FRANK: NIKIPATA UBUNGE, NITAACHA SANAA
![](http://api.ning.com:80/files/dm99ly9wi652USEwVzrRZexfJC6jBS2lbuENvNl8WPxFOcL0gGgDAT1qbNYI2scQ2M7C5k3RC-Hnfw36AQQ20ALEryivmabj/FRANK2.jpg?width=650)
Mohamed Mwikongi, 'Frank'. MOHAMMED Mwikongi, maarufu kwa jina la Frank, ni miongoni mwa mastaa wakali wa kitambo kwenye tasnia ya sanaa ya maigizo hapa nchini.Alianza kutikisa kwenye anga la sanaa hiyo akiwa kwenye Kundi la Kaole Sanaa ambalo kwa sasa linajulikana kama Kaone, kabla ya kuhamia kwenye filamu. staa huyu kuelekea uchaguzi mkuu wa mwaka huu akiwa kama mmoja wa wadau wanaopenda siasa, ameamua kujitosa katika...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog26 Jan
Wasanii mkoani Iringa wamemtungia wimbo mgombea ubunge jimbo la Iringa Mjini Frank Kibiki
MSANII wa muziki wa kizazi, kipya mjini Iringa, ONE LEE akitoa zawadi ya ngoma kwa mwandishi wa Habari Frank Kibiki kwa niaba ya wasanii wenzake, ambaye hivi karibuni alitangaza nia ya kugombea ubunge katika jimbo la Iringa mjini.
Akizungumza na waandishi wa habari mjini Iringa, wasanii hao walisema wameamua kutengeneza wimbo huo kutokana na mchango mkubwa wa mwanahabari huyo, katika fani yao.
Msanii huyo Richard Kayombo ‘One Lee’ ambaye alikabidhi wimbo kwa niaba ya wasanii wenzake...
11 years ago
Mwananchi12 Apr
Dhana ya kikwetu kwetu itasaidia sanaa sanaa
11 years ago
Mwananchi28 Feb
‘Nikipata laki moja ya mtaji nimetoka’
10 years ago
Mwananchi13 May
‘Nikipata viungo bandia naacha kuwa ombaomba’
9 years ago
Global Publishers04 Jan
Esha: nikipata tatizo team diamond itahusika
Msanii wa filamu za Kibongo, Esha Buhet.
Stori: Imelda Mtema
Chokochoko! Msanii wa filamu za Kibongo, Esha Buhet amefunguka kuwa endapo atakumbwa na tatizo lolote basi timu ya Mwanamuziki wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Team Diamond itahusika.
Akizungumza na Ijumaa Wikienda, Esha alisema kuwa chokochoko zilianza alipoposti picha za Ali Kiba mtandaoni ambapo Team Diamond walianza kumtukana na kumwambia watamfanyia kitu mbaya.
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/U-QNuL7WAxkMwxN4szVtkhZkgoeouM6twuY9izvpbM0hL-NSBaDhNH*fNV0cFo*PkCP5kjbiVsQgat0KYQ3NMvARqXOx5UfD/peny.jpeg?width=650)
PENNY: NIKIPATA BABA BORA NAZAA ‘SOON’
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-GJzaAd3-2yw/XvC7R8HQtQI/AAAAAAALu9M/tBl0W13rxgAwyECcazl6wX-P5dLXj9QXgCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-22%2Bat%2B4.29.29%2BPM.jpeg)
HUSSEIN MAKUNGU 'BHAA' "NIKIPATA URAIS NITAKUZA UCHUMI WA ZANZIBAR NA AJIRA KWA VIJANA
NA ANDREW CHALE, ZANZIBAR
MWAKILISHI wa Jimbo la Mtoni na Mbunge wa Bunge la Jamhuri ya
Muungano, kupitia nafasi tano za Uwakilishi, Mhe. Hussein Ibrahim Makungu maarufu "Bhaa' amechukua fomu ya kuwania kugombea Urais wa Zanzibar kupitia tiketi ya Chama Cha Mapinduzi CCM.
Bhaa amepongeza Demokrasia ndani ya CCM kwa wenye sifa kujitokeza kuwania nafasi hiyo nyeti na endapo atapitishwa kugombea Urais ameahidi ataleta mageuzi ya kiuchumi na ajira kwa Vijana huku kudumisha Muungano uliopo...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/9nG191KtIdio-d2kTvwCl7IQ7hGkHwwpL2nRb0Kq*tE10a1k-X-csnxRR0NRQsHdZDKyl79sCx9-JWdmGxOO3e8wcMGBXxi5/frank1.jpg?width=650)
FRANK: RIYAMA ANANIZIBIA!