Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MASJID APPEAL-MADRASSATUL AQSAA

URGENT MASJID  APPEAL MADRASATUL  AQSAA COVENTRY (Reg Charity No 1148412)  We humbly appeal to All Islamic Organisation and Muslims for kind and argent financial support to purchase building for Masjid and Madrasah. The purchase price of the building is £300,000. We have only six months to pay this sum You can donate by: 1- Making a Standing Order will ensure you donate a regular amount to this noble cause. 2- Sending us a cheque made payable to Madrasatul Aqsaa 3- Making a refundable...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

Maalim Seif Afungua Masjid Aqsaa Kiboje Mkwajuni Unguja

Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akifungua pazia kuashiria ufunguza rasmi wa MASJID AQSAA katika kijiji cha Kiboja Mkwajuni, Wilaya ya Kati Unguja.Sheikh Abdalla Rajab, akisoma risala ya wazee wa MASJID AQSAA ulioko Kiboje Mkwajuni wakati wa hafla hiyo.Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad na, viongozi wa dini ya kiislamu nchini pamoja na waislamu mbali mbali wakisikiliza hotuba ya Ijumaa iliyotolewa na Katibu wa Mufti wa...

 

10 years ago

Vijimambo

BANDAMAJI WAPATA MASJID MPYA

Mwenyekiti wa Kamati ya kuendeleza ujenzi wa Misikiti na Madrasa Zanzibar Rais Mstafu wa Tanzania Al-Hajj Ali Hassan Mwinyi akitoa salamu wakati wa hafla ya ufunguzi wa Msikiti Mpya wa Ijumaa wa Kijiji cha Bandamaji Mvumoni Mkoa wa Kaskazini Unguja.Kulia ya Mzee Mwinyi ni Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi na Mfadhili wa Ujen zi wa Msikiti huo Sheikh Muhoma.Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akizungumza na waumini wa dini ya Kiislamu wa Kijiji cha...

 

10 years ago

Michuzi

Maalim seif azindua msikiti wa Ijumaa MASJIDIL AQSAA katika kijiji cha Kiboje Mkwajuni, Zanzibar

Na Hassan Hamad (OMKR) Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, amewasisitiza waislamu nchini kuachana na tabia ya kugombania misikiti, kwani haisaidii kuendeleza dini hiyo. Amesema misikiti ni nyumba za Mwenyezi Mungu, hivyo hakuna sababu kwa waislamu kulumbana kwa sababu za kugombea uongozi au kutokana na tofauti ya kimadhehebu. Maalim Seif ametoa nasaha hizo wakati akifungua msikiti wa Ijumaa MASJIDIL AQSAA katika kijiji cha Kiboje Mkwajuni, Wilaya ya Kati...

 

11 years ago

Michuzi

SHEREHE YA UFUNGUZI WA MASJID AN NOOR LEICESTER

Assalaamu Alaykum Wa Rahmatul Lah

Inshaa Allah Jumapili tarehe 22 Juni 2014 itakuwa ndiyo siku ya Ufunguzi Rasmi wa Jengo la Kituo cha An Noor Leicester (An Noor Community Centre) pamoja na Masjid An Noor

Maimamu wa Misikiti yote ya mjini Leicester wamealikwa kuhudhuria katika mjumuiko Maalumu ambao utakuwa na lengo la kutambuana rasmi, kuimarisha Ushirikiano na kufungua milango kuwakaribisha rasmi Maimamu wa Leicester na Wafuasi wao

Wanakamati wote wa Jumuia ya An Noor pia watahudhuria...

 

10 years ago

Vijimambo

Mashindano ya kuhifadhi Qur'aan Masjid Afraa Kidongo Chekundu

Mashindano makubwa ya kuhifadhi Qur'aan Afrika Mashariki yakiendelea Masjid AfraaUnaweza kuipata Live http://zctv.co.tz/online/

 

10 years ago

Michuzi

MAALIM SEIF NA AMANI KARUME WASHIRIKI KWENYE FUTARI YA PAMOJA MASJID IMANI UNGUJA

 Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akisalimiana na waislamu mbali mbali wakati akiwasili “Masjid Imani” iliyoko Mbweni kwa ajili ya kufutari. Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad na Rais Mstaafu wa Zanzibar Dkt. Amani Abeid Karume, wakisalimiana na waislamu mbali mbali katika “Masjid Imani” iliyoko Mbweni walipofika kwa ajili ya kufutari. Rais Mstaafu wa Zanzibar Dkt. Amani Abeid Karume, akipokea zawadi ya misahafu kutoka kwa...

 

10 years ago

Vijimambo

MASJID KUBAH NA MADRASAT RAHMAN SEGEREA INAWAKARIBISHA KATIKA MAULID SIKU 9 HADI 10 MAI 2015

Tunawataarifu waislamu wote kuwa tutakuwa na shughuli Haulia ya kisomo cha maulid ya kumsalia mtume Muhammad (s.w.a) katika Msikiti wa masjid Kubah na Madrasat Rahman ,Segerea mwisho,Tabata Dar-es-salaam siku ya 9 na 10 Mai 2015 mnakaribishwa wote na madrsa wanazotaka kushiriki tafadhali pigeni simu na. 0767617961 au 0712840960 pia 0777000036 karibu sana.
Ungana nasi at https://www.facebook.com/profile.php?id=100006405199429

 

10 years ago

Michuzi

MASJID KUBAH NA MADRASAT RAHMAN SEGEREA, DAR INAWAKARIBISHA KATIKA MAULID TAREHE 9 HADI 10 MEI 2015

 Tunawataarifu waislamu wote kuwa tutakuwa na shughuli Haulia ya kisomo cha maulid ya kumsalia mtume Muhammad (s.w.a) katika Msikiti wa masjid Kubah na Madrasat Rahman ,Segerea mwisho,Tabata Dar-es-salaam tarehe  9 na 10 Mei 2015

Ratiba ya shughuli kuanzia asubuhi ya Jumamosi 9 Mei 2015 kisomo cha kinamama (wanawake) mchana kutakuwa na madrasa na kisomo cha wanafunzi  jioni hadi siku ya 10 Mai 2015 Kisomo cha haulia na Maulidi mnakaribishwa wote na madrsa wanazotaka kushiriki tafadhali pigeni...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani