Mahabusu wavua nguo kupinga ubaguzi
Mahabusu mkoani Arusha, Tanzania walivua nguo wakipinga watuhumiwa wawili wa dawa za kulevya kuachiwa huru
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi07 May
Mahabusu wavua nguo kupinga wenzao kuachiwa
Mahabusu wa Gereza Kuu la Mkoa wa Arusha, jana walizua tafrani katika viwanja vya Mahakama ya Hakimu Mkazi jijini hapa, baada ya kuvua nguo na kugoma kushuka kwenye basi wakipinga kitendo cha watuhumiwa wawili wa dawa za kulevya kuachiwa kinyemela.
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-XS0VdRDz2qA/U2NPpWh4jmI/AAAAAAAFe2A/IyWNMyNtB7c/s72-c/unnamed.png)
11 years ago
Habarileo25 Apr
Washitakiwa wavua nguo hadharani
MAHABUSI wa Gereza Kuu la Arusha wamevua nguo hadharani katika Mahakama ya Mkoa kwa kile wakishinikiza kesi zao kusikilizwa haraka.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/2qI9QjpEOxxKxygJH9TMyGf5STh20uAE1momrdwVJck5MVMyYKx0kg*kc45OBzfVFcUXKBjjSSzfIM4Slg78itNu15K2Eg3U/mahabusu.jpg?width=650)
MAHABUSU KUVUA NGUO KORTINI, USHIRIKINA WATAJWA
stori: MWANDISHI WETU, GEITA USHIRIKINA umetajwa kwa mahabusu wa Gereza la Wilaya ya Geita waliovua nguo mbele ya Mahakama ya Mwanzo ya Nyankumbu mkoani hapa wakimshinikiza Mkuu wa Mkoa wa Geita (Said Magalula), Jaji Mkuu (Mohammed Chande Othman) na Mwanasheria Mkuu wa Serikali (Stephen Werema) kusikiliza madai yao ya msingi. Mahabusu wakivua nguo mbele ya Mahakama. Tukio hilo lilijiri Juni 26, mwaka huu saa 3:00 asubuhi ikiwa...
10 years ago
Mwananchi23 Jan
‘TFF ichukue hatua kupinga ubaguzi’
Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limeagizwa kuchunguza na kuchukua hatua kwa timu ya Ruvu Shooting ya mkoani Pwani kutokana na madai ya kumtolea maneno ya kibaguzi mshambuliaji wa Yanga, Amissi Tambwe.
10 years ago
BBCSwahili23 Apr
Waandamana kupinga ubaguzi Afrika Kusini
Maelfu ya raia wa Afrika Kusini wanaandamana kupinga wimbi la visa vya hivi majuzi vya mashambulizi dhidi ya raia wa kigeni.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Gk-Khs5Ug5M69OyPGSo2Lp1Hh*H-*PHYHlS*aaM8itAQznJOHLW3rnFMJVNG*3kO0qcpHWdpPHnBJXFvTftLqZy8QaBxEg2z/SA.jpg?width=650)
AFRIKA KUSINI WAFANYA MAANDAMANO KUPINGA GHASIA ZA UBAGUZI
Waandamanaji wakipinga ghasia za kibaguzi dhidi ya raia wa kigeni nchini Afrika Kusini. Raia aliyejeruhiwa kutokana na ghasia dhidi ya raia wa kiwageni Afrika Kusini. Maelfu ya raia katika Mji wa Mashariki wa Durban nchini Afrika Kusini wanafanya maandamano kupinga ghasia za hivi majuzi dhidi ya raia wa wageni. Takriban watu watano wameuawa tangu wiki iliopita katika ghasia dhidi ya raia wa wageni kwa kile kilichodaiwa kuwa...
5 years ago
BBCSwahili07 Jun
George Floyd: Maandamano makubwa ya kupinga ubaguzi yafanyika Marekani
Maandamano makubwa ya amani yamefanyika kote nchini Marekani kupinga ubaguzi wa rangi na unyanyasaji unaotekelezwa na maafisa wa polisi ikiwa ni siku ya 12 ya maandamano
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania