Mabaharia walia kutoswa miradi ya gesi
UMOJA wa mabaharia nchini wamesikitishwa na kitendo cha serikali kushindwa kuwasimamia kupata ajira ya uchorongaji wa gesi katika mikoa ya Lindi na Mtwara. Wamesema tangu kazi hiyo ianze, hakuna baharia...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi05 Oct
Mabaharia walalamikia ‘kutoswa’ katika ajira
Jumuiya ya Mabaharia Tanzania, imeitaka Serikali kusimamia upatikanaji wa ajira zao zilizoporwa na kupewa wageni katika ‘rig’ meli kubwa zinazofanya kazi ya utafiti na uchimbaji mafuta na gesi nchini.
11 years ago
Tanzania Daima08 Jan
Watuhumiwa kuvunja viti Taifa walia kutoswa Simba
WAKATI kesi ya kufanya fujo na kuvunja viti vya Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam katika mechi kati ya Simba na Kagera Sugar ikitarajiwa kuanza kusikilizwa Januari 27 katika...
10 years ago
Mwananchi17 Apr
Wanakijiji Ikama walia kutonufaika na gesi
Wakazi wa Kijiji cha Ikama wilayani Rungwe wameilalamikia Kampuni ya Tanzania Oxgyen Ltd (TOL), inayochimba gesi asilia katika eneo kwa kushindwa kuchangia huduma za jamii kwa wananchi.
10 years ago
Mwananchi18 Sep
Miradi ya madini, gesi inavyotesa wananchi
Shughuli za uchimbaji madini na uwekaji wa bomba la kusafirishia gesi kutoka Mtwara hadi Dar es Salaam zimekuwa na mchango mkubwa katika kuathiri mazingira.
11 years ago
MichuziWANANCHI WASISITIZWA KUWEKEZA KATIKA MIRADI YA GESI NCHINI
9 years ago
MichuziMwijage akagua miradi ya umeme pembeni mwa bomba la Gesi
Na Teresia Mhagama
Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Charles Mwijage amefanya ziara ya kukagua utekelezaji wa miradi ya umeme vijijini Awamu ya Pili inayotekelezwa pembeni ya bomba kubwa la gesi katika mkoa wa Mtwara.
Pamoja na kukagua miradi hiyo inayofadhiliwa na Wakala wa Nishati Vijijini (REA) na kutekelezwa na shirika la Umeme nchini (TANESCO), Naibu Waziri pia amekagua maendeleo ya kituo cha kuchakata gesi kilichopo kijiji cha Madimba katika mkoa wa Mtwara.
Katika ziara hiyo Mwijage...
Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Charles Mwijage amefanya ziara ya kukagua utekelezaji wa miradi ya umeme vijijini Awamu ya Pili inayotekelezwa pembeni ya bomba kubwa la gesi katika mkoa wa Mtwara.
Pamoja na kukagua miradi hiyo inayofadhiliwa na Wakala wa Nishati Vijijini (REA) na kutekelezwa na shirika la Umeme nchini (TANESCO), Naibu Waziri pia amekagua maendeleo ya kituo cha kuchakata gesi kilichopo kijiji cha Madimba katika mkoa wa Mtwara.
Katika ziara hiyo Mwijage...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/--u5DKkxHrcQ/VD1CE99uESI/AAAAAAAGqgQ/b8tHu9tKYwQ/s72-c/unnamed.jpg)
UNDP “yaipiga jeki” Serikali namna ya kuandaa, kujadili na kusimamia miradi mikubwa na mikataba ya gesi asilia Nchini
![](http://4.bp.blogspot.com/--u5DKkxHrcQ/VD1CE99uESI/AAAAAAAGqgQ/b8tHu9tKYwQ/s1600/unnamed.jpg)
10 years ago
Vijimambo12 Jul
Sentensi 2 Chungu Za Makamba Baada Ya Kutoswa 5 Bora
![](https://pbs.twimg.com/profile_images/607198746057834496/UCMjCEkL.jpg)
Nawashukuru wote mliotuunga mkono. Mlitupa nguvu. Nawashukuru pia mliotupinga na kutukosoa. Mlitusaidia kujitazama na kujirekebisha.Hatujapoteza uchaguzi kwasababu mimi na vijana niliokuwa tumejifunza mengi na tumejenga undugu. Tumepambana na matakwa ya Mungu yametimia.
9 years ago
Bongo522 Oct
Umewahi kutoswa na msichana kisa kipato? Soma mashabiki wa AY wanavyosimulia, utacheka, utalia
“Umewahi kutoswa au kukataliwa na mrembo kwasababu huna kipato kizuri? Nataka kusikia story yako leo,” ni swali ambalo AY amewauliza mashabiki wake kupitia Facebook na simulizi zilizotolewa zitakuchekesha na zingine kukuliza. Hizi ni baadhi: (Note: Post zimechukuliwa kama zilivyoandikwa na mashabiki) Dissy Brizy Hiyo mwaka jana mzee mfukoni sina kitu halafu demu anataka mambo mazuri. […]
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania