Waandamana kupinga ubaguzi Afrika Kusini
Maelfu ya raia wa Afrika Kusini wanaandamana kupinga wimbi la visa vya hivi majuzi vya mashambulizi dhidi ya raia wa kigeni.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Gk-Khs5Ug5M69OyPGSo2Lp1Hh*H-*PHYHlS*aaM8itAQznJOHLW3rnFMJVNG*3kO0qcpHWdpPHnBJXFvTftLqZy8QaBxEg2z/SA.jpg?width=650)
AFRIKA KUSINI WAFANYA MAANDAMANO KUPINGA GHASIA ZA UBAGUZI
Waandamanaji wakipinga ghasia za kibaguzi dhidi ya raia wa kigeni nchini Afrika Kusini. Raia aliyejeruhiwa kutokana na ghasia dhidi ya raia wa kiwageni Afrika Kusini. Maelfu ya raia katika Mji wa Mashariki wa Durban nchini Afrika Kusini wanafanya maandamano kupinga ghasia za hivi majuzi dhidi ya raia wa wageni. Takriban watu watano wameuawa tangu wiki iliopita katika ghasia dhidi ya raia wa wageni kwa kile kilichodaiwa kuwa...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-XS0VdRDz2qA/U2NPpWh4jmI/AAAAAAAFe2A/IyWNMyNtB7c/s72-c/unnamed.png)
9 years ago
BBCSwahili05 Dec
Maelfu waandamana kupinga mabadiliko Korea Kusini
Maelfu ya watu wameandamana leo nchini Korea Kusini kupinga mipango ya serikali ambayo wanasema itadhoofisha demokrasia.
10 years ago
BBCSwahili16 Apr
Ghasia za ubaguzi zapingwa Afrika Kusini
Maelfu ya raia katika mji wa mashariki wa Durban nchini Afrika Kusini wanaandamana kupinga ghasia za hivi majuzi dhidi ya wageni.
10 years ago
BBCSwahili18 Apr
Wazimbabwe wapinga ubaguzi Afrika kusini
Wazimbambwe wameandamana nje ya ubalozi wa Afrika Kusini, Harare wakitaka kusitishwa kwa mashambulizi dhidi ya wahamiaji A kusini
10 years ago
Mwananchi23 Jan
‘TFF ichukue hatua kupinga ubaguzi’
Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limeagizwa kuchunguza na kuchukua hatua kwa timu ya Ruvu Shooting ya mkoani Pwani kutokana na madai ya kumtolea maneno ya kibaguzi mshambuliaji wa Yanga, Amissi Tambwe.
11 years ago
BBCSwahili07 May
Mahabusu wavua nguo kupinga ubaguzi
Mahabusu mkoani Arusha, Tanzania walivua nguo wakipinga watuhumiwa wawili wa dawa za kulevya kuachiwa huru
10 years ago
BBCSwahili07 Nov
Waandamana kupinga sera,Ubelgiji
Polisi mjini Belgian nchini Ubelgiji wamelazimika kutumia mabomu ya machozi na maji ili kuwatawanya waandamanaji wanaopinga sera
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania