Kilimanjaro wapata mrembo wao mpya
HAPPYNESS Samwel (18), juzi alifanikiwa kubeba taji la Redd’s Miss Kilimanjaro 2014 akirithi kiti cha Winnie Shayo kupitia shindano lililofanyika Ukumbi wa Kilihome, Soweto, Manispaa ya Moshi. Wakati Happyness akivikwa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog06 May
Wimbo mpya wa wasanii wazawa wa Kilimanjaro wakielezea utamaduni wa wachaga, ukarimu wa wakazi wa Kilimanjaro — “Kilimanjaro”
Wimbo unaelezea utamaduni wa wachaga, ukarimu wa wakazi wa Kilimanjaro, na uzuri wa Mkoa wa kilimanjaro.
9 years ago
Bongo504 Nov
Baghdad na mkewe wapata mtoto wao wa kwanza
Rapper Baghdad amekuwa baba baada ya mke wake kujifungua mtoto wao wa kwanza.
Mke wa Baghdad, amejifungua mtoto wa kiume Jumanne ya Nov.3.
Kupitia akaunti yake ya Instagram, rapper huyo alitoa taarifa hiyo njema kwa mashabiki wake;
“Hakika mungu atakupitisha njia zote alizokuandalia na kila jina aliloliandaa utaitwa.
Nashukuru mungu kwa kunipa kibali cha kuitwa baba maana kuzaa sio zali bali ni majaaaliwa.”
Baghdad alifunga ndoa July 25 mwaka huu na mpenzi wake waliyedumu kwa miaka mitatu...
10 years ago
MichuziKILIMANJARO WAPATA MAFUNZO YA MENEJIMENTI YA MAAFA YA UKAME
10 years ago
Dewji Blog01 Apr
Shirika la Ndege la FASTJET lazindua safari mpya kutoka Kilimanjaro — Mwanza na Kilimanjaro — Entebe Uganda
Meneja Mkuu wa Shirika la Ndege la Fastjet Tanzania Jimmy Kibati akiongea na wandishi wa habari Mkoani Arusha leo wakati wa uzinduzi wa safari mpya ya ndege ya Fastjet kutoka Kilimanjaro kwenda Mwanza na Kilimanjaro kwenda Entebe Uganda, pembeni yake kulia ni Lucy Mbogoro Afisa Mahusiano na Masoko na kushoto ni Neema David Afisa Biashara wote toka shirika hilo.
Meneja Mkuu wa Shirika la Ndege la Fastjet Tanzania Jimmy Kibati akimkabidhi tiketi mwandishi wa habari toka Tbc Sechelela...
10 years ago
Bongo518 Sep
Mwisho mwampamba na mkewe Mnamibia Meryl wa ‘BBA’ wapata mtoto wao pili wa kiume
11 years ago
GPLMUONEKANO MPYA WA MREMBO WEMA SEPETU
10 years ago
Bongo509 Sep
Picha: Prezzo amweka wazi mrembo wake mpya
10 years ago
VijimamboBANDAMAJI WAPATA MASJID MPYA
9 years ago
MichuziARUSHA WAPATA MEYA MPYA