Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Huddah Monroe: ‘Alikiba is the real definition of Bongo Flava’, akunwa na Mwana

Aliyewahi kuwa mwakilishi wa Kenya kwenye shindano la Big Brother Africa, Huddah Monroe anaamini Alikiba ndiye msanii anayebeba maana halisi ya muziki wa Bongo Flava. Huddah anadai alikuwa hajui ni wapi alipokuwa amepotelea staa huyo lakini baada kusikia wimbo wake mpya ‘Mwana’, amethibitisha kuwa Alikiba ni msanii bora kwake. “Whaaaaatttttt! I was wondering where Alikiba […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mtanzania

Huddah Monroe avishwa pete ya uchumba

Huddah-Monroe-Image-from-izvipiNairobi, Kenya

MREMBO kutoka nchini Kenya, Huddah Monroe, ameanza kuionesha pete ya uchumba aliyovishwa wiki iliyopita.

Mwanamitindo huyo mwenye umaarufu mkubwa nchini humo, ameamua kuvunja ukimya wake na kuionesha pete hiyo kupitia akaunti yake ya Instagram.

“Kila kitu kipo wazi, lakini muda ukifika watu watamjua nani aliyenivisha pete hii, lakini kwa sasa watu wanatakiwa wajue nina pete ya uchumba.

“Kwa sasa naweza kusema sihitaji usumbufu kutoka kwa mwanamume yeyote, huu ni muda wangu wa...

 

11 years ago

CloudsFM

HUDDAH MONROE AMKUBALI ALI KIBA

STAA asiyekwisha vituko kutoka nchini Kenya Huddah Monroe ameonyesha kumkubali staa wa Bongo Fleva,Ally Kiba kutokana na kazi nzuri anayofanya kwenye game hiyo.Kupitia account ya Instagram Huddah aliandika ‘’Whaaaatttt!I was wondering where @OfficialAlkiba had gone to!Sauti ya kumtoa nyoka pangoni!Stii my favourite Tanzania artist,the real definition of Bongo Flava!Duh1

 

11 years ago

GPL

HUDDAH MONROE AZIDI KUANIKA PICHA ZAKE

MREMBO kutoka nchini Kenya Huddah Monroe, ameendelea kutupia picha zake za 'utupu' kupitia mtandao wa Instagram kama kawaida yake. Staa huyo ambaye kwa sasa yupo Abuja nchini Nigeria ametupia picha zake akijiachia na mavazi ya kuogelea huku nyingine akiwa na mwenzake.…

 

10 years ago

Bongo5

Picha: Huddah Monroe aringishia mkoko wake mpya

Kwa mujibu wa Huddah Monroe, Chrismas imekuja mapema. Mrembo huyo wa Kenya ameshare picha ya kile alichodai ni gari yake mpya. Huddah akiwa mbele ya gari lake i”Ombea adui yako aishi siku nyingi Ili unapo barikiwa ajioneeeee,” ameandika Huddah kwenye picha hiyo. “No one can block the blessings that God has planned for you because […]

 

11 years ago

Bongo5

Huddah Monroe na Vera Sidika waendelea kurushiana matusi, ya leo ni hatari!!

Warembo wa Kenya waliokuwa marafiki wa karibu, Huddah Monroe na Vera Sidika wameendelea na drama yao ya kurushiana vijembe kwenye mitandao ya kijamii. Leo Vera amemwamkia Huddah na kuwaeleza followers wake wa Instagram kuwa mwakilishi huyo wa Kenya kwenye shindano la Big Brother hana lolote na hata madai kuwa anamiliki kampuni ya masuala ya nyumba […]

 

10 years ago

Bongo5

Picha: Huddah Monroe achefua tena, atupia picha akiwa uc*i kitandani! (18+)

Huddah Monroe ameshajikubali kuwa ni ‘good girl gone bad’ na ndio maana haoni tatizo kuweka picha akiwa kitandani kama alivyozaliwa. Mrembo huyo wa Kenya amepost picha kwenye akaunti yake ya Facebook akiwa kitandani huku akiwa amejifunika na shuka sehemu ndogo tu ya mwili wake kuficha sehemu ny*ti. Mashabiki wake hawakusita kumchana. “Dnt you fear God?oh […]

 

5 years ago

Michuzi

BONGO FLAVA COMING OF BONGO POLITICAL AGE

By Godwin Semunyu.
When Joseph Mbilinyi alias Mr. Two, or Too Proud and now Sugu, was sworn in as Member of Parliament for Mbeya urban in 2010, he sent buzzing vibes to the Tanzania music industry. It was surreal to imagine that a Bongo Flava artist barred its reputation at the time, making it to its most potent legislative organ. Sugu, known for his strong lyrical messages, is regarded as an epitome of Bongo Fleva entrance into politics by being brave enough to challenge the status quo of...

 

11 years ago

ALIKIBA

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani