Mahabusu wavua nguo kupinga wenzao kuachiwa
Mahabusu wa Gereza Kuu la Mkoa wa Arusha, jana walizua tafrani katika viwanja vya Mahakama ya Hakimu Mkazi jijini hapa, baada ya kuvua nguo na kugoma kushuka kwenye basi wakipinga kitendo cha watuhumiwa wawili wa dawa za kulevya kuachiwa kinyemela.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili07 May
Mahabusu wavua nguo kupinga ubaguzi
11 years ago
Habarileo25 Apr
Washitakiwa wavua nguo hadharani
MAHABUSI wa Gereza Kuu la Arusha wamevua nguo hadharani katika Mahakama ya Mkoa kwa kile wakishinikiza kesi zao kusikilizwa haraka.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/2qI9QjpEOxxKxygJH9TMyGf5STh20uAE1momrdwVJck5MVMyYKx0kg*kc45OBzfVFcUXKBjjSSzfIM4Slg78itNu15K2Eg3U/mahabusu.jpg?width=650)
MAHABUSU KUVUA NGUO KORTINI, USHIRIKINA WATAJWA
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-M4fbdxsgeow/XnMgs0ZXNiI/AAAAAAALkZI/51Z7-xaeHlgsfq7QU3Iu8AAEDa1Y6g3AQCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-19%2Bat%2B10.22.02%2BAM.jpeg)
JESHI LA MAGEREZA LASITISHA KUTEMBELEWA KWA WAFUNGWA NA MAHABUSU GEREZANI, MAHABUSU WAPYA KUPOKELEWA KWA KUHAKIKI AFYA ZAO
Akizungumza na MICHUZI BLOG, Msemaji wa jeshi la magereza SSP. Amina Kavirondo amesema kuwa baada ya kupimwa mahabusu wapya na kujiridhisha kuwa wako salama kwa maana hata polisi nao watakuwa wamechukuwa hatua kwa mahabusu hao.
"Na sisi watakapofika kwenye himaya ya kwetu tutachukua hatua ya kuhakikisha...
10 years ago
Mwananchi28 Jul
Abwao, Leticia wavua magwanda
11 years ago
BBCSwahili07 Apr
Wataka waandishi wa aljazeera kuachiwa
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NEbifnOqun13iLIpXqiUXQMFGnyfBGJWxacvGtWjffboHUDHLYfaMhgV1um84YEf9BbxJpteFIh9RmJl21z5XBQQ6nzpEgoS/pistorius.jpg?width=650)
OSCAR PISTORIUS KUACHIWA IJUMAA
10 years ago
Habarileo06 Dec
Kenyatta afurahia kuachiwa huru
RAIS Uhuru Kenyatta ameelezea kufurahishwa na uamuzi wa Mahakama ya Kimataifa ya Makosa ya Jinai (ICC), kutupilia mbali kesi ya jinai iliyokuwa ikimkabili, baada ya Mwendesha Mashitaka Mkuu wa Mahakama hiyo, Fatou Bensouda kuondoa mashitaka dhidi ya Rais huyo.
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-T9AfoR-kFkg/VVA_gq2dPOI/AAAAAAAC4QA/K58l9dfum0g/s72-c/unnamed.jpg)
“NIPO STUDIO” YA JENNIFER MGENDI KUACHIWA
![](http://2.bp.blogspot.com/-T9AfoR-kFkg/VVA_gq2dPOI/AAAAAAAC4QA/K58l9dfum0g/s640/unnamed.jpg)
Jennifer amesema filamu hii inazungumzia changamoto mbalimbali anazokutana nazo Bibi Esta pale anapokuwa na...