Wanahabari 2 wa Aljazeera waachiliwa
Mahakama moja nchini Misri imeagiza kuachiliwa kwa dhamana kwa wanahabari wawili wa Aljazeera
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mzalendo Zanzibar22 Oct
Aljazeera live leo hii
Leo Aljazeera wameanza kuonyesha siasa za zanzibar, na wanarudia kila baada ya muda, cha kunishangaza jicho la Aljazeera limetupia zanzibar tu, kuna nini zanzibar? 25 October Aljazeera inawezekana kurusha live uchaguzi huu,na hapa ulimwengu ndio utaitambua […]
The post Aljazeera live leo hii appeared first on Mzalendo.net.
11 years ago
BBCSwahili07 Apr
Wataka waandishi wa aljazeera kuachiwa
Mashirika ya habari duniani yashinikiza kuachiliwa huru kwa waandishi wa al-Jazeera nchini Misri
10 years ago
BBCSwahili21 Jun
Mwandishi wa aljazeera akamatwa Ujerumani
Al Jazeera inasema kuwa mmoja wa waandishi wake wa habari amekamatwa nchini Ujerumani kufuatia ombi la Misri.
10 years ago
BBCSwahili09 Jul
Viongozi wa upinzani Uganda waachiliwa
Viongozi wawili wa upinzani nchini Uganda ambao walikuwa wamekamatwa mapema leo hatimaye wameachiliwa huru
10 years ago
BBCSwahili09 Jul
Waandishi Ethiopia waachiliwa huru
Waandishi 3 Ethiopia na wanablogu waliokuwa wakizuiwa gerezani kwa tuhuma za kigaidi wameachiliwa huru
10 years ago
BBCSwahili09 May
Waamerika wawili waachiliwa Ukrain
Waasi wanaoiunga mkono Urusi Mashariki mwa Ukrain wamewaachilia huru raia wawili wa Marekani
11 years ago
BBCSwahili08 Jun
Mabaharia wa meli ya Malaysia waachiliwa
Mabaharia 11 wa meli moja ya Malaysia iliotekwa nyara na maharamia wa Somali wameachiliwa huru .
10 years ago
BBCSwahili23 Jan
Wanawe Mubarak waachiliwa Misri
Wana wawili wa kiume wa aliyekuwa Rais wa Misri Hosni Mubarak, wameondoka gerezani.
11 years ago
BBCSwahili10 Mar
Watawa waachiliwa huru Syria
Imethibitishwa kuwa waasi nchini Syria wamewaachilia huru watawa 13 na wafanyikazi 3 wa nyumbani waliotekwa nyara mwaka jana
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania