Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


‘Nikipata viungo bandia naacha kuwa ombaomba’

>Si kila ombaomba aliye katika mitaa ya jijini Dar es Salaam au majiji na miji mingine nchini anatoka mkoani Dodoma.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

WANAHABARI WA MATAIFA MBALIMBALI WATEMBELEA KITUO CHA VIUNGO BANDIA VYA BINADAMU INDIA

Na Hassan Hamad - India. Kiasi cha wagonjwa 65,000 wenye ulemavu wa aina tofauti wanapatiwa visaidizi pamoja na matibabu kila mwaka nchini India, hatua ambayo huwawezesha kuendelea na shughuli zao za kimaisha kama kawaida. Meneja wa kituo kikuu cha viungo bandia vya binadamu katika mji wa Jaipur jimbo la Rajasthan kaskazini mwa India, Om Prakash Sharma ameeleza hayo mbele ya waandishi wa habari kutoka baadhi ya nchi za Afrika, Asia na Latin America waliofika kituoni hapo hivi karibuni kwa...

 

9 years ago

Habarileo

Mpango akataa kuwa Waziri ombaomba

WAZIRI wa Fedha na Mipango, Dk Philip Mpango amesema kamwe hatapenda kuwa waziri ombaomba wa fedha, bali atahakikisha anaelekeza nguvu katika kukusanya kodi ili nchi iweze kujitosheleza kwa mapato ya ndani.

 

11 years ago

GPL

MWAKIFWAMBA ATAJA SABABU YA MASTAA KUWA OMBAOMBA

Stori: Chande Abdallah MWENYEKITI wa Shirikisho la Filamu Tanzania (TAFF), Simon Mwakifwamba amefunguka kuwa kinachowaponza wasanii wa filamu Bongo kiasi cha kuwa ombaomba ni kupenda starehe. Mwenyekiti wa Shirikisho la Filamu Tanzania (TAFF), Simon Mwakifwamba. Akichonga mbilitatu na paparazi wetu, Rais huyo alisema wasanii wamekuwa watu wa kupenda sana kupiga mitungi na kufanya starehe nyingine kwa kutumia fedha nyingi kitu...

 

11 years ago

Michuzi

KAMANDA KOVA AKUTANA NA WANAHABARI KUZUNGUMZIA SWALA NA VIUNGO LA VIUNGO VYA WATU VILIVYOTUPWA

Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam,CP Suleiman Kova akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es salaam leo wakati akitoa taarifa ya tukio la kukutwa kwa viunga vya binadamu liliyotokea jana jioni maeneo ya Bonde la Mbweni,Mpiji. Sehemu ya waandishi wa habari waliohudhulia Mkutano huo wa Kamanda Kova.
Chini ni Taarifa Rasmi iliyotolewa leo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Msechu: Nyota ikidoda naacha muziki

MSANII wa muziki wa kizazi kipya nchini, Peter Msechu amesema kama ngoma yake mpya ya ‘Nyota’ isipofanya vizuri katika soko la muziki huo, ataachana na maswala ya muziki. Katika ngoma...

 

10 years ago

GPL

NABII: WEMA ASIPOPATA MIMBA NDANI YA SIKU 21 NAACHA UTUMISHI

Musa Mateja NABII wa Kanisa la The Revelation Church lililopo Buza-Kipera jijini Dar, Yaspi Bendera amesema anao uwezo wa kumponya kwa maombi msanii wa Bongo Muvi anayesumbuliwa na tatizo la kutopata mimba, Wema Sepetu. Msanii wa Bongo Muvi Wema Sepetu. Akizungumza na mwandishi wetu kupitia msemaji wake, Nabii Yaspi alisema mwanamke yeyote aliyevunja ungo, amepewa na Mungu uwezo wa kuzaa isipokuwa shetani huingilia kati na...

 

9 years ago

GPL

FRANK: NIKIPATA UBUNGE, NITAACHA SANAA

Mohamed Mwikongi, 'Frank'. MOHAMMED Mwikongi, maarufu kwa jina la Frank, ni miongoni mwa mastaa wakali wa kitambo kwenye tasnia ya sanaa ya maigizo hapa nchini.Alianza kutikisa kwenye anga la sanaa hiyo akiwa kwenye Kundi la Kaole Sanaa ambalo kwa sasa linajulikana kama Kaone, kabla ya kuhamia kwenye filamu. staa huyu kuelekea uchaguzi mkuu wa mwaka huu akiwa kama mmoja wa wadau wanaopenda siasa, ameamua kujitosa katika...

 

11 years ago

Mwananchi

‘Nikipata laki moja ya mtaji nimetoka’

>Nje   ya  nyumba  yupo   mtoto  mdogo   akiwa amelala juu ya kipande cha mkeka. Kwa kumtazama tu utajua anasumbuliwa na maradhi kadhaa kutokana na afya yake kudorora.

 

9 years ago

Global Publishers

Esha: nikipata tatizo team diamond itahusika

ESHA35 Msanii wa filamu za Kibongo, Esha Buhet.

Stori: Imelda Mtema
Chokochoko! Msanii wa filamu za Kibongo, Esha Buhet amefunguka kuwa endapo atakumbwa na tatizo lolote basi timu ya Mwanamuziki wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Team Diamond itahusika.

Akizungumza na Ijumaa Wikienda, Esha alisema kuwa chokochoko zilianza alipoposti picha za Ali Kiba mtandaoni ambapo Team Diamond walianza kumtukana na kumwambia watamfanyia kitu mbaya.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani