TYLER PERRY NA RAFIKI YAKE WA KIKE WANATARAJIA MTOTO. Nov15.
Tyler Perry akiwa na rafiki yake wa kike Gelila Bekele ambaye ametangaza kuwa ni mjamzito wakitarajia mtoto wao wa kwanza hivi karibuni kwa mujibu wa Hollywood life.com .
Msichana huyo ambaye ni Muethipoia amekuwa kwenye mahusiano ya kimapenzi ya muda mrefu na Tyler ambapo wamekuwa wakiachana na kurudiana kwa huo muda wote.Tyler alifyatua habari hizo katika sherehe yake ya bethdei yake alipogonga miaka 45 akidai anajiandaa kwa maisha ya kutolala usiku na kukosa usingizi akiongeza kwamba...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-rXyjjNUhOA4/VRSX54-S7ZI/AAAAAAAAZ5g/tQaChHUOd2Q/s72-c/diamond567.jpg)
HII NI ISHARA KWAMBA DIAMOND NA ZARINAH WANATARAJIA KUPATA MTOTO WA KIKE
![](http://3.bp.blogspot.com/-rXyjjNUhOA4/VRSX54-S7ZI/AAAAAAAAZ5g/tQaChHUOd2Q/s640/diamond567.jpg)
Remember that you'll never have to fight for a spot in the life of someone who truly loves, respects, or cares about you.....it shld be mutual!!!!"-ZARI
![](http://4.bp.blogspot.com/-ta8R_OMfGlw/VRXN4p7Kc3I/AAAAAAADdwU/SxoWS3JDofQ/s1600/zari-mtoto.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-O2WzZ8lKIcg/VRXN43s5TmI/AAAAAAADdwY/WsNvAbinI0E/s1600/Zari-princess.jpg)
11 years ago
Michuzi28 Feb
MTOTO WA KIKE ABURUZWA NA BABA YAKE MTAA MZIMA KWENYE PIKIPIKI KWA KUTOKWENDA SHULE
Mtoto Anastazia Jumanne akiwa amefungwa mikono yake kwenye pikipiki kwa mpira
Na Valence Robert-Geita
Mtoto Anastazia Jumanne (12) ambaye ni mwanafunzi wa shule ya msingi katika wilaya na mkoa wa Geita amefanyiwa ukatili wa kutisha baada kufungwa mpira kwenye pikipiki na baba yake mzazi na kisha kuanza kumburuza mtaani. Tukio hilo la kusikitisha limetokea jana majira ya sa tatu asubuhi katika moja ya mitaa ya mjini humo ambapo inadaiwa kuwa binti huyo anayesoma darasa la nne katika shule...
9 years ago
Mtanzania05 Jan
T.I na Tiny wanatarajia mtoto wa pili
NEW YORK, MAREKANI
MKALI wa hip hop nchini Marekani T.I na mke wake, Tiny wanatarajia kupata mtoto wao wa pili hivi karibuni
Endapo watafanikiwa kupata mtoto huyo basi T.I atakuwa na jumla ya watoto sita, lakini kwa Tiny atakuwa na watoto watatu.
“Ni furaha kubwa kuona familia yetu inaongezeka, tunatarajia kupata mtoto hivi karibuni, hii ni zawadi kutoka kwa Mungu,” alisema Tiny.
T.I ni miongoni mwa wasanii ambao wana watoto wengi nchini Marekani kama vile DMX ambaye ana watoto 12.
Kupitia...
10 years ago
BBCSwahili18 Nov
Akataa mumewe kuwa na rafiki wa kike
9 years ago
Bongo501 Oct
Omarion na girlfriend wake wanatarajia kupata mtoto wa pili
9 years ago
Bongo513 Oct
John Legend na mkewe wanatarajia kupata mtoto wa kwanza
9 years ago
Bongo528 Dec
T.I na mkewe Tiny wanatarajia kupata mtoto wao wa tatu
![Ti and Tiny](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/Ti-and-Tiny-300x194.jpg)
Rapper T.I wa Marekani na mkewe Tameka “Tiny” Cottle-Harris wanatarajia kupata mtoto mwingine atayefikisha idadi ya jumla ya watoto saba wa familia yao.
Taarifa hizo zilitolewa na Tiny December 25 kupitia Instagram.
T.I na Tiny tayari wana watoto wawili, King na Major waliowapata pamoja, huku T.I akiwa ni baba wa watoto wengine watatu, Messiah, Domani na Deyjah aliowapata kwenye mahusiano yake yaliyopita, na Tiny naye ni mama wa mtoto mmoja wa kike Zonnique aliyempata kwenye uhusiano wake...
10 years ago
Bongo510 Dec
Hamisa Mobeto na mchumba wake Dj Majey wa E-FM wanatarajia kupata mtoto
10 years ago
Bongo519 Jan
H.Baba na mke wake Flora Mvungi wanatarajia kupata mtoto wa pili