya ya Afrika Mashariki jijini Arusha. (Picha zote na Zainul Mzige wa MOblog)
Na Mwandishi Wetu
RAIS Jakaya Kikwete ameitaka jumuiya ya kimataifa kushirikiana na Tanzania katika kukabiliana na majangili...
11 years ago
Tanzania Daima01 Feb
Nchimbi arudi Songea, aomba ushirikiano
MBUNGE wa Songea Mjini, Dk. Emmanuel Nchimbi (CCM), amewataka madiwani na wananchi wa jimbo hilo kumpa ushirikiano wa dhati ili akamilishe ahadi alizozitoa wakati wa kampeni za uchaguzi mkuu uliopita. Wito...
11 years ago
MichuziMILLEN MAGESE AOMBA USHIRIKIANO SERIKALINI NA WANANCHI KWA UJUMLA
Millen alitoa ombi hilo jana wakati akizungumza na watu mbalimbali waliohudhuria semina ya bure kuhusiana na hali ya Endometriosis inayowakabili wanawake wengi hapa nchini na Afrika kwa ujumla. Millen anakabiliwa na tatizo hilo la Endometriosis ambalo ni hali ya...
11 years ago
Habarileo12 Aug
Liberia yaelemewa na ebola
WAZIRI wa Habari nchini Liberia amekiri kuwa mfumo wa huduma za afya, umezidiwa kutokana na kasi ya kusambaa kwa virusi vya ugonjwa wa ebola nchini humo.
10 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/82885000/jpg/_82885880_82885872.jpg)
VIDEO: WHO: Ebola in Liberia 'now over'