Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mabaharia walia kutoswa miradi ya gesi

UMOJA wa mabaharia nchini wamesikitishwa na kitendo cha serikali kushindwa kuwasimamia kupata ajira ya uchorongaji wa gesi katika mikoa ya Lindi na Mtwara. Wamesema tangu kazi hiyo ianze, hakuna baharia...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Mabaharia walalamikia ‘kutoswa’ katika ajira

Jumuiya ya Mabaharia Tanzania, imeitaka Serikali kusimamia upatikanaji wa ajira zao zilizoporwa na kupewa wageni katika ‘rig’ meli kubwa zinazofanya kazi ya utafiti na uchimbaji mafuta na gesi nchini.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Watuhumiwa kuvunja viti Taifa walia kutoswa Simba

WAKATI kesi ya kufanya fujo na kuvunja viti vya Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam katika mechi kati ya Simba na Kagera Sugar ikitarajiwa kuanza kusikilizwa Januari 27 katika...

 

10 years ago

Mwananchi

Wanakijiji Ikama walia kutonufaika na gesi

Wakazi wa Kijiji cha Ikama wilayani Rungwe wameilalamikia Kampuni ya Tanzania Oxgyen Ltd (TOL), inayochimba gesi asilia katika eneo kwa kushindwa kuchangia huduma za jamii kwa wananchi.

 

10 years ago

Mwananchi

Miradi ya madini, gesi inavyotesa wananchi

Shughuli za uchimbaji madini na uwekaji wa bomba la kusafirishia gesi kutoka Mtwara hadi Dar es Salaam zimekuwa na mchango mkubwa katika kuathiri mazingira.

 

11 years ago

Michuzi

WANANCHI WASISITIZWA KUWEKEZA KATIKA MIRADI YA GESI NCHINI

Mwandishi wa kitabu kinachoelezea namna watanzania na makampuni ya usambazaji ya hapa Tanzania yanavyoweza kushiriki, kuwezeshwa na kunufaika na sekta ya nishati ya gesi asilia hapa.Bi. Neema Lugangilra Apson akielezea maudhui ya Kitabu chake kwa wageni waalikwa (hawapo pichani) wakati wa uzinduzi wa kitabu chake jana usiku jijini Dar es Salaam.  Mgeni Rasmi Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue akikata utepe kuashiria uzinduzi wa kitabu kinachoeleza namna watanzania na makampuni ya...

 

9 years ago

Michuzi

Mwijage akagua miradi ya umeme pembeni mwa bomba la Gesi

Na Teresia Mhagama
Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Charles Mwijage amefanya ziara ya kukagua utekelezaji wa miradi ya umeme vijijini Awamu ya Pili inayotekelezwa pembeni ya bomba kubwa la gesi katika mkoa wa Mtwara.
Pamoja na kukagua miradi hiyo inayofadhiliwa na Wakala wa Nishati Vijijini (REA) na kutekelezwa na shirika la Umeme nchini (TANESCO), Naibu Waziri pia amekagua maendeleo ya kituo cha kuchakata gesi kilichopo kijiji cha Madimba katika mkoa wa Mtwara.
Katika ziara hiyo Mwijage...

 

10 years ago

Michuzi

UNDP “yaipiga jeki” Serikali namna ya kuandaa, kujadili na kusimamia miradi mikubwa na mikataba ya gesi asilia Nchini

Picha ya pamoja ya washiriki wa Warsha ya kujenga uwezo kwa maafisa wa Serikali kutoka taasisi mbalimbali. Kutoka kushoto (waliokaa) ni Bw. Styden Rwebangila kutoka Wizara ya Nishati na Madini, Bi.Anna Shakarova ambaye ni Mkurugenzi wa Program wa Maendeleo ya Kiuchumi, Bw. Yohane Masara –Kaimu Mkurugenzi,Divisheni ya Mikataba kutoka Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali(katikati),Bw.Steven Sparling na Bi Clare Power kutoka Kampuni ya Uwakili ya K&L Gates ambao ni wawezeshaji wa...

 

10 years ago

Vijimambo

Sentensi 2 Chungu Za Makamba Baada Ya Kutoswa 5 Bora


Nawashukuru wote mliotuunga mkono. Mlitupa nguvu. Nawashukuru pia mliotupinga na kutukosoa. Mlitusaidia kujitazama na kujirekebisha.Hatujapoteza uchaguzi kwasababu mimi na vijana niliokuwa tumejifunza mengi na tumejenga undugu. Tumepambana na matakwa ya Mungu yametimia.

 

9 years ago

Bongo5

Umewahi kutoswa na msichana kisa kipato? Soma mashabiki wa AY wanavyosimulia, utacheka, utalia

“Umewahi kutoswa au kukataliwa na mrembo kwasababu huna kipato kizuri? Nataka kusikia story yako leo,” ni swali ambalo AY amewauliza mashabiki wake kupitia Facebook na simulizi zilizotolewa zitakuchekesha na zingine kukuliza. Hizi ni baadhi: (Note: Post zimechukuliwa kama zilivyoandikwa na mashabiki) Dissy Brizy Hiyo mwaka jana mzee mfukoni sina kitu halafu demu anataka mambo mazuri. […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani