Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Baghdad na mkewe wapata mtoto wao wa kwanza

Baghdad

Rapper Baghdad amekuwa baba baada ya mke wake kujifungua mtoto wao wa kwanza.

Baghdad

Mke wa Baghdad, amejifungua mtoto wa kiume Jumanne ya Nov.3.

Kupitia akaunti yake ya Instagram, rapper huyo alitoa taarifa hiyo njema kwa mashabiki wake;

“Hakika mungu atakupitisha njia zote alizokuandalia na kila jina aliloliandaa utaitwa.
Nashukuru mungu kwa kunipa kibali cha kuitwa baba maana kuzaa sio zali bali ni majaaaliwa.”

Baghdad na mkewe

Baghdad alifunga ndoa July 25 mwaka huu na mpenzi wake waliyedumu kwa miaka mitatu...

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Bongo5

Mwisho mwampamba na mkewe Mnamibia Meryl wa ‘BBA’ wapata mtoto wao pili wa kiume

Mtangazaji wa kipindi cha ‘Boys Boys’ cha TV 1, Mwisho Mwampamba na mkewe Meryl ambaye walikutana na kuanzisha mahusiano kwenye Big Brother Africa ‘All stars’, wamefanikiwa kupata mtoto wao wa pili kama couple. Meryl ambaye ni Mnamibia amejifungua mtoto wa kiume mwishoni mwa May 2014 ambaye wamemuita ‘King David’. Meryl akiwa na mtoto wa Mwisho […]

 

9 years ago

Bongo5

T.I na mkewe Tiny wanatarajia kupata mtoto wao wa tatu

Ti and Tiny

Rapper T.I wa Marekani na mkewe Tameka “Tiny” Cottle-Harris wanatarajia kupata mtoto mwingine atayefikisha idadi ya jumla ya watoto saba wa familia yao.

Ti and Tiny

Taarifa hizo zilitolewa na Tiny December 25 kupitia Instagram.

T.I na Tiny tayari wana watoto wawili, King na Major waliowapata pamoja, huku T.I akiwa ni baba wa watoto wengine watatu, Messiah, Domani na Deyjah aliowapata kwenye mahusiano yake yaliyopita, na Tiny naye ni mama wa mtoto mmoja wa kike Zonnique aliyempata kwenye uhusiano wake...

 

11 years ago

GPL

HEEE! MUME AMSHTAKI MKEWE KWA WIZI WA MTOTO WAO

KIOJA! Jalada la kesi namba MAG/RB/8329/2014- WIZI kwenye Kituo cha Polisi cha Magomeni, Dar, limefunguliwa na mwanaume aitwaye Rashidi akimshitaki mkewe, Fatuma Ally akimtuhumu kwa wizi wa mwanaye Zainabu Rashidi aliyemwandikisha jina la mwanaume mwingine aliyetajwa kwa jina la Paulo Mlela. Bw. Rashidi anayemshitaki mkewe, Fatuma Ally kwa wizi wa mwanaye Zainabu Rashidi. Kwa mujibu wa Rashidi anayeishi na familia yake maeneo...

 

10 years ago

Bongo5

John Legend na mkewe wanatarajia kupata mtoto wa kwanza

Couple ya mwimbaji John Legend na mkewe Chrissy Teigen imejawa na furaha baada ya kufanikiwa zoezi walilojaribu kwa muda mrefu bila mafanikio la kupata mtoto wao wa kwanza. Teigen ameeleza furaha yake ya kuwa mjamzito kupitia Instagram kwa kushare picha akiwa na mumewe anayeonekana akimshika tumbo na kuandika; “John and I are so happy to […]

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kilimanjaro wapata mrembo wao mpya

HAPPYNESS Samwel (18), juzi alifanikiwa kubeba taji la Redd’s Miss Kilimanjaro 2014 akirithi kiti cha Winnie Shayo kupitia shindano lililofanyika Ukumbi wa Kilihome, Soweto, Manispaa ya Moshi. Wakati Happyness akivikwa...

 

10 years ago

GPL

‘RAIS MTARAJIWA’ KANYE WEST NA MKEWE KIM WAHUDHURIA HARUSI YA BOSI WAO

Kanye West na mkewe, Kim Kardashian. Kanye na mkewe, Kim. Kanye West. Mwanamitindo maarufu duniani, Kim Kardashian, alipokuwa akielekea kwenye harusi ya bosi wao. Kanye na Kim New York,…

 

11 years ago

Habarileo

Atuhumiwa kulawiti mtoto wa mkewe

MKAZI wa eneo la Majengo mjini Manyoni, Juma Saidi (32) anashikiliwa na Polisi akituhumiwa kumlawiti mtoto wa mkewe. Mtoto huyo mwenye umri wa miaka 14, anasoma Kidato cha Kwanza katika shule moja ya sekondari wilayani Manyoni na inadaiwa alifanyiwa kitendo hicho juzi saa 6 usiku nyumbani kwao.

 

10 years ago

Mtanzania

Diamond, Zari wapata mtoto wa kike

Diamond-Platnumz-na-ZariNA VICTORIA PATRICK (TSJ)

MKALI wa muziki wa Bongo Fleva, Naseeb Abdul (Diamond Platinum) na mpenzi wake, Zarina Hassan (Zari) wamefanikiwa kupata mtoto wa kike waliyempa jina Princess Tiffan.

“Sura ya mama yangu inatosha kueleza ni kiasi gani najisikia ndani ya moyo wangu, karibu kwenye ulimwengu Princess Tiffan” aliandika Diamond katika kurasa zake mbalimbali katika mitandao ya kijamii baada ya kumpata mtoto huyo juzi.

Baada ya kuandika hivyo, wadau na wasanii mbalimbali wa sanaa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani