Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wanakijiji Ikama walia kutonufaika na gesi

Wakazi wa Kijiji cha Ikama wilayani Rungwe wameilalamikia Kampuni ya Tanzania Oxgyen Ltd (TOL), inayochimba gesi asilia katika eneo kwa kushindwa kuchangia huduma za jamii kwa wananchi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Wanakijiji Hongwa walia na mwenyekiti wao

WANANCHI wa Kijiji cha Hongwa Kata ya Kinamapula Halmashauri ya Ushetu wilayani Kahama, wamemlalamikia Mwenyekiti wao kwa ufisadi aliofanya katika miradi ya maendeleo ikiwemo kuuza ng’ombe wa kijiji hicho. Walitoa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mabaharia walia kutoswa miradi ya gesi

UMOJA wa mabaharia nchini wamesikitishwa na kitendo cha serikali kushindwa kuwasimamia kupata ajira ya uchorongaji wa gesi katika mikoa ya Lindi na Mtwara. Wamesema tangu kazi hiyo ianze, hakuna baharia...

 

10 years ago

Michuzi

WASHIRIKI WA MAMA SHUJAA WA CHAKULA 2015 WAHIMIZA WANAKIJIJI KUFANYA KILIMO CHA BIASHARA, WAWAPA BURUDANI WANAKIJIJI.

 Baada ya washiriki wa Shindano la Mama shujaa wa Chakula  Shindano linalo endeshwa na Oxfam kupitia kampeni yake ya Grow na kudhaminiwa na Gates and Melinda Foundation,TBS, Cooperative Bank Great Britain na Care Tanzania, baada ya  kuwasili wote sasa wanapangwa makundi makundi kwa ajili ya kuanza mchakato wa siku Hapa katika kundi la kwanza washiriki wa Shindano la  Mama Shujaa wa Chakula , Shindano linaloendeshwa na Oxfam kupitia kampeni yake ya Grow hapa wakiwahamasisha wanakijiji cha...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kutonufaika kwawaondoa wakulima kwenye ushirika

WAKULIMA  wameamua kupiga kelele bila kuchoka, hata kama kelele hizo hazionekani. Hao si wakulima wengine, bali ni wale wanaounda ushirika wa Chama Kikuu cha Ushirika cha KCU (1990) Ltd. mkoani...

 

11 years ago

Mwananchi

‘Tatizo la kutonufaika na madini, tatizo ni viongozi si wawekezaji’

Serikali imetakiwa kusimamia rasilimali za taifa katika hali ambayo itawanufaisha wananchi wote kwani mali hizo ni za wote.

 

10 years ago

StarTV

Usafirishaji gesi: Kisima namba 3 cha Gesi Msimbati Mtwara chafunguliwa

Matumaini ya kuanza kuzalishwa umeme unaotokana na gesi siku chache zijazo yameanza kudhihirika baada ya kisima namba 3 cha gesi kilichoko Msimbati wilayani Mtwara kufunguliwa.

Lengo ni kuruhusu gesi kusafiri kwenye bomba hadi Madimba kuwezesha hatua ya uchakataji kuanza.

Mkurugenzi mkuu wa shirika la Maendeleo ya Petrol Tanzania TPDC James Mataragio akifungua rasmi bomba hilo kutoka kisima No MB 3 katika kijiji cha Msimbati na kubainisha kuwa mradi huo umejengwa kwa muda mfupi sana...

 

11 years ago

Mwananchi

Wanakijiji waishi mapangoni (1)

Utajiuliza mara mbili mbili pale utakaposikia ama kuona binadamu wa karne ya 21 tena katika ardhi ya Tanzania, wananchi wake kuishi maisha kama ya wakimbizi au kulala usingizi wenye mashaka, tena chini ya mapango ya majabari ya mawe kama wanyama wasio na makazi maalum.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ardhi yawatesa wanakijiji Sange

UMASKINI ni adui namba moja nchini. Rais wa Awamu ya Kwanza Julius Nyerere, alitangaza vita dhidi ya umaskini na kusema kuwa taifa linakabiliwa na maadui watatu ambao ni umaskini, ujinga...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wanakijiji Mvomero wamtetea Sumaye

BAADHI ya wakazi wa Wilaya ya Mvomero mkoani Morogoro, wamewajia juu wenzao wanaoendelea kusakama shamba la Waziri Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye  lililopo Kijiji cha Mvomero kwa hoja walizoziita ni za...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani