John Legend na mkewe wanatarajia kupata mtoto wa kwanza
Couple ya mwimbaji John Legend na mkewe Chrissy Teigen imejawa na furaha baada ya kufanikiwa zoezi walilojaribu kwa muda mrefu bila mafanikio la kupata mtoto wao wa kwanza. Teigen ameeleza furaha yake ya kuwa mjamzito kupitia Instagram kwa kushare picha akiwa na mumewe anayeonekana akimshika tumbo na kuandika; “John and I are so happy to […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo528 Dec
T.I na mkewe Tiny wanatarajia kupata mtoto wao wa tatu
![Ti and Tiny](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/Ti-and-Tiny-300x194.jpg)
Rapper T.I wa Marekani na mkewe Tameka “Tiny” Cottle-Harris wanatarajia kupata mtoto mwingine atayefikisha idadi ya jumla ya watoto saba wa familia yao.
Taarifa hizo zilitolewa na Tiny December 25 kupitia Instagram.
T.I na Tiny tayari wana watoto wawili, King na Major waliowapata pamoja, huku T.I akiwa ni baba wa watoto wengine watatu, Messiah, Domani na Deyjah aliowapata kwenye mahusiano yake yaliyopita, na Tiny naye ni mama wa mtoto mmoja wa kike Zonnique aliyempata kwenye uhusiano wake...
9 years ago
Global Publishers24 Dec
John Legend kupata mtoto wa kike
Staa wa muziki wa R&B, John Legend akiwa ameshika tumbo la mkewe (Chrissy).
KAMA ulikuwa unajiuliza kama staa wa R&B, John Legend anayetamba na Ngoma ya All of Me atapata mtoto wa kike au wa kiume, jibu umeshalipata baada ya juzi kati kuweka wazi.
John Legend akiimba moja ya nyimbo zake jukwaani.
Kupitia ukurasa wake wa Instagram, John Legend ambaye anaishi na mkewe, Chrissy Teigen aliweka wazi jina la mtoto na hiyo ilikuwa baada ya kufanyiwa mahojiano na Jarida la Vogue toleo la Thailand.
9 years ago
Bongo501 Oct
Omarion na girlfriend wake wanatarajia kupata mtoto wa pili
10 years ago
Bongo510 Dec
Hamisa Mobeto na mchumba wake Dj Majey wa E-FM wanatarajia kupata mtoto
10 years ago
Bongo519 Jan
H.Baba na mke wake Flora Mvungi wanatarajia kupata mtoto wa pili
10 years ago
Bongo529 Aug
Shakira na boyfriend wake Gerard Piqué wanatarajia kupata mtoto wa pili
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-rXyjjNUhOA4/VRSX54-S7ZI/AAAAAAAAZ5g/tQaChHUOd2Q/s72-c/diamond567.jpg)
HII NI ISHARA KWAMBA DIAMOND NA ZARINAH WANATARAJIA KUPATA MTOTO WA KIKE
![](http://3.bp.blogspot.com/-rXyjjNUhOA4/VRSX54-S7ZI/AAAAAAAAZ5g/tQaChHUOd2Q/s640/diamond567.jpg)
Remember that you'll never have to fight for a spot in the life of someone who truly loves, respects, or cares about you.....it shld be mutual!!!!"-ZARI
![](http://4.bp.blogspot.com/-ta8R_OMfGlw/VRXN4p7Kc3I/AAAAAAADdwU/SxoWS3JDofQ/s1600/zari-mtoto.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-O2WzZ8lKIcg/VRXN43s5TmI/AAAAAAADdwY/WsNvAbinI0E/s1600/Zari-princess.jpg)
9 years ago
Mtanzania15 Oct
John Legend, Chrissy watarajia mtoto
NEW YORK, MAREKANI
NYOTA wa muziki nchini Marekani, John Legend na mke wake, Chrissy Teigen, wanatarajia kupata mtoto wao wa kwanza.
Wawili hao walifanikiwa kufunga ndoa Septemba 2013, lakini hawakufanikiwa kupata mtoto kwa kipindi kirefu.
“Tuna furaha kubwa kutangaza kwamba tunatarajia kupata mtoto wetu wa kwanza, sio kazi rahisi lakini tunamshukuru Mungu kwa kusikia kilio chetu, tunatarajia kuongeza familia yetu,” alisema Chrissy kupitia akaunti yake ya Instagram.
Mwanamitindo huyo mwenye...
9 years ago
Bongo504 Nov
Baghdad na mkewe wapata mtoto wao wa kwanza
![Baghdad](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Baghdad-300x194.jpg)
Rapper Baghdad amekuwa baba baada ya mke wake kujifungua mtoto wao wa kwanza.
Mke wa Baghdad, amejifungua mtoto wa kiume Jumanne ya Nov.3.
Kupitia akaunti yake ya Instagram, rapper huyo alitoa taarifa hiyo njema kwa mashabiki wake;
“Hakika mungu atakupitisha njia zote alizokuandalia na kila jina aliloliandaa utaitwa.
Nashukuru mungu kwa kunipa kibali cha kuitwa baba maana kuzaa sio zali bali ni majaaaliwa.”
Baghdad alifunga ndoa July 25 mwaka huu na mpenzi wake waliyedumu kwa miaka mitatu...
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10