Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ebola:Rais wa Liberia aomba ushirikiano

Rais wa Liberia Ellen Johnson Sirleaf ametoa wito kwa nchi zote duniani kusadia kupambana na ugonjwa wa Ebola.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Afisa WHO amwonya Rais wa Liberia kuhusu Ebola

11-04-2014UNMEER_Ebola

Anthony Banbury akiwa kwenye kikao maalum na Rais wa Liberia Ellen Johnson Sirleaf  kwenye Ikulu ya nchini hiyo.

Na Mwandishi wetu

Afisa wa Umoja wa Mataifa anayehusika na mapambano dhidi ya maradhi ya Ebola  ameionya jumuiya ya kimataifa isilegeze kamba katika harakati za kuyatokomeza maradhi hayo hatari

Akizungumza baada ya kukutana na rais wa Liberia Ellen Johnson Sirleaf mjni Monrovia Afisa huyo Anthony Banbury amesema ingawa zipo dalili za kupungua kwa maambukizi ya ugonjwa huo kila...

 

10 years ago

Dewji Blog

Ebola: World Bank Group Provides New Financing to Help Guinea, Liberia and Sierra Leone Recover from Ebola Emergency

World Bank President Jim Yong Kim speaks during a news conference in New Delhi March 13, 2013. REUTERS/B Mathur (INDIA - Tags: BUSINESS)

New GDP Estimates Show International Support Vital to Speed Recovery

The World Bank Group (WBG) announced today that it would provide at least US$650 million during the next 12 to 18 months to help Guinea, Liberia and Sierra Leone recover from the devastating social and economic impact of the Ebola crisis and advance their longer-term development needs. The new WBG pledge brings the organization’s total financing for Ebola response and recovery efforts to date to US$1.62 billion.

The...

 

10 years ago

BBCSwahili

Obama aomba ushirikiano dhidi ya IS

Rais Obama ametaka mataifa kushirikiana katika vita dhidi ya makundi yanayoeneza itikadi kali za kIdini kama I-S

 

10 years ago

Habarileo

JK aomba ushirikiano kukamata wauaji wa Rwanda

Rais Jakaya Kikwete.RAIS Jakaya Kikwete amezitaka nchi zote duniani zenye taarifa za watuhumiwa wa mauaji ya Kimbari ya Rwanda ambao hawajakamatwa, kutoa ushirikiano ili watu hao waweze kufikishwa kwenye vyombo vya kimataifa vya sheria.

 

10 years ago

Dewji Blog

JK aomba ushirikiano wa kimataifa kukabili ujangili

GU9A8625

Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu akizungumza kwa niaba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Prof. Jakaya Mrisho Kikwete kwenye ufunguzi wa mkutano mkubwa wa kudhibiti ujangili na hifadhi endelevu ya wanyamapori uliofanyika kwenye ukumbi wa mikutano wa makao makuu ya Jumuiya ya Afrika Mashariki jijini Arusha. (Picha zote na Zainul Mzige wa MOblog)

Na Mwandishi Wetu

RAIS Jakaya Kikwete ameitaka jumuiya ya kimataifa kushirikiana na Tanzania katika kukabiliana na majangili...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Nchimbi arudi Songea, aomba ushirikiano

MBUNGE wa Songea Mjini, Dk. Emmanuel Nchimbi (CCM), amewataka madiwani na wananchi wa jimbo hilo kumpa ushirikiano wa dhati ili akamilishe ahadi alizozitoa wakati wa kampeni za uchaguzi mkuu uliopita. Wito...

 

11 years ago

Michuzi

MILLEN MAGESE AOMBA USHIRIKIANO SERIKALINI NA WANANCHI KWA UJUMLA


 MWANAMITINDO wa kimataifa wa hapa nchini na Miss Tanzania 2001 anaefanya kazi yake hiyo nchini Marekani Millen Magese ameiomba serikali kumpatia eneo ambalo atalitumia kujenga hospitali maalum ya kushugulikia afya ya wanawake.
Millen alitoa ombi hilo jana wakati akizungumza na watu mbalimbali waliohudhuria semina ya bure kuhusiana na hali ya Endometriosis inayowakabili wanawake wengi hapa nchini na Afrika kwa ujumla. Millen anakabiliwa na tatizo hilo la Endometriosis ambalo ni hali ya...

 

11 years ago

Habarileo

Liberia yaelemewa na ebola

WAZIRI wa Habari nchini Liberia amekiri kuwa mfumo wa huduma za afya, umezidiwa kutokana na kasi ya kusambaa kwa virusi vya ugonjwa wa ebola nchini humo.

 

10 years ago

BBC

VIDEO: WHO: Ebola in Liberia 'now over'

The World Health Organisation has declared Liberia free of Ebola, after the country reached the milestone of no new cases in 42 days.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani