Mpango akataa kuwa Waziri ombaomba
WAZIRI wa Fedha na Mipango, Dk Philip Mpango amesema kamwe hatapenda kuwa waziri ombaomba wa fedha, bali atahakikisha anaelekeza nguvu katika kukusanya kodi ili nchi iweze kujitosheleza kwa mapato ya ndani.
habarileo
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili19 Jun
Uhuru Kenyatta: Rais wa Kenya akataa kufuta uwezekano wa kuwa Waziri Mkuu
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ug6ORo4NSNRCKONfeGZMx-gVPHZFkOU4WHz-yQPpAqBO3VSXFuSc--rpXymEROJxPUYISd6M4zEtYhyJGXbVBIn8-d--lc*E/mwaki.jpg)
MWAKIFWAMBA ATAJA SABABU YA MASTAA KUWA OMBAOMBA
10 years ago
Mwananchi13 May
‘Nikipata viungo bandia naacha kuwa ombaomba’
10 years ago
BBCSwahili18 Nov
Akataa mumewe kuwa na rafiki wa kike
5 years ago
MichuziWAZIRI MPANGO:TAARIFA YA HALI YA UCHUMI 2019, MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA MWAKA 2020/21 ZIMEZINGATIA DHANA YA USHIRIKISHWAJI MPANA WA WADAU
Na Said Mwishehe,Michuzi TV.
WAZIRI wa Fedha na Mipango Dk.Philip Mpango amesema taarifa ya hali ya uchumi wa Taifa kwa Mwaka 2019 na Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2020/21 zimezingatia dhana ya ushirikishwaji mpana wa wadau katika hatua za uandaaji na maamuzi katika ngazi zote Serikalini.
Akizungumza Bungeni Mjini Dodoma leo wakati anawasilisha Hali ya Uchumi wa Taifa kwa mwaka 2019 na Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa mwaka 2020/21 ambapo ametumia nafasi hiyo kufafanua yamezingatia...
9 years ago
Bongo Movies21 Sep
Cathy Akataa Ndoa Yake Kuwa ‘Action And Cut’
Mambo ya ndoa! Mwigizaji wa kitambo ambaye ni zao la kundi la zamani la Nyota Ensembels lililokuwa likirusha michezo yake kupitia Runinga ya ITV, Sabrina Rupia ‘Cathy’ amefunguka kuwa yeye ni msanii lakini maisha ya kisanii hayapeleki kwenye ndoa yake kwani ndoa siyo mambo ya ‘action and cut’ kama wanavyofanya lokesheni.
Cathy ameliambia Ijumaa Wikienda kwamba, ndoa nyingi za mastaa huwa hazidumu kwa sababu huchukua maisha ya nje ya ndoa na kuyapeleka kwenye ndoa ndipo wanapojikuta...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3oumJFYFk4qVwIEWvAjp2inBOnT85kyCpoQq6AppEfXZFjJHx9S4Ms1kUKD59APJ1qf5SYBVBrbvFWQ*ZLoM7eB0KoKi2meC/gfhshj.jpg?width=650)
CATHY AKATAA NDOA YAKE KUWA ‘ACTION AND CUT’
10 years ago
Habarileo13 Oct
Waziri akataa picha ya pamoja na walimu
WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Hawa Ghasia, amewawekea ngumu walimu wa Shule ya Sekondari Mafiga ya Manispaa ya Morogoro kupiga nao picha ya ukumbusho.
9 years ago
BBCSwahili29 Dec
Waziri akataa ombi la mfalme wa Afrika Kusini