Obama aomba fedha kukabili Ebola
Rais wa Marekani Barack Obama ametoa wito kwa chama cha Congress kupitisha kiasi cha dola bilion 6 ili kuikabili Ebola.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
StarTV03 Dec
Obama aomba fedha kukabili Ebola.
Rais wa Marekani Barack Obama ametoa wito kwa chama cha Congress kupitisha kiasi cha dola bilion 6 kwa lengo la kukabiliana na mlipuko wa ugonjwa hatari wa Ebola katika nchi za Afrika Magharibi.
Obama amesema hayo muda mfupi baada ya kutembelea taasisi ya taifa afya nchini humo,ambapo aliwapongeza madaktari na wanasayanzi kwa kazi nzuri wanayoifanya kukabiliana na ugonjwa huo.
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/304/amz/worldservice/live/assets/images/2014/11/29/141129163449_ebola_death_304x171__nocredit.jpg)
Inakadiriwa kuwa takriban watu 7,000 wamekufa kutokana na ugonjwa wa Ebola katika nchi za...
11 years ago
BBCSwahili09 Aug
Nigeria yatenga fedha kukabili Ebola
10 years ago
Dewji Blog07 Nov
JK aomba ushirikiano wa kimataifa kukabili ujangili
Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu akizungumza kwa niaba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Prof. Jakaya Mrisho Kikwete kwenye ufunguzi wa mkutano mkubwa wa kudhibiti ujangili na hifadhi endelevu ya wanyamapori uliofanyika kwenye ukumbi wa mikutano wa makao makuu ya Jumuiya ya Afrika Mashariki jijini Arusha. (Picha zote na Zainul Mzige wa MOblog)
Na Mwandishi Wetu
RAIS Jakaya Kikwete ameitaka jumuiya ya kimataifa kushirikiana na Tanzania katika kukabiliana na majangili...
9 years ago
BBCSwahili26 Nov
Cameron aomba idhini kukabili IS Syria
11 years ago
BBCSwahili09 Jul
Obama aomba msaada wa dharura
10 years ago
BBCSwahili24 Sep
Obama aomba ushirikiano dhidi ya IS
11 years ago
BBCSwahili27 Jun
Obama aomba pesa awasaidie waasi
11 years ago
CloudsFM![](http://wscdn.bbc.co.uk/worldservice/assets/images/2014/05/28/140528164244_barak_obama_624x351_reuters.jpg)
Rais Obama aomba pesa awasaidie waasi
Rais wa Marekani, Barrack Obama ameliomba Bunge la Congress kiasi cha dola milioni mia tano kwa ajili ya kugharamia mafunzo na kuwapatia silaha Waasi wa Syria.
Bado haijajuliakana ni aina gani ya msaada wa kijeshi ambao Marekani itautoa japo kulikuwa na maombi ya waasi hao wa Syria kuhusu kupewa makombora ya kubeba ya kutungulia ndege ambayo yalitupiliwa mbali kwa kuhofia silaha hizo zisiwaendee wanamgambo wa makundi ya kigaidi.
Ikiwa Bunge hilo litaridhia...
11 years ago
Habarileo26 Jul
Mbunge wa Busega kukabili wanaopora fedha za miradi
MBUNGE wa jimbo la Busega mkoani Simiyu, Dk Titus Kamani amesema hatavumilia watu wanaokula fedha za miradi ya maendeleo jimboni humo.