Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mabaharia wa meli ya Malaysia waachiliwa

Mabaharia 11 wa meli moja ya Malaysia iliotekwa nyara na maharamia wa Somali wameachiliwa huru .

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Mabaharia wataka kazi meli za utafiti wa mafuta

JUMUIYA ya Mabaharia Tanzania imeiomba Serikali kuajiri wanachama wake katika meli za utafiti na uchimbaji mafuta na gesi katika mikoa ya Lindi na Mtwara.

 

11 years ago

Michuzi

Ubalozi wa Tanzania Malaysia wakutana na wafanyabiashara wa Malaysia (MEXPA)

Ubalozi wa Tanzania leo hii ulikutana na kufanya Manzungumzo ya pamoja kuangalia fursa za Kiuchumi zilizipo Tanzania na na kikundi na uongozi wa Malaysian Exporters Association.(MEXPA) Kwenye picha ya pamoja baada ya mazungumzo hayo kutoka kushoto ni: Mr. Rogathian Shao,  Naibu Mkurugenzi na Balozi Mdogo, Dr. S. P.Dhanabalan Makamu wa Rais wa Kuala Lumpur & Selangor Indian Chamber of Commerce and Industry, Ms. Puan severan Dhalliwal- Makamu wa Rais wa MEXPA, Mr. Abdul Kabur Ibrahim-Rais...

 

11 years ago

GPL

PICHA SI ZA MABAKI YA NDEGE YA MALAYSIA - MAOFISA WA MALAYSIA

Waziri wa ulinzi Hishammuddin Hussein (katikati) akikanusha madai ya ndege kukaa masaa manne hewani kabla ya kupotea.…

 

11 years ago

GPL

SIKU YA 17 KUPOTEA NDEGE YA MALAYSIA: NDEGE YA MALAYSIA ILIRUKA CHINI YA FUTI 12,000

Naibu Waziri Mkuu wa Malaysia, Warren Truss, kulia, akizungumza na ofisa wa juu ya kikosi cha uokoaji na mratibu wa operesheni ya kuitafuta ndege iliyopotea, John Rice. Wataalamu wa Rada wakiwa wamepigwa picha ndani ya ndege ya Kijeshi ya New Zealand wakiwa katika msako wa chombo hicho kilichopotea Kusini mwa bahari ya…

 

5 years ago

CCM Blog

MABAHARIA 940 WAKUTWA NA CORONA

Wizara ya Afya Ufaransa imesema Mabaharia 940 kati ya 2300 waliomo kwenye meli ya kubebea ndege za kijeshi ya Ufaransa, Charles de Gaulle, wamekutwa na corona, Meli hiyo imeegeshwa kwenye Bandari ya Toulon

 “Kati yao wagonjwa 20 wamelazwa, 8 wanasaidiwa kupumua na mmoja yuko ICU”

Jeshi limeanza uchunguzi ili kupata majibu yatakayowezesha kubaini corona imeingiaje kwenye Meli hiyo.

Hadi takwimu za muda huu Ufaransa ina jumla ya vifo 18,681 vya corona na visa 109,252.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mabaharia walilia bima ya maisha

MWENYEKITI wa Umoja wa Mabahari nchini, Frank Chuma, amesema wapo katika mchakato wa kuhakikisha kila anayefanya kazi majini anapatiwa bima ya maisha. Alisema suala la kuwa na bima ya maisha...

 

9 years ago

Habarileo

Mabaharia wapata njia ya kuongeza ajira

JUMUIYA ya Mahabaria nchini imesema muda wowote kuanzia sasa itaanza kupeleka mabaharia 200 katika vyombo vya uchakataji, utafutaji, uchimbaji na usambazaji wa gesi baharini ikiwa ni hatua ya kupunguza tatizo la ajira nchini.

 

10 years ago

Mwananchi

Mabaharia walalamikia ‘kutoswa’ katika ajira

Jumuiya ya Mabaharia Tanzania, imeitaka Serikali kusimamia upatikanaji wa ajira zao zilizoporwa na kupewa wageni katika ‘rig’ meli kubwa zinazofanya kazi ya utafiti na uchimbaji mafuta na gesi nchini.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mabaharia walia kutoswa miradi ya gesi

UMOJA wa mabaharia nchini wamesikitishwa na kitendo cha serikali kushindwa kuwasimamia kupata ajira ya uchorongaji wa gesi katika mikoa ya Lindi na Mtwara. Wamesema tangu kazi hiyo ianze, hakuna baharia...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani