Akataa mumewe kuwa na rafiki wa kike
Mwanamuziki Mary J Blige kutoka Marekani amekataa kumkubalia mumewe kuwa na rafiki wa kike.Je,kunani?
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo16 Nov
TYLER PERRY NA RAFIKI YAKE WA KIKE WANATARAJIA MTOTO. Nov15.
Tyler Perry akiwa na rafiki yake wa kike Gelila Bekele ambaye ametangaza kuwa ni mjamzito wakitarajia mtoto wao wa kwanza hivi karibuni kwa mujibu wa Hollywood life.com .
Msichana huyo ambaye ni Muethipoia amekuwa kwenye mahusiano ya kimapenzi ya muda mrefu na Tyler ambapo wamekuwa wakiachana na kurudiana kwa huo muda wote.Tyler alifyatua habari hizo katika sherehe yake ya bethdei yake alipogonga miaka 45 akidai anajiandaa kwa maisha ya kutolala usiku na kukosa usingizi akiongeza kwamba...
9 years ago
Habarileo30 Dec
Mpango akataa kuwa Waziri ombaomba
WAZIRI wa Fedha na Mipango, Dk Philip Mpango amesema kamwe hatapenda kuwa waziri ombaomba wa fedha, bali atahakikisha anaelekeza nguvu katika kukusanya kodi ili nchi iweze kujitosheleza kwa mapato ya ndani.
9 years ago
Bongo Movies21 Sep
Cathy Akataa Ndoa Yake Kuwa ‘Action And Cut’
Mambo ya ndoa! Mwigizaji wa kitambo ambaye ni zao la kundi la zamani la Nyota Ensembels lililokuwa likirusha michezo yake kupitia Runinga ya ITV, Sabrina Rupia ‘Cathy’ amefunguka kuwa yeye ni msanii lakini maisha ya kisanii hayapeleki kwenye ndoa yake kwani ndoa siyo mambo ya ‘action and cut’ kama wanavyofanya lokesheni.
Cathy ameliambia Ijumaa Wikienda kwamba, ndoa nyingi za mastaa huwa hazidumu kwa sababu huchukua maisha ya nje ya ndoa na kuyapeleka kwenye ndoa ndipo wanapojikuta...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3oumJFYFk4qVwIEWvAjp2inBOnT85kyCpoQq6AppEfXZFjJHx9S4Ms1kUKD59APJ1qf5SYBVBrbvFWQ*ZLoM7eB0KoKi2meC/gfhshj.jpg?width=650)
CATHY AKATAA NDOA YAKE KUWA ‘ACTION AND CUT’
11 years ago
Bongo Movies13 Jul
Kajala afunguka kuwa wema sepetu ni mnafiki na si rafiki wa kweli.
STAA wa filamu za Kibongo, Kajala Masanja ameibuka na kusema kuwa ushosti wake na Miss Tanzania 2006/07, Wema Sepetu, uliorudishwa hivi karibuni baada ya kuwekana sawa ni wa kinafiki huku akidai Wema ni kigeugeu.
Akizungumza kwa kujiamini mbele ya waandishi wa GPL, juzi Jumatano pande wa Mikocheni jijini Dar es Salaam, Kajala alisema: “Wema ni mnafiki kabisa. Upatanisho wetu ni wa uongo. Mimi moyoni nimeondoa kinyongo lakini mwenzangu naona kama bado ana donge moyoni.”
Kajala alisema...
5 years ago
BBCSwahili19 Jun
Uhuru Kenyatta: Rais wa Kenya akataa kufuta uwezekano wa kuwa Waziri Mkuu
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Wdk-9Zfi1k6R7L3tGmbVhrv*NpUznvDViiaDeEn5f7B407M7*cSHGGflCMA764RtzZlnv6gpVW9P86D-w3bDhon84FnpLWKP/Esta.gif?width=650)
ESTER: SIPENDI KUWA NA MARAFIKI WA KIKE!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/gikBPgJguSUK7UH8zh2oRKAw3zFXefW1cqSTJI9Hw9kOWyRGad6DbBmIltp04DmN9iwAQzyLtj1gxgAcpEyRcQfp8vPmorJk/BET.jpg?width=650)
DAVIDO AKIRI KUWA NA MTOTO WA KIKE
10 years ago
Bongo525 Sep
Nick Cannon akanusha kuwa chanzo cha Amber Rose kuomba talaka kwa mumewe