Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Waandamana kupinga ubaguzi Afrika Kusini

Maelfu ya raia wa Afrika Kusini wanaandamana kupinga wimbi la visa vya hivi majuzi vya mashambulizi dhidi ya raia wa kigeni.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

AFRIKA KUSINI WAFANYA MAANDAMANO KUPINGA GHASIA ZA UBAGUZI

Waandamanaji wakipinga ghasia za kibaguzi dhidi ya raia wa kigeni nchini Afrika Kusini. Raia aliyejeruhiwa kutokana na ghasia dhidi ya raia wa kiwageni Afrika Kusini. Maelfu ya raia katika Mji wa Mashariki wa Durban nchini Afrika Kusini wanafanya maandamano kupinga ghasia za hivi majuzi dhidi ya raia wa wageni. Takriban watu watano wameuawa tangu wiki iliopita katika ghasia dhidi ya raia wa wageni kwa kile kilichodaiwa kuwa...

 

9 years ago

BBCSwahili

Maelfu waandamana kupinga mabadiliko Korea Kusini

Maelfu ya watu wameandamana leo nchini Korea Kusini kupinga mipango ya serikali ambayo wanasema itadhoofisha demokrasia.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ghasia za ubaguzi zapingwa Afrika Kusini

Maelfu ya raia katika mji wa mashariki wa Durban nchini Afrika Kusini wanaandamana kupinga ghasia za hivi majuzi dhidi ya wageni.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wazimbabwe wapinga ubaguzi Afrika kusini

Wazimbambwe wameandamana nje ya ubalozi wa Afrika Kusini, Harare wakitaka kusitishwa kwa mashambulizi dhidi ya wahamiaji A kusini

 

10 years ago

Mwananchi

‘TFF ichukue hatua kupinga ubaguzi’

Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limeagizwa kuchunguza na kuchukua hatua kwa timu ya Ruvu Shooting ya mkoani Pwani kutokana na madai ya kumtolea maneno ya kibaguzi mshambuliaji wa Yanga, Amissi Tambwe.

 

11 years ago

BBCSwahili

Mahabusu wavua nguo kupinga ubaguzi

Mahabusu mkoani Arusha, Tanzania walivua nguo wakipinga watuhumiwa wawili wa dawa za kulevya kuachiwa huru

 

10 years ago

BBCSwahili

Waandamana kupinga sera,Ubelgiji

Polisi mjini Belgian nchini Ubelgiji wamelazimika kutumia mabomu ya machozi na maji ili kuwatawanya waandamanaji wanaopinga sera

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani