Wanakijiji Ikama walia kutonufaika na gesi
Wakazi wa Kijiji cha Ikama wilayani Rungwe wameilalamikia Kampuni ya Tanzania Oxgyen Ltd (TOL), inayochimba gesi asilia katika eneo kwa kushindwa kuchangia huduma za jamii kwa wananchi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima09 Oct
Wanakijiji Hongwa walia na mwenyekiti wao
WANANCHI wa Kijiji cha Hongwa Kata ya Kinamapula Halmashauri ya Ushetu wilayani Kahama, wamemlalamikia Mwenyekiti wao kwa ufisadi aliofanya katika miradi ya maendeleo ikiwemo kuuza ng’ombe wa kijiji hicho. Walitoa...
11 years ago
Tanzania Daima04 Oct
Mabaharia walia kutoswa miradi ya gesi
UMOJA wa mabaharia nchini wamesikitishwa na kitendo cha serikali kushindwa kuwasimamia kupata ajira ya uchorongaji wa gesi katika mikoa ya Lindi na Mtwara. Wamesema tangu kazi hiyo ianze, hakuna baharia...
10 years ago
Michuzi
WASHIRIKI WA MAMA SHUJAA WA CHAKULA 2015 WAHIMIZA WANAKIJIJI KUFANYA KILIMO CHA BIASHARA, WAWAPA BURUDANI WANAKIJIJI.


11 years ago
Tanzania Daima25 Feb
Kutonufaika kwawaondoa wakulima kwenye ushirika
WAKULIMA wameamua kupiga kelele bila kuchoka, hata kama kelele hizo hazionekani. Hao si wakulima wengine, bali ni wale wanaounda ushirika wa Chama Kikuu cha Ushirika cha KCU (1990) Ltd. mkoani...
11 years ago
Mwananchi17 Jul
‘Tatizo la kutonufaika na madini, tatizo ni viongozi si wawekezaji’
10 years ago
StarTV21 Aug
Usafirishaji gesi: Kisima namba 3 cha Gesi Msimbati Mtwara chafunguliwa
Matumaini ya kuanza kuzalishwa umeme unaotokana na gesi siku chache zijazo yameanza kudhihirika baada ya kisima namba 3 cha gesi kilichoko Msimbati wilayani Mtwara kufunguliwa.
Lengo ni kuruhusu gesi kusafiri kwenye bomba hadi Madimba kuwezesha hatua ya uchakataji kuanza.
Mkurugenzi mkuu wa shirika la Maendeleo ya Petrol Tanzania TPDC James Mataragio akifungua rasmi bomba hilo kutoka kisima No MB 3 katika kijiji cha Msimbati na kubainisha kuwa mradi huo umejengwa kwa muda mfupi sana...
11 years ago
Mwananchi15 Mar
Wanakijiji waishi mapangoni (1)
11 years ago
Tanzania Daima15 Mar
Ardhi yawatesa wanakijiji Sange
UMASKINI ni adui namba moja nchini. Rais wa Awamu ya Kwanza Julius Nyerere, alitangaza vita dhidi ya umaskini na kusema kuwa taifa linakabiliwa na maadui watatu ambao ni umaskini, ujinga...
11 years ago
Tanzania Daima27 Apr
Wanakijiji Mvomero wamtetea Sumaye
BAADHI ya wakazi wa Wilaya ya Mvomero mkoani Morogoro, wamewajia juu wenzao wanaoendelea kusakama shamba la Waziri Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye lililopo Kijiji cha Mvomero kwa hoja walizoziita ni za...