Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


John Legend na mkewe wanatarajia kupata mtoto wa kwanza

Couple ya mwimbaji John Legend na mkewe Chrissy Teigen imejawa na furaha baada ya kufanikiwa zoezi walilojaribu kwa muda mrefu bila mafanikio la kupata mtoto wao wa kwanza. Teigen ameeleza furaha yake ya kuwa mjamzito kupitia Instagram kwa kushare picha akiwa na mumewe anayeonekana akimshika tumbo na kuandika; “John and I are so happy to […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

T.I na mkewe Tiny wanatarajia kupata mtoto wao wa tatu

Ti and Tiny

Rapper T.I wa Marekani na mkewe Tameka “Tiny” Cottle-Harris wanatarajia kupata mtoto mwingine atayefikisha idadi ya jumla ya watoto saba wa familia yao.

Ti and Tiny

Taarifa hizo zilitolewa na Tiny December 25 kupitia Instagram.

T.I na Tiny tayari wana watoto wawili, King na Major waliowapata pamoja, huku T.I akiwa ni baba wa watoto wengine watatu, Messiah, Domani na Deyjah aliowapata kwenye mahusiano yake yaliyopita, na Tiny naye ni mama wa mtoto mmoja wa kike Zonnique aliyempata kwenye uhusiano wake...

 

9 years ago

Global Publishers

John Legend kupata mtoto wa kike

chrissy-teigen-pregnant-modStaa wa muziki wa R&B, John Legend akiwa ameshika tumbo la mkewe (Chrissy).

KAMA ulikuwa unajiuliza kama staa wa R&B, John Legend anayetamba na Ngoma ya All of Me atapata mtoto wa kike au wa kiume, jibu umeshalipata baada ya juzi kati kuweka wazi.

Mezzanine_502

John Legend akiimba moja ya nyimbo zake jukwaani.

Kupitia ukurasa wake wa Instagram, John Legend ambaye anaishi na mkewe, Chrissy Teigen aliweka wazi jina la mtoto na hiyo ilikuwa baada ya kufanyiwa mahojiano na Jarida la Vogue toleo la Thailand.

people-john-legend-20315281jpg

 

9 years ago

Bongo5

Omarion na girlfriend wake wanatarajia kupata mtoto wa pili

Mwimbaji wa R&B wa Marekani ambaye ni baba wa mtoto mmoja, Omarion na girlfriend wake wa muda mrefu aitwaye Apryl Jones wanajiandaa kumpokea mtoto wao wa pili. Mwimbaji huyo wa ‘Post to Be’ ametumia akaunti zake za mitandao ya kijamii kushare na mashabiki wake kuwa girlfriend wake ni mjamzito na anatarajia kujifungua mtoto wa kike. […]

 

10 years ago

Bongo5

Hamisa Mobeto na mchumba wake Dj Majey wa E-FM wanatarajia kupata mtoto

Leo Dec.10 ni birthday ya mwanamitindo mrembo Hamisa Mobeto a.k.a kadomo ambaye ni ubavu wa mmoja wa wakurugenzi wa E-FM ambaye pia ni Dj, Dj Majey. Kama ilivyo kawaida kwenye siku kama hizi wapenzi hutakiana heri ya siku ya kuzaliwa, kitu ambacho hata Majey kakifanya kwa Hamisa, lakini wishes hizo zimeambatana na kuweka wazi kuwa […]

 

10 years ago

Bongo5

H.Baba na mke wake Flora Mvungi wanatarajia kupata mtoto wa pili

H.Baba amethibitisha kuwa mke wake Flora Mvungi ni mjamzito na hivyo wanatarajia kupata mtoto wa pili. Akizungumza na 255 ya XXL leo, H. Baba amesema miongoni mwa mafanikio aliyopata mwaka jana ni pamoja na kumpa ujauzito mwingine mke wake. “Faida ya mwaka jana ni mwana mama Flora Mvungi kujaa tena,” alisema. “Nikwambie kitu kimoja mimba […]

 

10 years ago

Bongo5

Shakira na boyfriend wake Gerard Piqué wanatarajia kupata mtoto wa pili

Mwimbaji Shakira na boyfriend wake mcheza mpira Gerard Piqué wanatarajia kupata mtoto wa pili. Mwimbaji huyo wa Colombia amethibitisha habari hizo kupitia jarida la ‘Cosmopolitan Magazine’ Spanish version. Ni karibia miaka miwili sasa toka Shakira na Piqué wapate mtoto wa kwanza aitwaye Milan, aliyezaliwa January 22, 2013.

 

10 years ago

Vijimambo

HII NI ISHARA KWAMBA DIAMOND NA ZARINAH WANATARAJIA KUPATA MTOTO WA KIKE


Remember that you'll never have to fight for a spot in the life of someone who truly loves, respects, or cares about you.....it shld be mutual!!!!"-ZARI 

 

9 years ago

Mtanzania

John Legend, Chrissy watarajia mtoto

John Legend na mkeNEW YORK, MAREKANI

NYOTA wa muziki nchini Marekani, John Legend na mke wake, Chrissy Teigen, wanatarajia kupata mtoto wao wa kwanza.

Wawili hao walifanikiwa kufunga ndoa Septemba 2013, lakini hawakufanikiwa kupata mtoto kwa kipindi kirefu.

“Tuna furaha kubwa kutangaza kwamba tunatarajia kupata mtoto wetu wa kwanza, sio kazi rahisi lakini tunamshukuru Mungu kwa kusikia kilio chetu, tunatarajia kuongeza familia yetu,” alisema Chrissy kupitia akaunti yake ya Instagram.

Mwanamitindo huyo mwenye...

 

9 years ago

Bongo5

Baghdad na mkewe wapata mtoto wao wa kwanza

Baghdad

Rapper Baghdad amekuwa baba baada ya mke wake kujifungua mtoto wao wa kwanza.

Baghdad

Mke wa Baghdad, amejifungua mtoto wa kiume Jumanne ya Nov.3.

Kupitia akaunti yake ya Instagram, rapper huyo alitoa taarifa hiyo njema kwa mashabiki wake;

“Hakika mungu atakupitisha njia zote alizokuandalia na kila jina aliloliandaa utaitwa.
Nashukuru mungu kwa kunipa kibali cha kuitwa baba maana kuzaa sio zali bali ni majaaaliwa.”

Baghdad na mkewe

Baghdad alifunga ndoa July 25 mwaka huu na mpenzi wake waliyedumu kwa miaka mitatu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani