Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Picha: Prezzo amweka wazi mrembo wake mpya

Baada ya drama kutoka kwa Diva, Huddah Monroe na Chagga Barbie, Prezzo ameamua kutulia na msichana asiye na umaarufu wowote. Mrembo mpya wa Prezzo Rapper huyo kutoka Kenya ameshare picha ya mrembo wake mpya kwenye Instagram na kuandika: “My 1st & only #WCW #Rapcellency #TrulyUnruly.”

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Picha: Davido a-share picha mpya za mtoto wake wa kike zinazomuonesha vizuri sura

Ukiachilia mbali Diamond Platnumz wa Tanzania na rapper AKA wa Afrika Kusini, Davido ni staa mwingine wa Afrika aliyepata mtoto hivi karibuni na anajivunia kuwa BABA. Davido na mama wa mwanaye Davido ambaye ni miezi mitatu imepita toka apate mtoto wa kike, amekuwa akishare na followers wake picha za mwanaye, ikiashiria kuwa ni jinsi gani […]

 

11 years ago

Bongo5

Picha/Audio: Utengenezaji wa video mpya ‘Mr. Oreo’ ya Iyanya, Marekani na sikiliza wimbo wake mpya ‘Story story’

Iyanya ni msanii wa Nigeria ambaye mwaka huu ameshirikishwa na star wa Bongo, Diamond Platnumz katika wimbo uitwao ‘Bum Bum’ ambao video yake imetoka hivi karibuni. Nyota huyo aka Mr. Kukere ambaye mwaka jana pia alikuja Tanzania na kutumbuiza katika tamasha la Fiesta Dar es salaam, ameachia single mpya iitwayo ‘Story story’ Feat. Oritsefemi. Hivi […]

 

10 years ago

Bongo5

Picha: Huddah Monroe aringishia mkoko wake mpya

Kwa mujibu wa Huddah Monroe, Chrismas imekuja mapema. Mrembo huyo wa Kenya ameshare picha ya kile alichodai ni gari yake mpya. Huddah akiwa mbele ya gari lake i”Ombea adui yako aishi siku nyingi Ili unapo barikiwa ajioneeeee,” ameandika Huddah kwenye picha hiyo. “No one can block the blessings that God has planned for you because […]

 

9 years ago

Mtanzania

Prezzo amtambulisha mpenzi mpya

PrezzoNAIROBI, KENYA

NYOTA wa muziki nchini Kenya, Jackson Makini ‘CMB Prezzo’, amemtambulisha mpenzi wake mpya kupitia akaunti yake ya Instagram.

Msanii huyo kwa sasa anajulikana kwa jina la ‘Mfalme Mswati’ kutokana na tabia yake ya kubadilisha wasichana kila baada ya muda.

Siku za hivi karibuni msanii huyo alionekana kuwa mtulivu tofauti na miaka iliyopita, ambapo msanii huyo alikuwa na sifa ya kugombanisha warembo, lakini kwa sasa amekuwa na aina mpya ya kubadilisha wasichana kila...

 

11 years ago

Dewji Blog

David Beckham aonyesha wazi ushabiki wake kwa Argentina baada ya kuwavisha watoto wake jezi za timu hiyo

article-2690667-1F9E2D9C00000578-470_964x755

Family outing: David Beckham and his three sons Brooklyn, Cruz and Romeo were all in attendance – with the boys all wearing Argentina kits.

article-2690667-1F9D901500000578-575_964x642

Family ties: Beckham’s youngest son Cruz was also showing his support for Argentina in the team’s dark blue away kit.

article-2690667-1F9D9B6700000578-945_964x663

Switched allegiances: David Beckham was in the crowd for the final with his young sons, including Romeo, 11, who was wearing an Argentina shirt.

article-2690667-1F9D90A100000578-712_964x635

Stars of the game: Former Brazilian internationals Kaka and Pele with Beckham before the...

 

10 years ago

Dewji Blog

Baada ya kimya kirefu hii ni ngoma mpya kutoka kwa Prezzo “Bila Mundai”

pREZZOCMB

Kichwa cha 254,Prezzo,Mr.Trendsetter,mzee wa swagg chafu,baada ya kimya cha muda kidogo, anakuja tena na ngoma yake mpya inayoitwa “Bila Mundai”,ipate bila mundai kwenye mkito hapa https://mkito.com/song/bila-mundai-prezzo/6521 ,kwa mahojiano,bookings na inquiries kuhusu Prezzo call +255787276352 au andika barua pepe kwenda bookings.prezzo@gmail.com

 

9 years ago

Bongo5

Q-Chief amezama kwa mrembo huyu? (Picha)

12277431_527519090736493_1118762771_n

Huenda Q Chief akawa amezama kwenye penzi zito na mrembo huyu na anataka kila mtu ajue.

12277431_527519090736493_1118762771_n

Mwimbaji huyo aliyeachia wimbo ‘Mkungu wa Ndizi’ hivi baribuni akiwa na TID, aliposti picha katika mtandao wa Instagram akila denda na msichana huyo.

Hivi karibuni Q Chief alinukuliwa na vyombo vya habari akisema, ameamua kuingia kwenye maisha ya ndoa baada ya kuona mwanamke aliye naye ameweza kumsaidia kumuondoa katika matatizo yaliyokuwa yakimkabili.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi...

 

10 years ago

Bongo5

Picha: Mrembo huyu wa kizungu ndiye mpenzi wa Adam Nditi!

Mchezaji Mtanzania wa aliyekuwa akichezea timu ya vijana ya Chelsea, Adam Nditi amemweka wazi mpenzi wake. Msichana huyo anaitwa Melissa Kerwood. Adam Nditi akiwa na Melissa Kerwood Kupitia ukurasa wa Twitter, Adam amemwandikia mrembo huyo ujumbe huu kumpongeza kwenye siku yake ya kuzaliwa: Happy Birthday to my beautiful girlfriend @Melissa_kerwood Hope your day is as […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani