Picha: Huddah Monroe aringishia mkoko wake mpya
Kwa mujibu wa Huddah Monroe, Chrismas imekuja mapema. Mrembo huyo wa Kenya ameshare picha ya kile alichodai ni gari yake mpya. Huddah akiwa mbele ya gari lake i”Ombea adui yako aishi siku nyingi Ili unapo barikiwa ajioneeeee,” ameandika Huddah kwenye picha hiyo. “No one can block the blessings that God has planned for you because […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo520 Feb
Picha: Huddah Monroe achefua tena, atupia picha akiwa uc*i kitandani! (18+)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/VEmjh*oDsum4JyolUDDZgZsGhuZmuxRzADfp6BW0VR3tp2S2WTe2T0tnmhI0fc8ZNI0BFXF2fJc8zh1vPiTBzC0cCSMmsr7T/huddah.jpg?width=650)
HUDDAH MONROE AZIDI KUANIKA PICHA ZAKE
11 years ago
CloudsFM28 Jul
HUDDAH MONROE AMKUBALI ALI KIBA
STAA asiyekwisha vituko kutoka nchini Kenya Huddah Monroe ameonyesha kumkubali staa wa Bongo Fleva,Ally Kiba kutokana na kazi nzuri anayofanya kwenye game hiyo.
Kupitia account ya Instagram Huddah aliandika ‘’Whaaaatttt!I was wondering where @OfficialAlkiba had gone to!Sauti ya kumtoa nyoka pangoni!Stii my favourite Tanzania artist,the real definition of Bongo Flava!Duh1
9 years ago
Mtanzania18 Aug
Huddah Monroe avishwa pete ya uchumba
Nairobi, Kenya
MREMBO kutoka nchini Kenya, Huddah Monroe, ameanza kuionesha pete ya uchumba aliyovishwa wiki iliyopita.
Mwanamitindo huyo mwenye umaarufu mkubwa nchini humo, ameamua kuvunja ukimya wake na kuionesha pete hiyo kupitia akaunti yake ya Instagram.
“Kila kitu kipo wazi, lakini muda ukifika watu watamjua nani aliyenivisha pete hii, lakini kwa sasa watu wanatakiwa wajue nina pete ya uchumba.
“Kwa sasa naweza kusema sihitaji usumbufu kutoka kwa mwanamume yeyote, huu ni muda wangu wa...
11 years ago
Bongo529 Jul
Huddah Monroe: ‘Alikiba is the real definition of Bongo Flava’, akunwa na Mwana
11 years ago
Bongo505 Aug
Huddah Monroe na Vera Sidika waendelea kurushiana matusi, ya leo ni hatari!!
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/LYZFIUrxeOA/default.jpg)
10 years ago
CloudsFM09 Apr
Baada ya kuachana na Nay Wa Mitego,mambo yamnyookea Siwema,aanika mkoko wake mpya.
Mambo yameanza kumnyookea mzazi mwenziye na msanii wa Bongo Fleva,Nay Wa Mitego,Siwema baada ya kuanika mkoko wake mpya mtandaoni.
Nay Wa Mitego na Siwema wapo kwenye mgogoro hadi kufikia hatua msanii huyo kumchukua mtoto wake ambaye hivi sasa analelewa na mama yake Nay. Kupitia mtandao wa Instagram Siwema aliwahi kulalamika kuwa Nay Wa Mitego alimrudisha nyuma kimaendeleo.
9 years ago
Bongo525 Aug
Picha: Davido a-share picha mpya za mtoto wake wa kike zinazomuonesha vizuri sura