Huddah Monroe na Vera Sidika waendelea kurushiana matusi, ya leo ni hatari!!
Warembo wa Kenya waliokuwa marafiki wa karibu, Huddah Monroe na Vera Sidika wameendelea na drama yao ya kurushiana vijembe kwenye mitandao ya kijamii. Leo Vera amemwamkia Huddah na kuwaeleza followers wake wa Instagram kuwa mwakilishi huyo wa Kenya kwenye shindano la Big Brother hana lolote na hata madai kuwa anamiliki kampuni ya masuala ya nyumba […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania18 Aug
Huddah Monroe avishwa pete ya uchumba
Nairobi, Kenya
MREMBO kutoka nchini Kenya, Huddah Monroe, ameanza kuionesha pete ya uchumba aliyovishwa wiki iliyopita.
Mwanamitindo huyo mwenye umaarufu mkubwa nchini humo, ameamua kuvunja ukimya wake na kuionesha pete hiyo kupitia akaunti yake ya Instagram.
“Kila kitu kipo wazi, lakini muda ukifika watu watamjua nani aliyenivisha pete hii, lakini kwa sasa watu wanatakiwa wajue nina pete ya uchumba.
“Kwa sasa naweza kusema sihitaji usumbufu kutoka kwa mwanamume yeyote, huu ni muda wangu wa...
11 years ago
CloudsFM28 Jul
HUDDAH MONROE AMKUBALI ALI KIBA
STAA asiyekwisha vituko kutoka nchini Kenya Huddah Monroe ameonyesha kumkubali staa wa Bongo Fleva,Ally Kiba kutokana na kazi nzuri anayofanya kwenye game hiyo.
Kupitia account ya Instagram Huddah aliandika ‘’Whaaaatttt!I was wondering where @OfficialAlkiba had gone to!Sauti ya kumtoa nyoka pangoni!Stii my favourite Tanzania artist,the real definition of Bongo Flava!Duh1
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/VEmjh*oDsum4JyolUDDZgZsGhuZmuxRzADfp6BW0VR3tp2S2WTe2T0tnmhI0fc8ZNI0BFXF2fJc8zh1vPiTBzC0cCSMmsr7T/huddah.jpg?width=650)
HUDDAH MONROE AZIDI KUANIKA PICHA ZAKE
10 years ago
Bongo515 Dec
Picha: Huddah Monroe aringishia mkoko wake mpya