Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kosa la ubakaji — 2

Katika sehemu ya kwanza ya makala hii ya ubakaji, nilisema kwamba kwa mujibu wa Sheria ya Kanuni ya Adhabu Penal code CAP 16  R.E2002; neno kubaka lina maana pana ukilinganisha...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

MillardAyo

Kutana na video ya goli la Simba Vs URA na kosa kosa za mchezo huo Mapinduzi Cup 2016 …

Mtu wangu wa nguvu bado ninazo headlines za michuano ya Kombe la Mapinduzi kwa mwaka 2016, naomba nikusogezee video ya goli la Simba dhidi ya URA ya Uganda. Goli ambalo lilifungwa na Ibrahim Ajib dakika ya 37, baada ya kupokea pasi safi kutoka kwa Mwinyi Kazimoto. Mtu wangu wa nguvu hii ni video ya sehemu ya […]

The post Kutana na video ya goli la Simba Vs URA na kosa kosa za mchezo huo Mapinduzi Cup 2016 … appeared first on TZA_MillardAyo.

 

10 years ago

Mwananchi

SIMULIZI ZA TIDO: Kosa kubwa

>Jumapili iliyopita alianza kuhadithia kuhusu hekaheka zilizotokea mwaka 1995, kwenye uchaguzi wa mgombea  urais kwa tiketi ya CCM kule Chimwaga, Dodoma. Kwenye simulizi hiyo, Tido, ambaye wakati huo alikuwa anafanyia kazi Shirika la Utangazaji la Uingereza (BBC), alimalizia kwa kufahamisha ya kwamba, mshindi hakuweza kupatikana kwenye duru ya kwanza ya upigaji kura, ikabidi kura zipigwe tena kupambanisha wagombea wawili wa juu, Kikwete na Mkapa na baadaye ikaelezwa kwamba matokeo...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Waziri Chikawe akiri kosa

WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mathias Chikawe, amekiri mbele ya viongozi wa serikali za vijiji saba vinavyozunguka mgodi wa dhahabu wa North Mara, kuwa serikali ilifanya makosa na...

 

9 years ago

Mwananchi

Mahakama: Ni kosa kulinda kura

Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, imehitimisha mvutano wa sakata la kukaa mita 200 kulinda kwa kutamka kuwa utaratibu huo hauruhusiwi.

 

11 years ago

BBCSwahili

Unicef:'Ni kosa watoto hawaandikishwi'

Shirika la Unicef, limesema kuwa takriban watoto milioni laki mbili na thelathini hawajawahi kuandikishwa tangu wazaliwe duniani.

 

10 years ago

BBCSwahili

Facebook yakiri kosa la 'udukuzi'

Facebook imekiri kuwa ilikosa kwa kuchunguzxa taarifa za watumiaji wa mtandao huo bila idhini yao

 

11 years ago

GPL

LULU: ...SIFANYI TENA KOSA, NAZAA TU!

Stori: Shakoor Jongo STAA wa filamu Bongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’ amefunguka kuwa kama siku yoyote atapata ujauzito kwa bahati mbaya, hatafanya kosa tena, atazaa tu. Katika mahojiano maalum na gazeti hili juzikati, Lulu alisema kwa sasa yuko tayari kuolewa ili awe na familia yake ila si kwa sharti la mwanaume husika kumwambia amzalie kisha ndiyo amuoe. Elizabeth Michael ‘Lulu’. Ijumaa: Kwani kwa sasa...

 

11 years ago

Habarileo

Jela miaka 30 kwa kosa la kubaka

MAHAKAMA Wilaya ya Mpanda mkoani Katavi imemtia hatiani mkazi wa Kijiji cha Mpimbwe wilayani Mlele , John Joseph ( 30) na kumhukumu kifungo cha miaka 30 jela kwa kosa la kumbaka mwanamke mwenye umri wa miaka 65.

 

9 years ago

Mwananchi

Mkwasa akiri kosa, wadau wamtetea

Wakati mashabiki wakimshushia lawama kocha wa Tanzania ‘Taifa Stars’, Charles Mkwasa kutokana na sare ya mabao 2-2 iliyopata Stars dhidi ya Algeria, makocha na wachambuzi wa soka nchini wamemtetea wakidai hapaswi kuangushiwa mzigo wa lawama kutokana na matokeo hayo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani