WANAHABARI WA MATAIFA MBALIMBALI WATEMBELEA KITUO CHA VIUNGO BANDIA VYA BINADAMU INDIA
![](http://3.bp.blogspot.com/-xbin1DzYGUA/VDdwVij3dEI/AAAAAAAGo6c/rICnZIecvPo/s72-c/unnamed%2B(1).jpg)
Na Hassan Hamad - India. Kiasi cha wagonjwa 65,000 wenye ulemavu wa aina tofauti wanapatiwa visaidizi pamoja na matibabu kila mwaka nchini India, hatua ambayo huwawezesha kuendelea na shughuli zao za kimaisha kama kawaida. Meneja wa kituo kikuu cha viungo bandia vya binadamu katika mji wa Jaipur jimbo la Rajasthan kaskazini mwa India, Om Prakash Sharma ameeleza hayo mbele ya waandishi wa habari kutoka baadhi ya nchi za Afrika, Asia na Latin America waliofika kituoni hapo hivi karibuni kwa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-hEGkr3BeAhU/U85UqUTHEEI/AAAAAAAF4sg/NnQGo7T4kH0/s72-c/3.jpg)
KAMANDA KOVA AKUTANA NA WANAHABARI KUZUNGUMZIA SWALA NA VIUNGO LA VIUNGO VYA WATU VILIVYOTUPWA
![](http://3.bp.blogspot.com/-hEGkr3BeAhU/U85UqUTHEEI/AAAAAAAF4sg/NnQGo7T4kH0/s1600/3.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-vmL4Qkuabp0/U85UspcLKZI/AAAAAAAF4sk/YNr2OLdZ_8w/s1600/1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-PoWCh_oG1SQ/U85Usj92MDI/AAAAAAAF4so/vt2MAtsvjYQ/s1600/2.jpg)
Chini ni Taarifa Rasmi iliyotolewa leo.
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-4SRya6uxG_c/UvZzw-Z4JWI/AAAAAAAFL0w/Fadvrn-bOv8/s72-c/unnamed+(4).jpg)
RAIS WA ZANZIBAR ATEMBELEA KIWANDA CHA VIUNGO vya chakula cha EVEREST SPICE Industries Ltd,India
![](http://1.bp.blogspot.com/-4SRya6uxG_c/UvZzw-Z4JWI/AAAAAAAFL0w/Fadvrn-bOv8/s1600/unnamed+(4).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-jyXShgzE2Fg/UvZzw2Ag4RI/AAAAAAAFL0s/RQg09UHJT00/s1600/unnamed+(5).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-ODsnFAum3nA/UvZzyUr755I/AAAAAAAFL04/y1IKs9Ra_-Y/s1600/unnamed+(6).jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DBD4PE5EidX80AttasUeZztlS3RVlHYL94k1w6SRsdCLXjoiLfo7f5Ur9dfwKVWE1wuCxGPsOtiYxqRvwE6-R3ekV2erCE9n/viungo.jpg?width=650)
VIUNGO VYA BINADAMU...
11 years ago
BBCSwahili22 Jul
Viungo vya binadamu vyakutwa,Tanzania
11 years ago
BBCSwahili07 Jun
Biashara ya viungo vya binadamu Brazil
11 years ago
Mtanzania27 Jul
Kamati yaundwa kuchunguza viungo vya binadamu
![mabaki ya miili ya watu](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/07/mtanzania-220714.jpg)
Wananchi wakiangalia mifuko yenye viungo mbalimbali vya binadamu vilivyokutwa katika Bonde la Mweni Mpiji wilayani Kinondoni jijini Dar es Salaam jana. Picha ndogo kushoto ni polisi wakipakia viungo hivyo. Picha zote na Deus Mhagale
Adam Malinda na Grace Shitundu, Dar es Salaam
SERIKALI imeunda kamati ya watu 15 kuchunguza chanzo cha tukio lililofanywa na Chuo cha Kimataifa cha Tiba na Teknolojia (IMTU) la kutupwa mabaki ya viungo vya miili ya binadamu katika bonde la Mto Mpiji, lililopo...
11 years ago
Tanzania Daima27 Jul
Siri zazidi kuvuja viungo vya binadamu
SIKU moja baada ya serikali kufunga Hospitali ya Chuo cha Kimataifa cha Matibabu na Teknolojia (IMTU), kwa madai ya kuendeshwa kwa kukiuka taratibu za tiba, Tanzania Daima Jumapili limedokezwa hatua...
11 years ago
Tanzania Daima23 Jul
Madaktari wanaswa tukio la viungo vya binadamu
JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam linawashikilia watu nane wakiwemo madaktari wa Chuo Kikuu cha Kimataifa cha Tiba na Teknolojia (IMTU), wakihusishwa na tukio la kupatikana kwa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/RxYDN27Lud9mZPiJiHE-tWy3cGjQiB7uR5RRG5JTF9wBrF5k2fd827tw-5NtgAh3pAV8KDS0fM8JoBMiAjbKxltxWrgHz*5c/breakingnews.gif)
VIUNGO VYA BINADAMU VYANASWA BUNJU, DAR