LULU: ...SIFANYI TENA KOSA, NAZAA TU!
![](http://api.ning.com:80/files/hiOw4xekqhn1Kqvs6Olh2lDmxpIhKxlwwCFP60FoVkz86*lb21Qu9chlsflUONoQkNoy3K*cOB8sgRiXxDMHBT1VYJ7U9BhR/mzungu.jpg?width=650)
Stori: Shakoor Jongo STAA wa filamu Bongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’ amefunguka kuwa kama siku yoyote atapata ujauzito kwa bahati mbaya, hatafanya kosa tena, atazaa tu. Katika mahojiano maalum na gazeti hili juzikati, Lulu alisema kwa sasa yuko tayari kuolewa ili awe na familia yake ila si kwa sharti la mwanaume husika kumwambia amzalie kisha ndiyo amuoe. Elizabeth Michael ‘Lulu’. Ijumaa: Kwani kwa sasa...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
MillardAyo07 Jan
Kutana na video ya goli la Simba Vs URA na kosa kosa za mchezo huo Mapinduzi Cup 2016 …
Mtu wangu wa nguvu bado ninazo headlines za michuano ya Kombe la Mapinduzi kwa mwaka 2016, naomba nikusogezee video ya goli la Simba dhidi ya URA ya Uganda. Goli ambalo lilifungwa na Ibrahim Ajib dakika ya 37, baada ya kupokea pasi safi kutoka kwa Mwinyi Kazimoto. Mtu wangu wa nguvu hii ni video ya sehemu ya […]
The post Kutana na video ya goli la Simba Vs URA na kosa kosa za mchezo huo Mapinduzi Cup 2016 … appeared first on TZA_MillardAyo.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/UxG8FbEp4za7-rcy2WqNQL3NtuCreaencEjsJDnYwEwKpG1Td2zQx4W4WqK-88Dej8FiVhRJP05iYhyNVUy1lpwhFHM9DpQ4/auntlulu.gif)
AUNT LULU APIGWA TENA NA BWANA’KE
9 years ago
Bongo Movies22 Oct
Madai ya Kumuua Kanumba…Lulu Kizimbani Tena
MAMBO yameiva! Nyota wa sinema za Kibongo, Elizabeth Michael Kimemeta ‘Lulu’ (20) yu mbioni kupanda tena Kizimba cha Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Dar es Salaam kwa ishu yake ile ya madai ya kumuua bila kukusudia aliyekuwa msanii wa filamu nchini, marehemu Steven Charles Kanumba ‘The Great’, Amani lina ripoti mkononi.
Kwa mujibu wa chanzo chetu kutoka ndani ya mahakama hiyo jijini Dar, kesi hiyo ilisimama kwa muda wa mwaka mmoja na zaidi kutokana na matatizo yaliyo nje ya uwezo wa...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/e5ojRmBjrO8647OZFUAoBHYkFN9n2jjv7ghdZanj0txZT5EaFwL9CeghAVOFCnImLbH*JurIE57RzcagOLejEGLvCSNzO4Q5/lulu.jpg?width=650)
MADAI YA KUMUUA KANUMBA, LULU KIZIMBANI TENA
11 years ago
GPLLULU APANDISHWA KIZIMBANI TENA, KESI YAKE YAAHIRISHWA
10 years ago
Mwananchi29 Jan
‘Mume kanikimbia kisa nazaa sana’
10 years ago
Dewji Blog16 Apr
Exclusive gossip!! Elizabeth Michael ‘Lulu’ atimiza miaka 20, akutwa na majanga makubwa tena?
Lulu akiwa kwenye pozi..
..Afunga ‘akaunti’ yake ya Instagram kwa siku zisizojulikana ..Wema Sepetu ampongeza, amuonea huruma kifo cha SekiNa Andrw Chale wa Modewji blog
Habari maalum hadi tunakuwekea hapa, Leo Aprili 16.2015, ni siku ya kipekee kwa muigizaji na Msanii wa filamu na ‘modo’ kwenye matangazo mbalimbali ya Bongo, Elizabeth Michael maalufu kama Lulu ambaye ametimiza miaka 20.
Hata hivyo hadi hivi sasa Lulu ambaye pia amekuwa na wafuasi wengi kwenye mitandao yake ya...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/U-QNuL7WAxkMwxN4szVtkhZkgoeouM6twuY9izvpbM0hL-NSBaDhNH*fNV0cFo*PkCP5kjbiVsQgat0KYQ3NMvARqXOx5UfD/peny.jpeg?width=650)
PENNY: NIKIPATA BABA BORA NAZAA ‘SOON’
11 years ago
Habarileo12 Aug
'Sifanyi kampeni za ubunge'
MJUMBE wa Halmashauri Kuu ya Wilaya (CCM) Tabora na Mjumbe wa Kamati ya Uchumi ya Jumuiya ya Wazazi Mkoa, Emmanuel Mwakasaka amekanusha kufanya kampeni za kuwania ubunge Jimbo la Tabora Mjini.