Cathy Akataa Ndoa Yake Kuwa ‘Action And Cut’
Mambo ya ndoa! Mwigizaji wa kitambo ambaye ni zao la kundi la zamani la Nyota Ensembels lililokuwa likirusha michezo yake kupitia Runinga ya ITV, Sabrina Rupia ‘Cathy’ amefunguka kuwa yeye ni msanii lakini maisha ya kisanii hayapeleki kwenye ndoa yake kwani ndoa siyo mambo ya ‘action and cut’ kama wanavyofanya lokesheni.
Cathy ameliambia Ijumaa Wikienda kwamba, ndoa nyingi za mastaa huwa hazidumu kwa sababu huchukua maisha ya nje ya ndoa na kuyapeleka kwenye ndoa ndipo wanapojikuta...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPLCATHY AKATAA NDOA YAKE KUWA ‘ACTION AND CUT’
11 years ago
GPLNDOA YA CATHY YACHOKONELEWA
11 years ago
GPLCATHY: MIAKA 13 YA NDOA NIACHIKE, MH!
10 years ago
GPLMAWIFI WAITIKISA NDOA YA CATHY
11 years ago
GPLCATHY: USTAA KWENYE NDOA NI TATIZO
11 years ago
GPLCATHY AFUNGUKA MCHEPUKO KATIKA NDOA
9 years ago
Bongo524 Nov
Baada ya kurudiana Kylie Jenner athibitisha kuwa ndoa yake na Tyga inakuja
Baada ya kudaiwa kuachana siku chache zilizopita, rapper Tyga na mrembo kutoka kwenye familia maarufu ya The Kardashians, Kylie Jenner walionekana pamoja baada ya tuzo za ‘American Music Awards’ Jumapili iliyopita, ikiashiria kuwa wamemaliza matatizo waliyokuwa nayo.
Tyga aliyekuwa amevaa suti ya blue pamoja na Kylie aliyekuwa amevaa kivazi cheupe walionekana wakiwa wameshikana mikono baada ya tuzo hizo.
Wakati wakipanda gari ili kuelekea kwenye after party ya Justin Bieber, paparazzi...
10 years ago
TheCitizen21 Oct
IMF mulls action to fix Dar Budget after aid cut
9 years ago
Habarileo30 Dec
Mpango akataa kuwa Waziri ombaomba
WAZIRI wa Fedha na Mipango, Dk Philip Mpango amesema kamwe hatapenda kuwa waziri ombaomba wa fedha, bali atahakikisha anaelekeza nguvu katika kukusanya kodi ili nchi iweze kujitosheleza kwa mapato ya ndani.