Rais Obama aomba pesa awasaidie waasi
![](http://wscdn.bbc.co.uk/worldservice/assets/images/2014/05/28/140528164244_barak_obama_624x351_reuters.jpg)
Rais Barack Obama wa Marekani
Rais wa Marekani, Barrack Obama ameliomba Bunge la Congress kiasi cha dola milioni mia tano kwa ajili ya kugharamia mafunzo na kuwapatia silaha Waasi wa Syria.
Bado haijajuliakana ni aina gani ya msaada wa kijeshi ambao Marekani itautoa japo kulikuwa na maombi ya waasi hao wa Syria kuhusu kupewa makombora ya kubeba ya kutungulia ndege ambayo yalitupiliwa mbali kwa kuhofia silaha hizo zisiwaendee wanamgambo wa makundi ya kigaidi.
Ikiwa Bunge hilo litaridhia...
CloudsFM
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili27 Jun
Obama aomba pesa awasaidie waasi
10 years ago
BBCSwahili24 Sep
Obama aomba ushirikiano dhidi ya IS
11 years ago
BBCSwahili09 Jul
Obama aomba msaada wa dharura
10 years ago
BBCSwahili03 Dec
Obama aomba fedha kukabili Ebola
10 years ago
StarTV03 Dec
Obama aomba fedha kukabili Ebola.
Rais wa Marekani Barack Obama ametoa wito kwa chama cha Congress kupitisha kiasi cha dola bilion 6 kwa lengo la kukabiliana na mlipuko wa ugonjwa hatari wa Ebola katika nchi za Afrika Magharibi.
Obama amesema hayo muda mfupi baada ya kutembelea taasisi ya taifa afya nchini humo,ambapo aliwapongeza madaktari na wanasayanzi kwa kazi nzuri wanayoifanya kukabiliana na ugonjwa huo.
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/304/amz/worldservice/live/assets/images/2014/11/29/141129163449_ebola_death_304x171__nocredit.jpg)
Inakadiriwa kuwa takriban watu 7,000 wamekufa kutokana na ugonjwa wa Ebola katika nchi za...
10 years ago
BBCSwahili25 Jul
Unamfahamu dadake rais Obama,Auma Obama?
11 years ago
BBCSwahili13 Feb
Rais Panza aapa kukabiliana na waasi
10 years ago
BBCSwahili20 Jan
Waasi 'waiteka' ikulu ya Rais Yemen
10 years ago
BBCSwahili03 Apr
Yemen:Jumba la rais laachiliwa na waasi