Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


BANDAMAJI WAPATA MASJID MPYA

Mwenyekiti wa Kamati ya kuendeleza ujenzi wa Misikiti na Madrasa Zanzibar Rais Mstafu wa Tanzania Al-Hajj Ali Hassan Mwinyi akitoa salamu wakati wa hafla ya ufunguzi wa Msikiti Mpya wa Ijumaa wa Kijiji cha Bandamaji Mvumoni Mkoa wa Kaskazini Unguja.Kulia ya Mzee Mwinyi ni Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi na Mfadhili wa Ujen zi wa Msikiti huo Sheikh Muhoma.Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akizungumza na waumini wa dini ya Kiislamu wa Kijiji cha...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

ufunguzi wa Msikiti Mpya wa Ijumaa wa Kijiji cha Bandamaji Mvumoni Mkoa wa Kaskazini Unguja.

 Mwenyekiti wa Kamati ya kuendeleza ujenzi wa Misikiti na Madrasa Zanzibar Rais Mstafu wa Tanzania Al-Hajj Ali Hassan Mwinyi akitoa salamu wakati wa hafla ya ufunguzi wa Msikiti Mpya wa Ijumaa wa Kijiji cha Bandamaji Mvumoni Mkoa wa Kaskazini Unguja. Kulia ya Mzee Mwinyi ni Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi na Mfadhili wa Ujen zi wa Msikiti huo Sheikh Muhoma. Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akizungumza na waumini wa dini ya Kiislamu wa Kijiji cha...

 

9 years ago

Michuzi

ARUSHA WAPATA MEYA MPYA

Mkuu wa Wilaya ya Arusha Mhe. Fadhil Nkurlu akifungua rasmi Baraza la Madiwani wa Jiji la Arusha. Mwenyekiti wa muda wa Mkutano wa Baraza la Madiwani Jijini Arusha, Ndg. Daniel Machunda ambaye pia ni Katibu Tawala wa Wilaya ya Arusha akikabidhi madaraka hayo kwa Mstahiki Meya mara baada ya kuchaguliwa kwa kura 33 kati ya kura 34 zilizopigwa. Mkurugenzi wa Jiji la Arusha Ndg. Juma Iddi ambaye pia ni Katibu wa Mkutano wa Baraza akitoa muongozo wa namna Mkutano huu wa kwanza unavyoendeshwa kwa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mradi DART wapata nguvu mpya

MRADI wa mabasi yaendayo haraka umepiga hatua nyingine baada ya kupatikana kampuni ya washauri itakayofanya kazi ya kupatikana watoa huduma muhimu kwa mradi huo unaotarajiwa kuanza mwishoni mwa mwaka huu....

 

9 years ago

BBCSwahili

Wahamiaji wapata njia mpya Croatia

Kundi la kwanza la wahamiaji limewasili nchini Croatia ,ambayo ni njia mpya ya kuelekea mataifa ya Ulaya yaliopo kaskazini ,siku moja baada ya Hungary kufunga mpaka wake na Serbia.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kilimanjaro wapata mrembo wao mpya

HAPPYNESS Samwel (18), juzi alifanikiwa kubeba taji la Redd’s Miss Kilimanjaro 2014 akirithi kiti cha Winnie Shayo kupitia shindano lililofanyika Ukumbi wa Kilihome, Soweto, Manispaa ya Moshi. Wakati Happyness akivikwa...

 

9 years ago

Bongo5

Aston Villa wapata kocha mpya

151102043048_remi_garde_512x288_gettyKlabu ya Aston Villa imemteua mkufunzi wa zamani wa Lyon, Remi Garde kuwa kocha wao mpya, kuchukua nafasi ya Tim Sherwood aliyefutwa kazi. Mfaransa huyo atasaini mkataba wa miaka mitatu na nusu na mechi yake ya kwanza itakuwa ni tarehe 2/11 Jumatatu dhidi ya Tottenham. Kocha huyo mwenye miaka 49 anachukua timu hiyo ikiwa inashika […]

 

11 years ago

Michuzi

Umoja wa Watanzania Ethiopia wapata uongozi mpya

 Mhe. Naimi Aziz, Balozi wa Tanzania nchini Ethiopia akiwa na viongozi wapya wa Jumuiya ya Watanzania Ethiopia (UDUGU). Wa pili kushoto ni Dr. Naftali Kilenga ambaye amechaguliwa kuwa Mwenyekiti, na wa kwanza kulia ni Dr. Florence Temu, ambaye amechaguliwa kuwa Makamu Mwenyekiti. Wa kwanza kushoto ni Bw. E. Lubuva ambaye amechaguliwa tena kuendelea kuwa Katibu wa UDUGU. Mhe. Balozi Naimi Aziz akiwa na Mwenyekiti Mpya Dr. Naftali Kilenga kushoto, na kulia kwake ni Bibi Josephine Marialle...

 

10 years ago

Michuzi

NMB Wapata Mkurugenzi na CEO Mpya Bi. Ineke Bussemaker, Wamkaribisha Rasmi na kumuaga aliyemaliza muda wake

Benki ya NMB imemkaribisha Mkurugenzi Mtendaji mpya – Ineke Bussemaker anayechukua nafasi ya Mark Wiessing aliyemaliza muda wake. Mark Wiessing amepangiwa kituo kingine cha Kazi ndani ya Benki Mama ya NMB – ‘Rabobank’ na sasa ataenda kuwa Meneja Mkuu nchini Brazil.Bwana Wiessing ataanza rasmi wadhifa mpya mwezi wa tano mwaka huu. Ineke Bussemaker anakuja NMB akitokea ndani ya shirika mama la NMB – ‘Rabobank’ la nchini Uholanzi ambako alikuwa Mtendaji Mkuu katika Kitengo cha Malipo.Ineke ana...

 

11 years ago

Michuzi

MASJID APPEAL-MADRASSATUL AQSAA

URGENT MASJID  APPEAL MADRASATUL  AQSAA COVENTRY (Reg Charity No 1148412)  We humbly appeal to All Islamic Organisation and Muslims for kind and argent financial support to purchase building for Masjid and Madrasah. The purchase price of the building is £300,000. We have only six months to pay this sum You can donate by: 1- Making a Standing Order will ensure you donate a regular amount to this noble cause. 2- Sending us a cheque made payable to Madrasatul Aqsaa 3- Making a refundable...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani