Nkamia alaani vikali maneno ya kibaguzi kwa wachezaji, aitaka TFF ichukue hatua
![](http://3.bp.blogspot.com/-Cexwr4lo6uo/VMEcHzblfxI/AAAAAAAG_AU/4n9IOJRTEIY/s72-c/1625.jpg)
WIZARA ya Habari Utamaduni na Michezo imeliagiza Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), kutoa adhabu kwa timu ya Ruvu Shooting kutokana na kitendo cha ubaguzi kilichofanywa na wachezaji wa timu hiyo dhidi ya mshambuliaji wa Yanga kutoka nchini Rwanda, Hamis Tambwe.
Akizungumza na Ripota wa Globu ya Jamii, Naibu Waziri wa Habari, Juma Nkamia amesema kuwa TFF isikae kimya kutokana na matamshi ya udhalilishaji juu ya Tambwe na kuiagiza TFF kuchukua hatua za kinidhamu haraka iwapo itathidibitika...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi23 Jan
‘TFF ichukue hatua kupinga ubaguzi’
11 years ago
Michuzi08 Jul
MBUNGE MAGIGE ALAANI VIKALI TUKIO LA BOMU ARUSHA
![bom 1](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/3eVYzHFtjjT_hWIUs8Vc8Gzg7QvB5KG0zqD9xiJSotJ1rKwcNMxQLolCHB_s_b2jA5YvnmdVwGTSR9Olr8qJG0AOLn33UWQAAEx7cT7HWw=s0-d-e1-ft#http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/07/bom-1.jpg)
![bom 2](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/JgmsnVn814jcTcNDukjYuFYESqScNuWdH16vjjEs2pG5Xp-VcHgEZW3ZGPHnjL_Vt-mnsv9tMp4dzdPQH6v-I-CZBwyc1uGcTK6YpA-FkQ=s0-d-e1-ft#http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/07/bom-2.jpg)
10 years ago
Mwananchi18 Nov
Serikali ichukue hatua matatizo ya ardhi
11 years ago
Mwananchi27 Dec
Lipumba: Hali ya uchumi ni mbaya, Serikali ichukue hatua
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/--a1yOgVq098/VUsdd4eBQtI/AAAAAAADmIo/ZxhsIjRyOKw/s72-c/05-06-2015Kobler_MONUSCO.jpg)
WALINZI WA AMANI WATANZANIA WAPOTEZA MAISHA DRC, BAN KI MOON ALAANI VIKALI,
![](http://3.bp.blogspot.com/--a1yOgVq098/VUsdd4eBQtI/AAAAAAADmIo/ZxhsIjRyOKw/s640/05-06-2015Kobler_MONUSCO.jpg)
Na Mwandishi...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-DXMdvHWwiYs/VUqICZfdL9I/AAAAAAAHVzI/3yy5CgZs1pI/s72-c/unnamed%2B(59).jpg)
WALINDA AMANI WAWILI WA TANZANIA WAPOTEZA MAISHA DRC, BAN KI MOON ALAANI VIKALI
![](http://2.bp.blogspot.com/-DXMdvHWwiYs/VUqICZfdL9I/AAAAAAAHVzI/3yy5CgZs1pI/s1600/unnamed%2B(59).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-uDuclmITuZY/UvSdYK5Ud8I/AAAAAAAFLig/TTPHasJgDxA/s72-c/1010976_10151844503966682_1262465548_n.jpg)
TFF INAWACHUKULIA HATUA GANI KWA WATU WA NAMNA HII.
![](http://3.bp.blogspot.com/-uDuclmITuZY/UvSdYK5Ud8I/AAAAAAAFLig/TTPHasJgDxA/s1600/1010976_10151844503966682_1262465548_n.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-DilusEJ7Go0/UvSdYLlRi5I/AAAAAAAFLic/3abb-d9ghpU/s1600/1622713_10151844503951682_652711702_n.jpg)
Ni mimi Mdau wa Soka la Bongo.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-et2uJEgzmVU/XkzN_lBg7kI/AAAAAAALeNM/3sXsBrWAa68604nCRB038A5ZvXieU-0hQCLcBGAsYHQ/s72-c/737637be12c25dbefdbd7da9f3ff81ec.jpg)
Uamuzi wa kupunguza idadi ya wachezaji wa kigeni TPL uangaliwe kwa mapana zaidi kabla ya hatua hiyo kuchukuliwa
![](https://1.bp.blogspot.com/-et2uJEgzmVU/XkzN_lBg7kI/AAAAAAALeNM/3sXsBrWAa68604nCRB038A5ZvXieU-0hQCLcBGAsYHQ/s640/737637be12c25dbefdbd7da9f3ff81ec.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-L20P9priZ-E/XkzN_u0qfYI/AAAAAAALeNE/sj5RUD1VPGElAo3vLmEuxQAvqWPmAkmgwCLcBGAsYHQ/s640/_70607978_ivorians_.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-_3tQEYqLbFg/XkzN_tYVs5I/AAAAAAALeNI/WO9NBKPlcPsiZfjEdlYRLMwqmK-AB9WmgCLcBGAsYHQ/s640/Yangapic.jpg)
Na Mdau wa Soka Arusha
Hatua hii itakuwa siyo ya kujenga bali ni kubomoa soka letu. Kiuhalisia kwa sasa ni timu 3 zenye uwezo wa kusajili wachezaji 10 wa kigeni; Simba, Yanga na Azam.
Usajili kwa sasa unaruhusu kila timu ya TPL kusajili wachezaji mpaka 30 kwa msimu.Kwa mahesabu hayo jumla ya namba ya wachezaji wanaosajiliwa na timu 20 za ligi kuu ni 600(30 x20).
Chukulia mfano timu 3 kubwa zimesajili wachezaji 10 wa kigeni kila moja ukijumlisha unapata wachezaji 30.
Chukulia pia mfano timu 17...
11 years ago
Mwananchi15 Mar
Malinzi aitaka Simba kufuata kanuni TFF