Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Cathy Akataa Ndoa Yake Kuwa ‘Action And Cut’

Mambo ya ndoa! Mwigizaji wa kitambo ambaye ni zao la kundi la zamani la Nyota Ensembels lililokuwa likirusha michezo yake kupitia Runinga ya ITV, Sabrina Rupia ‘Cathy’ amefunguka kuwa yeye ni msanii lakini maisha ya kisanii hayapeleki kwenye ndoa yake kwani ndoa siyo mambo ya ‘action and cut’ kama wanavyofanya lokesheni.

Cathy ameliambia Ijumaa Wikienda kwamba, ndoa nyingi za mastaa huwa hazidumu kwa sababu huchukua maisha ya nje ya ndoa na kuyapeleka kwenye ndoa ndipo wanapojikuta...

Bongo Movies

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

GPL

CATHY AKATAA NDOA YAKE KUWA ‘ACTION AND CUT’

Imelda Mtema Mambo ya ndoa! Mwigizaji wa kitambo ambaye ni zao la kundi la zamani la Nyota Ensembels lililokuwa likirusha michezo yake kupitia Runinga ya ITV, Sabrina Rupia ‘Cathy’ amefunguka kuwa yeye ni msanii lakini maisha ya kisanii hayapeleki kwenye ndoa yake kwani ndoa siyo mambo ya ‘action and cut’ kama wanavyofanya lokesheni. Mwigizaji wa kitambo, Sabrina Rupia ‘Cathy’. Cathy...

 

11 years ago

GPL

NDOA YA CATHY YACHOKONELEWA

Na Imelda Mtema
MKONGWE Bongo Movies, Sabrina Rupia ‘Cathy’ amefunguka kuwa kuna mwanamke ambaye anaichokonoa ndoa yake kwa nia ya kuivunja. Sabrina Rupia ‘Cathy’. Akizungumza na mwandishi wetu, Cathy alisema amechunguza na kugundua kuna mwanamke ambaye anatuma meseji kwa mumewe na kwake kwa lengo la kuwagombanisha. “Anatumia kila njia kuisambaratisha ndoa yangu, anajisumbua, najua ni mwanamke...

 

11 years ago

GPL

CATHY: MIAKA 13 YA NDOA NIACHIKE, MH!

Stori: GLADNESS MALLYA MSANII mkongwe kunako gemu la filamu Bongo, Sabrina Rupia ‘Cathy’ amefunguka kuwa hawezi kuachika kwenye ndoa yake iliyodumu kwa miaka 13 na wanaosubiri aachwe, watasubiri sana. Msanii mkongwe kunako gemu la filamu Bongo, Sabrina Rupia ‘Cathy’. Akizungumza na paparazi wetu juzi Cathy alisema kuwa, amekuwa akizushiwa kwamba anatoka nje ya ndoa na wasanii tofauti lakini hayo ni...

 

10 years ago

GPL

MAWIFI WAITIKISA NDOA YA CATHY

Stori: Gladness Mallya NDOA ya msanii mkongwe wa filamu Bongo, Sabrina Rupia ‘Cathy’ ipo katika mtikisiko mkubwa kufuatia mawifi zake kumpenda zaidi mwanamke aliyezaa na mumewe kabla hajaolewa. Msanii mkongwe wa filamu Bongo, Sabrina Rupia ‘Cathy’. Chanzo makini kinasema Cathy yupo katika wakati mgumu kwani amesimama na mumewe tu na hakuna hata wifi mmoja ambaye anamkubali, bali wote wameelekeza nguvu...

 

11 years ago

GPL

CATHY: USTAA KWENYE NDOA NI TATIZO

Na Rhoda Josiah MSANII maarufu katika tasnia ya filamu Bongo, Sabrina Rupia ’Cathy’ amewataka wasanii wenzake kutofanya ustaa kwenye ndoa zao kwani ndiyo chanzo cha kuvunjika kwa ndoa nyingi. Msanii maarufu katika tasnia ya filamu Bongo, Sabrina Rupia ’Cathy’. Akipiga stori na paparazi wetu, Cathy alisema kabla ya kuolewa lazima uwe na utayari wa kuolewa na kujuana kwa undani zaidi na mwenzio kabla...

 

11 years ago

GPL

CATHY AFUNGUKA MCHEPUKO KATIKA NDOA

  Makala: Gabriel Ng’osha TUNAENDELEA na makala haya ambayo tuliyaanza wiki mbili zilizopita, mwigizaji Sabrina Rupia ‘Cathy’ anafunguka hatua mbalimbali ambazo alipitia katika maisha yake.
Mwandishi: Kwa nini uliamua kufanya shughuli za ufugaji? Mwigizaji  wa Bongo Muvi, Sabrina Rupia ‘Cathy’. Cathy: Ufugaji na kilimo ni vitu ambavyo vimo kwenye damu, nimezaliwa na kukulia mashambani na...

 

9 years ago

Bongo5

Baada ya kurudiana Kylie Jenner athibitisha kuwa ndoa yake na Tyga inakuja

West Hollywood, CA - Kylie Jenner is back with her boyfriend, Tyga, after a short break-up during his birthday. They were seen arriving together at The Nice Guy for Justin Bieber's party where Kylie leaned on Tyga's shoulder to get out of their limo bus.

MANDATORY CREDIT: Maciel/Roger/AKM-GSI
 
 AKM-GSI November 22, 2015
 
 To License These Photos, Please Contact :
 
 Steve Ginsburg
 (310) 505-8447
 (323) 423-9397
 steve@akmgsi.com
 sales@akmgsi.com
 
 or
 
 Maria Buda
 (917) 242-1505
 mbuda@akmgsi.com
 ginsburgspalyinc@gmail.com

Baada ya kudaiwa kuachana siku chache zilizopita, rapper Tyga na mrembo kutoka kwenye familia maarufu ya The Kardashians, Kylie Jenner walionekana pamoja baada ya tuzo za ‘American Music Awards’ Jumapili iliyopita, ikiashiria kuwa wamemaliza matatizo waliyokuwa nayo.

tyga-2

Tyga aliyekuwa amevaa suti ya blue pamoja na Kylie aliyekuwa amevaa kivazi cheupe walionekana wakiwa wameshikana mikono baada ya tuzo hizo.

tyga-4

Wakati wakipanda gari ili kuelekea kwenye after party ya Justin Bieber, paparazzi...

 

10 years ago

TheCitizen

IMF mulls action to fix Dar Budget after aid cut

>The International Monetary Fund said it was working with the government to review this year’s budget performance following the decision by donors to withhold $558 million (nearly Sh1 trillion) in aid due to corruption concerns in the power sector.

 

9 years ago

Habarileo

Mpango akataa kuwa Waziri ombaomba

WAZIRI wa Fedha na Mipango, Dk Philip Mpango amesema kamwe hatapenda kuwa waziri ombaomba wa fedha, bali atahakikisha anaelekeza nguvu katika kukusanya kodi ili nchi iweze kujitosheleza kwa mapato ya ndani.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani