‘TFF ichukue hatua kupinga ubaguzi’
Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limeagizwa kuchunguza na kuchukua hatua kwa timu ya Ruvu Shooting ya mkoani Pwani kutokana na madai ya kumtolea maneno ya kibaguzi mshambuliaji wa Yanga, Amissi Tambwe.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Cexwr4lo6uo/VMEcHzblfxI/AAAAAAAG_AU/4n9IOJRTEIY/s72-c/1625.jpg)
Nkamia alaani vikali maneno ya kibaguzi kwa wachezaji, aitaka TFF ichukue hatua
![](http://3.bp.blogspot.com/-Cexwr4lo6uo/VMEcHzblfxI/AAAAAAAG_AU/4n9IOJRTEIY/s1600/1625.jpg)
Akizungumza na Ripota wa Globu ya Jamii, Naibu Waziri wa Habari, Juma Nkamia amesema kuwa TFF isikae kimya kutokana na matamshi ya udhalilishaji juu ya Tambwe na kuiagiza TFF kuchukua hatua za kinidhamu haraka iwapo itathidibitika...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-XS0VdRDz2qA/U2NPpWh4jmI/AAAAAAAFe2A/IyWNMyNtB7c/s72-c/unnamed.png)
10 years ago
Mwananchi18 Nov
Serikali ichukue hatua matatizo ya ardhi
Wiki iliyopita tulizungumzia mgogoro baina ya wakulima na wafugaji Kongwa mkoani Dodoma na Kiteto mkoani Manyara, ambako hali imekuwa mbaya kutokana na mauaji kuendelea bila ya Serikali kuonekana ikichukua hatua za dhati kutatua mgogoro huo wa muda mrefu sasa.
11 years ago
Mwananchi27 Dec
Lipumba: Hali ya uchumi ni mbaya, Serikali ichukue hatua
Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba ameitaka Serikali kutafuta ufumbuzi wa haraka wa matatizo ya kiuchumi, kwa kuwa hali ilivyo sasa ni mbaya.
10 years ago
BBCSwahili23 Apr
Waandamana kupinga ubaguzi Afrika Kusini
Maelfu ya raia wa Afrika Kusini wanaandamana kupinga wimbi la visa vya hivi majuzi vya mashambulizi dhidi ya raia wa kigeni.
11 years ago
BBCSwahili07 May
Mahabusu wavua nguo kupinga ubaguzi
Mahabusu mkoani Arusha, Tanzania walivua nguo wakipinga watuhumiwa wawili wa dawa za kulevya kuachiwa huru
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Gk-Khs5Ug5M69OyPGSo2Lp1Hh*H-*PHYHlS*aaM8itAQznJOHLW3rnFMJVNG*3kO0qcpHWdpPHnBJXFvTftLqZy8QaBxEg2z/SA.jpg?width=650)
AFRIKA KUSINI WAFANYA MAANDAMANO KUPINGA GHASIA ZA UBAGUZI
Waandamanaji wakipinga ghasia za kibaguzi dhidi ya raia wa kigeni nchini Afrika Kusini. Raia aliyejeruhiwa kutokana na ghasia dhidi ya raia wa kiwageni Afrika Kusini. Maelfu ya raia katika Mji wa Mashariki wa Durban nchini Afrika Kusini wanafanya maandamano kupinga ghasia za hivi majuzi dhidi ya raia wa wageni. Takriban watu watano wameuawa tangu wiki iliopita katika ghasia dhidi ya raia wa wageni kwa kile kilichodaiwa kuwa...
5 years ago
BBCSwahili07 Jun
George Floyd: Maandamano makubwa ya kupinga ubaguzi yafanyika Marekani
Maandamano makubwa ya amani yamefanyika kote nchini Marekani kupinga ubaguzi wa rangi na unyanyasaji unaotekelezwa na maafisa wa polisi ikiwa ni siku ya 12 ya maandamano
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania