Rais Panza aapa kukabiliana na waasi
Rais wa C.A.R aapa kuwa atapambana na wapiganaji wa Kikristu waliohusika na mashambulio dhidi ya Waislamu mjini Bangui
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo20 Apr
Jacob Zuma aapa kukabiliana na ghasia
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2015/04/18/150418154343_zuma_640x360_afp.jpg)
Jacob Zuma
Rais Jacob Zuma amewatembelea watu walioathirika na ghasia hizo, mauwaji pamoja na kuibwa kwa mali zao huku akiahidi kukabiliana vilivyo na wimbi la mashambulio hayo.
Bwana Zuma alifutilia mbali ziara yake nchini Indonesia, ili kukabiliana na vurumai hizo zilizoanza majuma mawili yaliyopita.Amesema kuwa ghasia hizo ni kinyume na maadili ya taifa la Afrika kusini.Maafisa zaidi wa polisi wametumwa katika maeneo yenye mashambulio dhidi ya raia wa kigeni nchini Afrika Kusini.
Yamkini...
10 years ago
StarTV18 May
Rais Nkurunzinza aapa kulipa kisasi.
Rais wa Burundi Pierre Nkurunziza amewapongeza wanajeshi wazalendo waliozuia mapinduzi na kurejesha hali ya usalama na utawala huru mjini Bujumbura.
Rais Nkurunziza amewataka waburundi wazalendo kujitokeza kwa wingi katika uchaguzi utakaofanyika mwezi juni.
Rais huyo alikuwa Mjini Dar es Salaam Tanzania siku ya Jumatano kuhudhuria mkutano wa viongozi wa kanda ya Afrika Mashariki kundi la wanajeshi waasi walipotangaza ”Mapinduzi” dhidi ya serikali yake.
Viongozi watatu miongoni mwa makamanda6...
10 years ago
BBCSwahili20 Jan
Waasi 'waiteka' ikulu ya Rais Yemen
10 years ago
BBCSwahili03 Apr
Yemen:Jumba la rais laachiliwa na waasi
11 years ago
Mwananchi04 Jan
Waasi wamtaka Rais Kabila aachie madaraka
11 years ago
CloudsFM![](http://wscdn.bbc.co.uk/worldservice/assets/images/2014/05/28/140528164244_barak_obama_624x351_reuters.jpg)
Rais Obama aomba pesa awasaidie waasi
Rais wa Marekani, Barrack Obama ameliomba Bunge la Congress kiasi cha dola milioni mia tano kwa ajili ya kugharamia mafunzo na kuwapatia silaha Waasi wa Syria.
Bado haijajuliakana ni aina gani ya msaada wa kijeshi ambao Marekani itautoa japo kulikuwa na maombi ya waasi hao wa Syria kuhusu kupewa makombora ya kubeba ya kutungulia ndege ambayo yalitupiliwa mbali kwa kuhofia silaha hizo zisiwaendee wanamgambo wa makundi ya kigaidi.
Ikiwa Bunge hilo litaridhia...
10 years ago
Mwananchi11 Jul
Waasi Burundi wapanga kumng’oa Rais Nkurunziza
10 years ago
Dewji Blog09 Sep
Rais Kikwete akagua utayari wa Tanzania kukabiliana na Ebola
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete leo, Jumanne, Septemba 9, 2014, amekagua huduma na vifaa, pamoja na maandalizi ya kukabiliana na ugonjwa hatari wa Ebola, ili kujiridhisha na utayari wa Tanzania dhidi ya tishio kubwa la ugonjwa huo.
Mara tu baada ya kutua Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, Dar Es Salaam, akitokea Dodoma, Rais Kikwete amekwenda moja kwa moja...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-IqLZ2_8Z01A/XpXA9B5pkWI/AAAAAAAC3DU/XKXJX7dcHdEFN6x5cas8oxL9AoQf-qa9QCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
RAIS MUSEVENI UGANDA AONGEZA SIKU NYINGINE 21 KUKABILIANA NA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-IqLZ2_8Z01A/XpXA9B5pkWI/AAAAAAAC3DU/XKXJX7dcHdEFN6x5cas8oxL9AoQf-qa9QCLcBGAsYHQ/s400/1.jpg)
Mpaka sasa watu 54 wamegunduliwa kuwa na maambukizi ya virusi hivyo na kati yao wanne wamepona. Hakuna kifo kilichoripotiwa kufikia sasa.
Machi 31, Museveni alitangaza marufuku ya watu kutokutoka nje kwa siku 14, ambazo zilikuwa zinaisha leo Aprili 14.
Hii...