Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mahabusu wavua nguo kupinga ubaguzi

Mahabusu mkoani Arusha, Tanzania walivua nguo wakipinga watuhumiwa wawili wa dawa za kulevya kuachiwa huru

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Mahabusu wavua nguo kupinga wenzao kuachiwa

Mahabusu wa Gereza Kuu la Mkoa wa Arusha, jana walizua tafrani katika viwanja vya Mahakama ya Hakimu Mkazi jijini hapa, baada ya kuvua nguo na kugoma kushuka kwenye basi wakipinga kitendo cha watuhumiwa wawili wa dawa za kulevya kuachiwa kinyemela.

 

11 years ago

Habarileo

Washitakiwa wavua nguo hadharani

MAHABUSI wa Gereza Kuu la Arusha wamevua nguo hadharani katika Mahakama ya Mkoa kwa kile wakishinikiza kesi zao kusikilizwa haraka.

 

11 years ago

GPL

MAHABUSU KUVUA NGUO KORTINI, USHIRIKINA WATAJWA

stori: MWANDISHI WETU, GEITA USHIRIKINA umetajwa kwa mahabusu wa Gereza la Wilaya ya Geita waliovua nguo mbele ya Mahakama ya Mwanzo ya Nyankumbu mkoani hapa wakimshinikiza Mkuu wa Mkoa wa Geita (Said Magalula), Jaji Mkuu (Mohammed Chande Othman) na Mwanasheria Mkuu wa Serikali (Stephen Werema) kusikiliza madai yao ya msingi. Mahabusu wakivua nguo mbele ya Mahakama. Tukio hilo lilijiri Juni 26, mwaka huu saa 3:00 asubuhi ikiwa...

 

10 years ago

Mwananchi

‘TFF ichukue hatua kupinga ubaguzi’

Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limeagizwa kuchunguza na kuchukua hatua kwa timu ya Ruvu Shooting ya mkoani Pwani kutokana na madai ya kumtolea maneno ya kibaguzi mshambuliaji wa Yanga, Amissi Tambwe.

 

10 years ago

BBCSwahili

Waandamana kupinga ubaguzi Afrika Kusini

Maelfu ya raia wa Afrika Kusini wanaandamana kupinga wimbi la visa vya hivi majuzi vya mashambulizi dhidi ya raia wa kigeni.

 

10 years ago

GPL

AFRIKA KUSINI WAFANYA MAANDAMANO KUPINGA GHASIA ZA UBAGUZI

Waandamanaji wakipinga ghasia za kibaguzi dhidi ya raia wa kigeni nchini Afrika Kusini. Raia aliyejeruhiwa kutokana na ghasia dhidi ya raia wa kiwageni Afrika Kusini. Maelfu ya raia katika Mji wa Mashariki wa Durban nchini Afrika Kusini wanafanya maandamano kupinga ghasia za hivi majuzi dhidi ya raia wa wageni. Takriban watu watano wameuawa tangu wiki iliopita katika ghasia dhidi ya raia wa wageni kwa kile kilichodaiwa kuwa...

 

5 years ago

BBCSwahili

George Floyd: Maandamano makubwa ya kupinga ubaguzi yafanyika Marekani

Maandamano makubwa ya amani yamefanyika kote nchini Marekani kupinga ubaguzi wa rangi na unyanyasaji unaotekelezwa na maafisa wa polisi ikiwa ni siku ya 12 ya maandamano

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani