Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mkwasa akiri kosa, wadau wamtetea

Wakati mashabiki wakimshushia lawama kocha wa Tanzania ‘Taifa Stars’, Charles Mkwasa kutokana na sare ya mabao 2-2 iliyopata Stars dhidi ya Algeria, makocha na wachambuzi wa soka nchini wamemtetea wakidai hapaswi kuangushiwa mzigo wa lawama kutokana na matokeo hayo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Waziri Chikawe akiri kosa

WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mathias Chikawe, amekiri mbele ya viongozi wa serikali za vijiji saba vinavyozunguka mgodi wa dhahabu wa North Mara, kuwa serikali ilifanya makosa na...

 

10 years ago

Mwananchi

Chid Benz sasa akiri kosa mahakamani

Mwanamuziki Rashidi Abdallah Makwaro ‘Chid Benz’(29) amekiri mashtaka matatu yanayomabili katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu ya kukutwa na dawa za kulevya, kifuu cha nazi na kijiko vinavyotumika kuvutia ama kunusa dawa hizo za kulevya.

 

9 years ago

MillardAyo

Kutana na video ya goli la Simba Vs URA na kosa kosa za mchezo huo Mapinduzi Cup 2016 …

Mtu wangu wa nguvu bado ninazo headlines za michuano ya Kombe la Mapinduzi kwa mwaka 2016, naomba nikusogezee video ya goli la Simba dhidi ya URA ya Uganda. Goli ambalo lilifungwa na Ibrahim Ajib dakika ya 37, baada ya kupokea pasi safi kutoka kwa Mwinyi Kazimoto. Mtu wangu wa nguvu hii ni video ya sehemu ya […]

The post Kutana na video ya goli la Simba Vs URA na kosa kosa za mchezo huo Mapinduzi Cup 2016 … appeared first on TZA_MillardAyo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wanakijiji Mvomero wamtetea Sumaye

BAADHI ya wakazi wa Wilaya ya Mvomero mkoani Morogoro, wamewajia juu wenzao wanaoendelea kusakama shamba la Waziri Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye  lililopo Kijiji cha Mvomero kwa hoja walizoziita ni za...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kosa la ubakaji — 2

Katika sehemu ya kwanza ya makala hii ya ubakaji, nilisema kwamba kwa mujibu wa Sheria ya Kanuni ya Adhabu Penal code CAP 16  R.E2002; neno kubaka lina maana pana ukilinganisha...

 

10 years ago

Michuzi

GEPF WAANZA WIKI MAALUM (GEPF WEEK) KWA BONANZA LA WADAU WA MFUKO KUELEKEA MKUTANO MKUU WA SITA WA WADAU

Timu ya Mfuko wa Pensheni wa GEPF ikipasha kabla ya kuanza kwa bonanza maalum la wiki ya GEPF (GEPF Week) katika viwanja vya shule ya sekondari ya Popatlal. Mwenyekiti wa Bodi ya wadhamini wa Mfuko wa GEPF Bi Joyce Shaidi akitoa neno la ufunguzi kabla ya kuanza rasmi kwa bonanza la wadau wa Mfuko wa GEPF. aliye mkono wake wa kushoto ni kamanda wa Polisi Mkoani Tanga, Omary Ntungu.Washindiwa Bonanza la GEPF timuya Chuo cha Utumishi cha Tanga wakifurahia ushindi baada ya kipenga cha mwisho...

 

10 years ago

Vijimambo

UFUNGUZI WA WARSHA YA WADAU KUHUSU “HUDUMA ZITOLEWAZO NA MAMLAKA YA HALI YA HEWA NA UAINISHAJI WA MAHITAJI YA WADAU”, HOTELI YA BLUE PEARL, DAR ES SALAAM, TANZANIA, TAREHE 24 MACHI, 2015

Mkurugenzi Mkuu TMA Dkt. Agnes Kijazi ambaye alikuwa mgeni rasmi katika ufunguzi wa warsha ya wadau kuhusu huduma zitolewazo na Mamlaka ya Hali ya Hewa na Uanishaji wa matakwa ya wadau,Hoteli ya Blue Pearl, Dar es Salaam, Tarehe 24 Machi 2015.Mkurugenzi wa Huduma za Utafiti na Matumizi TMA, Dkt. Ladislaus Chang'a akitoa ufafanuzi kwenye warsha ya wadau kuhusu huduma zitolewaza na Mamlaka ya Hali ya Hewa na Uanishaji wa matakwa ya wadau,Hoteli ya Blue Pearl, Dar es Salaam, Tarehe 24 Machi...

 

10 years ago

BBCSwahili

Facebook yakiri kosa la 'udukuzi'

Facebook imekiri kuwa ilikosa kwa kuchunguzxa taarifa za watumiaji wa mtandao huo bila idhini yao

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani