Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wataka waandishi wa aljazeera kuachiwa

Mashirika ya habari duniani yashinikiza kuachiliwa huru kwa waandishi wa al-Jazeera nchini Misri

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Wanahabari 2 wa Aljazeera waachiliwa

Mahakama moja nchini Misri imeagiza kuachiliwa kwa dhamana kwa wanahabari wawili wa Aljazeera

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Aljazeera live leo hii

Leo Aljazeera wameanza kuonyesha siasa za zanzibar, na wanarudia kila baada ya muda, cha kunishangaza jicho la Aljazeera limetupia zanzibar tu, kuna nini zanzibar? 25 October Aljazeera inawezekana kurusha live uchaguzi huu,na hapa ulimwengu ndio utaitambua […]

The post Aljazeera live leo hii appeared first on Mzalendo.net.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mwandishi wa aljazeera akamatwa Ujerumani

Al Jazeera inasema kuwa mmoja wa waandishi wake wa habari amekamatwa nchini Ujerumani kufuatia ombi la Misri.

 

10 years ago

Habarileo

Kenyatta afurahia kuachiwa huru

Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta.RAIS Uhuru Kenyatta ameelezea kufurahishwa na uamuzi wa Mahakama ya Kimataifa ya Makosa ya Jinai (ICC), kutupilia mbali kesi ya jinai iliyokuwa ikimkabili, baada ya Mwendesha Mashitaka Mkuu wa Mahakama hiyo, Fatou Bensouda kuondoa mashitaka dhidi ya Rais huyo.

 

9 years ago

GPL

OSCAR PISTORIUS KUACHIWA IJUMAA

Mwanariadha Oscar Pistorius. Oscar Pistorius akiwa na mpenzi wake Reeva Steenkamp. Oscar Pistorius akiwa mahakamani wakati wa kesi yake. Mwanariadha mahiri wa nchini Afrika Kusini, Oscar Pistorius anatarajiwa kuachiwa Ijumaa hii baada ya kuonyesha tabia nzuri akiwa gerezani. Pistorius alihukumiwa kifungo cha…

 

10 years ago

GPL

DIAMOND AKAMATWA NA KUACHIWA KWA DHAMANA

Staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul 'Diamond' . Baada ya wacheza shoo wake kukamatwa, hatimaye Diamond naye ajisalimisha polisi Kituo cha Polisi cha Oyster Bay, alihojiwa kwa masaa kadhaa kisha kuachiwa kwa dhamana baada ya kukabidhi sare za JWTZ  kituoni hapo.

 

10 years ago

GPL

OSCAR PISTORIUS KUACHIWA MWEZI AGOSTI

Oscar Pistorius akilia wakati wa hukumu yake. MWANARIADHA maarufu nchini Afrika Kusini ambaye ni mlemavu, Oscar Pistorius huenda akaachiwa huru mwezi Agosti, mwaka huu baada ya kukaa jela kwa miezi 10. Pistorius akiwa katika mashindano ya riadha. Mwanariadha huyo anatumikia kifungo cha miaka mitano baada ya kukutwa na hatia ya kumuua kwa kumpiga risasi mpenzi wake ambaye alikuwa mwanamitindo aitwaye Reeva Steenkamp. "Oscar...

 

10 years ago

Michuzi

“NIPO STUDIO” YA JENNIFER MGENDI KUACHIWA

Mtayarishaji wa filamu na mwimbaji wa siku nyingi Jennifer Mgendi anakusudia kuachia filamu yake ya “Nipo Studio” mapema wiki hii. Akiongea na blogu hii Jennifer amesema filamu hiyo imekamilika kwa kila kitu na itaingia sokoni wiki hii ikiwa imewashirikisha wasanii mbalimbali akiwamo shosti wake wa siku nyingi Bahati Bukuku, Bibi Esta, Hassan Mbangwa, Gwamaka Kametta na wengine wengi.
Jennifer amesema filamu hii inazungumzia changamoto mbalimbali anazokutana nazo Bibi Esta pale anapokuwa na...

 

10 years ago

BBCSwahili

Ghadhabu baada ya wauaji kuachiwa huru

Makundi ya wanawake Afghanistan yamelaani hatua ya mahakama kuwaachilia waliomuua Farkhunda

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani