Obama aomba pesa awasaidie waasi
Rais Barrack Obama ameiomba Congress kiasi cha dola milioni mia tano kugharamia mafunzo na kuwapatia silaha Waasi wa Syria.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
CloudsFM![](http://wscdn.bbc.co.uk/worldservice/assets/images/2014/05/28/140528164244_barak_obama_624x351_reuters.jpg)
Rais Obama aomba pesa awasaidie waasi
Rais wa Marekani, Barrack Obama ameliomba Bunge la Congress kiasi cha dola milioni mia tano kwa ajili ya kugharamia mafunzo na kuwapatia silaha Waasi wa Syria.
Bado haijajuliakana ni aina gani ya msaada wa kijeshi ambao Marekani itautoa japo kulikuwa na maombi ya waasi hao wa Syria kuhusu kupewa makombora ya kubeba ya kutungulia ndege ambayo yalitupiliwa mbali kwa kuhofia silaha hizo zisiwaendee wanamgambo wa makundi ya kigaidi.
Ikiwa Bunge hilo litaridhia...
11 years ago
BBCSwahili09 Jul
Obama aomba msaada wa dharura
10 years ago
BBCSwahili24 Sep
Obama aomba ushirikiano dhidi ya IS
10 years ago
StarTV03 Dec
Obama aomba fedha kukabili Ebola.
Rais wa Marekani Barack Obama ametoa wito kwa chama cha Congress kupitisha kiasi cha dola bilion 6 kwa lengo la kukabiliana na mlipuko wa ugonjwa hatari wa Ebola katika nchi za Afrika Magharibi.
Obama amesema hayo muda mfupi baada ya kutembelea taasisi ya taifa afya nchini humo,ambapo aliwapongeza madaktari na wanasayanzi kwa kazi nzuri wanayoifanya kukabiliana na ugonjwa huo.
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/304/amz/worldservice/live/assets/images/2014/11/29/141129163449_ebola_death_304x171__nocredit.jpg)
Inakadiriwa kuwa takriban watu 7,000 wamekufa kutokana na ugonjwa wa Ebola katika nchi za...
10 years ago
BBCSwahili03 Dec
Obama aomba fedha kukabili Ebola
11 years ago
Mwananchi22 Mar
Wasanii wamwomba JK awasaidie kupata mirabaha
5 years ago
Michuzi![](https://img.youtube.com/vi/RHrwGmoxFnQ/default.jpg)
Wateja wa Tigo Pesa sasa wanaweza kutuma na kupokea pesa kutoka M-PESA ya Kenya, MTN nchini Uganda, Airtel na MTN nchini Rwanda
Huduma hii ni wazi sasa kwamba inawaunganisha wateja wa Tigo Pesa na mitandao mingine mikubwa ya mawasiliano katika ukanda wa Afrika Mashariki inayotoa huduma za kifedha kupitia simu za mkononi hatua ambayo itakuza...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/650FoUqjosboosnqcbwFQzV5SscolYStB76Nx6evOOvSsqJ6z4tR-HsCVfons1E*ZclG0NE-Fe2Tnju*MJIILXPxIhS5wxp1/001.MEZALAUNCH.jpg?width=650)
WATEJA WA VODACOM M-PESA SASA KUTUMA PESA NCHINI KENYA
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-nb5UQQh3DbU/VP2W7YR4PsI/AAAAAAAHJE0/m0OAq2feAG0/s72-c/unnamed%2B(4).jpg)
Wateja wa M-PESA sasa kutuma pesa nchini Kenya, kutokana na ushirikiano wa Vodacom na Safaricom