Jacob Zuma aapa kukabiliana na ghasia
Jacob Zuma
Rais Jacob Zuma amewatembelea watu walioathirika na ghasia hizo, mauwaji pamoja na kuibwa kwa mali zao huku akiahidi kukabiliana vilivyo na wimbi la mashambulio hayo.
Bwana Zuma alifutilia mbali ziara yake nchini Indonesia, ili kukabiliana na vurumai hizo zilizoanza majuma mawili yaliyopita.Amesema kuwa ghasia hizo ni kinyume na maadili ya taifa la Afrika kusini.Maafisa zaidi wa polisi wametumwa katika maeneo yenye mashambulio dhidi ya raia wa kigeni nchini Afrika Kusini.
Yamkini...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLJACOB ZUMA ALAZWA
11 years ago
BBCJacob Zuma in hospital for tests
11 years ago
BBCSwahili07 Jun
Rais Jacob Zuma alazwa hospitalini
11 years ago
BBCJacob Zuma home after hospital tests
11 years ago
BBCSwahili20 Mar
ANC:Rais Jacob Zuma hatajiuzulu ng'o
10 years ago
BBCSwahili18 Apr
Jacob Zuma aahirisha ziara ya Indonesia
11 years ago
GPL11 Dec
10 years ago
BBCSwahili16 Apr
Zuma ashtumu ghasia za ubaguzi A Kusini
11 years ago
Michuziwengi wajitokeza kwenye hafla ya kuapishwa kwa Rais Jacob Zuma wa Afrika Kusini leo