PENNY: NIKIPATA BABA BORA NAZAA ‘SOON’
![](http://api.ning.com:80/files/U-QNuL7WAxkMwxN4szVtkhZkgoeouM6twuY9izvpbM0hL-NSBaDhNH*fNV0cFo*PkCP5kjbiVsQgat0KYQ3NMvARqXOx5UfD/peny.jpeg?width=650)
Hosti wa Kipindi cha Bongo Star Search, Penniel Mingilwa ‘Penny’. Na imelda mtema Hosti wa Kipindi cha Bongo Star Search, Penniel Mingilwa ‘Penny’ amefunguka kuwa suala la kupata mtoto lipo kwenye akili yake lakini litatimia tu endapo atapata baba bora. Akizungumzia maisha yake ya kimapenzi kwa sasa Penny alisema kuwa, hawezi kuyaanika kwa sasa ila ukweli ni kwamba hamu ya kuitwa mama anayo na anaamini...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo22 Nov
Save the Children, EU waanzisha kampeni ya Baba Bora
SHIRIKA lisilo la kiserikali la Save the Children kwa kushirikiana na Jumuiya ya Ulaya (EU), wameanzisha kampeni ya ‘Baba Bora’ inayolenga kuwahamasisha wanaume kushiriki katika malezi na kutetea haki za watoto na wanawake.
10 years ago
Mwananchi29 Jan
‘Mume kanikimbia kisa nazaa sana’
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/hiOw4xekqhn1Kqvs6Olh2lDmxpIhKxlwwCFP60FoVkz86*lb21Qu9chlsflUONoQkNoy3K*cOB8sgRiXxDMHBT1VYJ7U9BhR/mzungu.jpg?width=650)
LULU: ...SIFANYI TENA KOSA, NAZAA TU!
11 years ago
Mwananchi28 Feb
‘Nikipata laki moja ya mtaji nimetoka’
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dm99ly9wi652USEwVzrRZexfJC6jBS2lbuENvNl8WPxFOcL0gGgDAT1qbNYI2scQ2M7C5k3RC-Hnfw36AQQ20ALEryivmabj/FRANK2.jpg?width=650)
FRANK: NIKIPATA UBUNGE, NITAACHA SANAA
9 years ago
Global Publishers04 Jan
Esha: nikipata tatizo team diamond itahusika
Msanii wa filamu za Kibongo, Esha Buhet.
Stori: Imelda Mtema
Chokochoko! Msanii wa filamu za Kibongo, Esha Buhet amefunguka kuwa endapo atakumbwa na tatizo lolote basi timu ya Mwanamuziki wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Team Diamond itahusika.
Akizungumza na Ijumaa Wikienda, Esha alisema kuwa chokochoko zilianza alipoposti picha za Ali Kiba mtandaoni ambapo Team Diamond walianza kumtukana na kumwambia watamfanyia kitu mbaya.
10 years ago
Mwananchi13 May
‘Nikipata viungo bandia naacha kuwa ombaomba’
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-GJzaAd3-2yw/XvC7R8HQtQI/AAAAAAALu9M/tBl0W13rxgAwyECcazl6wX-P5dLXj9QXgCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-22%2Bat%2B4.29.29%2BPM.jpeg)
HUSSEIN MAKUNGU 'BHAA' "NIKIPATA URAIS NITAKUZA UCHUMI WA ZANZIBAR NA AJIRA KWA VIJANA
NA ANDREW CHALE, ZANZIBAR
MWAKILISHI wa Jimbo la Mtoni na Mbunge wa Bunge la Jamhuri ya
Muungano, kupitia nafasi tano za Uwakilishi, Mhe. Hussein Ibrahim Makungu maarufu "Bhaa' amechukua fomu ya kuwania kugombea Urais wa Zanzibar kupitia tiketi ya Chama Cha Mapinduzi CCM.
Bhaa amepongeza Demokrasia ndani ya CCM kwa wenye sifa kujitokeza kuwania nafasi hiyo nyeti na endapo atapitishwa kugombea Urais ameahidi ataleta mageuzi ya kiuchumi na ajira kwa Vijana huku kudumisha Muungano uliopo...
9 years ago
Global Publishers18 Dec
Baba P… Baba Pili… Baba Pilima!-5
ILIPOISHIA GAZETI LA IJUMAA WIKIENDA:
“Sasa niwe nyumba ndogo yako baba Pili si utakuwa unapata shida? Mimi najua nyumba ndogo lazima iwe free…ukitaka kwenda unakwenda muda wowote ule.”
“Hapana si lazima…unaweza kuwa mke wa mtu halafu bado ukawa nyumba ndogo yangu,” alifafanua baba Pili akionekana yuko siriasi kabisa na maneno yake…
JIACHIE MWENYEWE…
“Mh! Mimi nadhani au napendekeza tuendelee kuwa kama hivi…marafiki wakubwa lakini wa siri…mume wangu baba Pilima asijue wala mke wako mama Pili...