Zuma ashtumu ghasia za ubaguzi A Kusini
Rais wa Afrika Kusini, Jacob Zuma, ameshutumu ghasia zilizopo nchini humo hivi sasa ambapo wahamiaji wageni wameshambuliwa.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili16 Apr
Ghasia za ubaguzi zapingwa Afrika Kusini
Maelfu ya raia katika mji wa mashariki wa Durban nchini Afrika Kusini wanaandamana kupinga ghasia za hivi majuzi dhidi ya wageni.
10 years ago
GPLAFRIKA KUSINI WAFANYA MAANDAMANO KUPINGA GHASIA ZA UBAGUZI
Waandamanaji wakipinga ghasia za kibaguzi dhidi ya raia wa kigeni nchini Afrika Kusini. Raia aliyejeruhiwa kutokana na ghasia dhidi ya raia wa kiwageni Afrika Kusini. Maelfu ya raia katika Mji wa Mashariki wa Durban nchini Afrika Kusini wanafanya maandamano kupinga ghasia za hivi majuzi dhidi ya raia wa wageni. Takriban watu watano wameuawa tangu wiki iliopita katika ghasia dhidi ya raia wa wageni kwa kile kilichodaiwa kuwa...
10 years ago
BBCSwahili04 May
Netanyahu ashtumu ubaguzi Israeli
Benjamin Netanyahu ameelezea mshangao wake binafsi kwa mwanajeshi wa Israeli wa asili ya Ethiopia ambaye alipigwa na polisi wa Israeli
10 years ago
Vijimambo20 Apr
Jacob Zuma aapa kukabiliana na ghasia
Jacob Zuma
Rais Jacob Zuma amewatembelea watu walioathirika na ghasia hizo, mauwaji pamoja na kuibwa kwa mali zao huku akiahidi kukabiliana vilivyo na wimbi la mashambulio hayo.
Bwana Zuma alifutilia mbali ziara yake nchini Indonesia, ili kukabiliana na vurumai hizo zilizoanza majuma mawili yaliyopita.Amesema kuwa ghasia hizo ni kinyume na maadili ya taifa la Afrika kusini.Maafisa zaidi wa polisi wametumwa katika maeneo yenye mashambulio dhidi ya raia wa kigeni nchini Afrika Kusini.
Yamkini...
10 years ago
BBCSwahili21 Apr
Jeshi kutuliza ghasia Afrika kusini
Waziri wa ulinzi nchini Africa kusini ametangaza kuwa jeshi litatumwa kutuliza ghasia ambazo zimesababisha vifo vya watu 7.
10 years ago
BBCSwahili23 Apr
Waandamana kupinga ubaguzi Afrika Kusini
Maelfu ya raia wa Afrika Kusini wanaandamana kupinga wimbi la visa vya hivi majuzi vya mashambulizi dhidi ya raia wa kigeni.
10 years ago
BBCSwahili18 Apr
Wazimbabwe wapinga ubaguzi Afrika kusini
Wazimbambwe wameandamana nje ya ubalozi wa Afrika Kusini, Harare wakitaka kusitishwa kwa mashambulizi dhidi ya wahamiaji A kusini
10 years ago
BBCSwahili11 Dec
Mwanawe Rais Zuma hatiani Afrika Kusini
Jopo moja nchini Afrika Kusini limegundua kuwa mwanawe Jacob Zuma hakua makini hadi kusababisha ajali ya barabarani ambapo mwanamke mmoja alifariki.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania