Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wanakijiji Mvomero wamtetea Sumaye

BAADHI ya wakazi wa Wilaya ya Mvomero mkoani Morogoro, wamewajia juu wenzao wanaoendelea kusakama shamba la Waziri Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye  lililopo Kijiji cha Mvomero kwa hoja walizoziita ni za...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

WASHIRIKI WA MAMA SHUJAA WA CHAKULA 2015 WAHIMIZA WANAKIJIJI KUFANYA KILIMO CHA BIASHARA, WAWAPA BURUDANI WANAKIJIJI.

 Baada ya washiriki wa Shindano la Mama shujaa wa Chakula  Shindano linalo endeshwa na Oxfam kupitia kampeni yake ya Grow na kudhaminiwa na Gates and Melinda Foundation,TBS, Cooperative Bank Great Britain na Care Tanzania, baada ya  kuwasili wote sasa wanapangwa makundi makundi kwa ajili ya kuanza mchakato wa siku Hapa katika kundi la kwanza washiriki wa Shindano la  Mama Shujaa wa Chakula , Shindano linaloendeshwa na Oxfam kupitia kampeni yake ya Grow hapa wakiwahamasisha wanakijiji cha...

 

9 years ago

Mwananchi

Mkwasa akiri kosa, wadau wamtetea

Wakati mashabiki wakimshushia lawama kocha wa Tanzania ‘Taifa Stars’, Charles Mkwasa kutokana na sare ya mabao 2-2 iliyopata Stars dhidi ya Algeria, makocha na wachambuzi wa soka nchini wamemtetea wakidai hapaswi kuangushiwa mzigo wa lawama kutokana na matokeo hayo.

 

10 years ago

Michuzi

Makalla afunika Mvomero

Naibu Waziri wa Maji na mbunge wa Mvomero, Amos makalla jana amehutubia maelfu ya wananchi wa mji Mdogo wa madizini na Vijiji vya jirani  huku akikabidhi Fedha taslimu shilingi milioni 10 kwa vikundi 12 na mabati 200 yenye thamani ya shilingi milioni Tatu kwa ajili ya kupaua Jengo la Tawi la CCM madizini bati 100, misikiti wa lusanga road bati 50 na kanisa la full salvation church bati 50.
Akihutubia maelfu ya wananchi hao aliwaeleza kuwa katika kipindi cha uongozi wake amekuwa ni mdau mkubwa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wakulima walia na DC Mvomero

MKUU wa Wilaya (DC) ya Mvomero, Anthony Mtaka, mmiliki wa Kiwanda cha Sukari Mtibwa na Mkuu wa Polisi wa Wilaya (OCD), wanadaiwa kuukacha mkutano wa wakulima wa miwa wa nje...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Msaada Mvomero wagharimu mil. 12/-

CHAMA cha Msalaba Mwekundu Tanzania (TRCS) kimetumia zaidi ya sh milioni 12 kwa ajili ya ununuzi wa vifaa mbalimbali kuwasaidia waathirika wa mafuriko yaliyotokea hivi karibuni Wilaya ya Mvomero, Morogoro....

 

11 years ago

Daily News

Mvomero conflict is between individuals, say pastoralists


Mvomero conflict is between individuals, say pastoralists
Daily News
PASTORALISTS in the central zone have said that the conflict that occurred between farmers and their colleagues in Mvomero district, Morogoro region, was a result of individual squabbles. They asked the local authorities to ensure that farmers and ...

 

11 years ago

Tanzania Daima

UVCCM, madiwani Mvomero walumbana

JUMUIYA ya Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) wilayani Mvomero, Morogoro, imeingia kwenye malumbano na Baraza la Madiwani baada ya mwenyekiti wa jumuiya hiyo kuwaita madiwani ‘mizigo, wazee,...

 

11 years ago

Habarileo

Wakulima, wafugaji Mvomero wapatana

SERIKALI ya Wilaya ya Mvomero, mkoani Morogoro imefanikiwa kuwapatanisha wakulima na wafugaji wa vijiji vitano vilivyopo kata ya Hembeti vinavyo pakana na Bonde la Mgongola na imewataka wakulima wanaotoka nje ya wilaya hiyo kujisajili katika halmashauri za serikali za vijiji vinavyohusika na bonde hilo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kozi ya urefa Mvomero Jan. 2

KOZI ya waamuzi wa soka wilayani Mvomero mkoani Morogoro, inatarajiwa kuanza Januari 2 mwakani na kushirikisha wadau mbalimbali wilayani humo. Akizungumza na Tanzania Daima hivi karibuni, Ofisa Habari wa kampuni...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani