Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wazimbabwe wapinga ubaguzi Afrika kusini

Wazimbambwe wameandamana nje ya ubalozi wa Afrika Kusini, Harare wakitaka kusitishwa kwa mashambulizi dhidi ya wahamiaji A kusini

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Waandamana kupinga ubaguzi Afrika Kusini

Maelfu ya raia wa Afrika Kusini wanaandamana kupinga wimbi la visa vya hivi majuzi vya mashambulizi dhidi ya raia wa kigeni.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ghasia za ubaguzi zapingwa Afrika Kusini

Maelfu ya raia katika mji wa mashariki wa Durban nchini Afrika Kusini wanaandamana kupinga ghasia za hivi majuzi dhidi ya wageni.

 

10 years ago

GPL

AFRIKA KUSINI WAFANYA MAANDAMANO KUPINGA GHASIA ZA UBAGUZI

Waandamanaji wakipinga ghasia za kibaguzi dhidi ya raia wa kigeni nchini Afrika Kusini. Raia aliyejeruhiwa kutokana na ghasia dhidi ya raia wa kiwageni Afrika Kusini. Maelfu ya raia katika Mji wa Mashariki wa Durban nchini Afrika Kusini wanafanya maandamano kupinga ghasia za hivi majuzi dhidi ya raia wa wageni. Takriban watu watano wameuawa tangu wiki iliopita katika ghasia dhidi ya raia wa wageni kwa kile kilichodaiwa kuwa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Zuma ashtumu ghasia za ubaguzi A Kusini

Rais wa Afrika Kusini, Jacob Zuma, ameshutumu ghasia zilizopo nchini humo hivi sasa ambapo wahamiaji wageni wameshambuliwa.

 

10 years ago

Vijimambo

Marais wa Afrika wapinga kuondoa hatamu ya 3


Marais wa Afrika wapinga kuondolea hatamu ya tatu
Viongozi wa Afrika Magharibi wamepinga pendekezo la kuondolewa kwa hatamu ya tatu .
Aidha marais wa Togo na Gambia wamepuzilia mbali pendekezo la kuondolewa kwa hatamu ya tatu.Marais hao ambao walikutana katika hafla ya viongozi huko Ghana walikataa katakata kubadili katiba za mataifa yao ilikumruhusu rais kutawala kwa vipindi viwili na kisha aondoke madarakani ili mwengine achaguliwe.
Mataifa hayo mawili yanaruhusu rais kutawala hadi...

 

10 years ago

BBCSwahili

Marais wa Afrika wapinga kuondolea hatamu ya tatu

Viongozi wa Afrika Magharibi wamekatalia mbali pendekezo la kuondolewa kwa hatamu ya tatu

 

10 years ago

StarTV

Marais wa Afrika Magharibi wapinga kuondoa hatamu ya 3

Viongozi wa Afrika Magharibi wamepinga pendekezo la kuondolewa kwa hatamu ya tatu .

Aidha marais wa Togo na Gambia wamepuzilia mbali pendekezo la kuondolewa kwa hatamu ya tatu.

Marais hao ambao walikutana katika hafla ya viongozi huko Ghana walikataa katakata kubadili katiba za mataifa yao ilikumruhusu rais kutawala kwa vipindi viwili na kisha aondoke madarakani ili mwengine achaguliwe.

Mataifa hayo mawili yanaruhusu rais kutawala hadi ataposhindwa.

Viongozi wengi barani Afrika wameibuka...

 

10 years ago

Michuzi

RAIS KIKWETE AWASILI AFRIKA KUSINI KUHUDHURIA MKUTANO WA 25 WA UMOJA WA AFRIKA

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa ameongozana na mkewe mama Salma Kikwete wakilakiwa mara walipowasili katika hoteli ya Sun Internatioal Maslow Hotel, Sandton, Johannesburg, Afrika ya Kusini kwa Mkutano wa 25 wa kawaidavwa Umojanwa Afrika. Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa ameongozana na mkewe mama Salma Kikwete wakilakiwa na Waziri Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto Mhe. Sophia Simba mara walipowasili katika hoteli ya Sun Internatioal Maslow Hotel, Sandton, Johannesburg, Afrika ya Kusini...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani