Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CATHY: USTAA KWENYE NDOA NI TATIZO

Na Rhoda Josiah MSANII maarufu katika tasnia ya filamu Bongo, Sabrina Rupia ’Cathy’ amewataka wasanii wenzake kutofanya ustaa kwenye ndoa zao kwani ndiyo chanzo cha kuvunjika kwa ndoa nyingi. Msanii maarufu katika tasnia ya filamu Bongo, Sabrina Rupia ’Cathy’. Akipiga stori na paparazi wetu, Cathy alisema kabla ya kuolewa lazima uwe na utayari wa kuolewa na kujuana kwa undani zaidi na mwenzio kabla...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

NATASHA: USTAA KWENYE NDOA NI TATIZO

Stori: Gladness Mallya NENO! Mwigizaji wa kitambo Bongo, Suzan Lewis ‘Natasha’ amewataka wasanii wenzake kuachana na tabia ya kuingiza ustaa kwenye ndoa, jambo ambalo linasababisha kuwa na sifa mbaya ya kutodumu kwenye ndoa. Mwigizaji wa kitambo Bongo, Suzan Lewis ‘Natasha’ akiwa na mwanaye ,'Monalisa'. Akichonga na mwanahari wetu, Natasha alisema kuwa sababu ya ndoa za mastaa wengi kuvunjika ni...

 

11 years ago

GPL

NDOA YA CATHY YACHOKONELEWA

Na Imelda Mtema
MKONGWE Bongo Movies, Sabrina Rupia ‘Cathy’ amefunguka kuwa kuna mwanamke ambaye anaichokonoa ndoa yake kwa nia ya kuivunja. Sabrina Rupia ‘Cathy’. Akizungumza na mwandishi wetu, Cathy alisema amechunguza na kugundua kuna mwanamke ambaye anatuma meseji kwa mumewe na kwake kwa lengo la kuwagombanisha. “Anatumia kila njia kuisambaratisha ndoa yangu, anajisumbua, najua ni mwanamke...

 

11 years ago

GPL

CATHY: MIAKA 13 YA NDOA NIACHIKE, MH!

Stori: GLADNESS MALLYA MSANII mkongwe kunako gemu la filamu Bongo, Sabrina Rupia ‘Cathy’ amefunguka kuwa hawezi kuachika kwenye ndoa yake iliyodumu kwa miaka 13 na wanaosubiri aachwe, watasubiri sana. Msanii mkongwe kunako gemu la filamu Bongo, Sabrina Rupia ‘Cathy’. Akizungumza na paparazi wetu juzi Cathy alisema kuwa, amekuwa akizushiwa kwamba anatoka nje ya ndoa na wasanii tofauti lakini hayo ni...

 

10 years ago

GPL

MAWIFI WAITIKISA NDOA YA CATHY

Stori: Gladness Mallya NDOA ya msanii mkongwe wa filamu Bongo, Sabrina Rupia ‘Cathy’ ipo katika mtikisiko mkubwa kufuatia mawifi zake kumpenda zaidi mwanamke aliyezaa na mumewe kabla hajaolewa. Msanii mkongwe wa filamu Bongo, Sabrina Rupia ‘Cathy’. Chanzo makini kinasema Cathy yupo katika wakati mgumu kwani amesimama na mumewe tu na hakuna hata wifi mmoja ambaye anamkubali, bali wote wameelekeza nguvu...

 

11 years ago

GPL

CATHY AFUNGUKA MCHEPUKO KATIKA NDOA

  Makala: Gabriel Ng’osha TUNAENDELEA na makala haya ambayo tuliyaanza wiki mbili zilizopita, mwigizaji Sabrina Rupia ‘Cathy’ anafunguka hatua mbalimbali ambazo alipitia katika maisha yake.
Mwandishi: Kwa nini uliamua kufanya shughuli za ufugaji? Mwigizaji  wa Bongo Muvi, Sabrina Rupia ‘Cathy’. Cathy: Ufugaji na kilimo ni vitu ambavyo vimo kwenye damu, nimezaliwa na kukulia mashambani na...

 

9 years ago

Bongo Movies

Cathy Akataa Ndoa Yake Kuwa ‘Action And Cut’

Mambo ya ndoa! Mwigizaji wa kitambo ambaye ni zao la kundi la zamani la Nyota Ensembels lililokuwa likirusha michezo yake kupitia Runinga ya ITV, Sabrina Rupia ‘Cathy’ amefunguka kuwa yeye ni msanii lakini maisha ya kisanii hayapeleki kwenye ndoa yake kwani ndoa siyo mambo ya ‘action and cut’ kama wanavyofanya lokesheni.

Cathy ameliambia Ijumaa Wikienda kwamba, ndoa nyingi za mastaa huwa hazidumu kwa sababu huchukua maisha ya nje ya ndoa na kuyapeleka kwenye ndoa ndipo wanapojikuta...

 

9 years ago

GPL

CATHY AKATAA NDOA YAKE KUWA ‘ACTION AND CUT’

Imelda Mtema Mambo ya ndoa! Mwigizaji wa kitambo ambaye ni zao la kundi la zamani la Nyota Ensembels lililokuwa likirusha michezo yake kupitia Runinga ya ITV, Sabrina Rupia ‘Cathy’ amefunguka kuwa yeye ni msanii lakini maisha ya kisanii hayapeleki kwenye ndoa yake kwani ndoa siyo mambo ya ‘action and cut’ kama wanavyofanya lokesheni. Mwigizaji wa kitambo, Sabrina Rupia ‘Cathy’. Cathy...

 

10 years ago

GPL

TATIZO LA KUWAHI KUMALIZA TENDO LA NDOA

Tatizo hili hutokea kwa baadhi ya wanaume ambapo anapata msisimko mapema au mara tu anapoanza tendo la ndoa na kumfanya amalize muda huohuo, yaani muda usiozidi hata dakika tatu. Tunaposema kamaliza tendo ni kwamba anafikia kilele au mshindo na kutoa manii. Wanaume wenye hali hii wakati mwingine hutoa manii hata kwa msuguano mdogo endapo ataguswa au kugusana na mwanamke na akijenga hisia hata kwenye msongamano atajikuta tayari...

 

11 years ago

GPL

TATIZO LA KUTOPATA RAHA WAKATI WA TENDO LA NDOA

Wapo ambao wakati wanapofanya mapenzi badala ya kupata raha, husikia maumivu, mwanaume katika uume lakini ni mara chache sana kulinganisha na wanawake. Mwanamke ndiye husumbuliwa zaidi na tatizo hili. Mwanamke anaweza kukosa raha kabisa na matokeo yake kuumia wakati tendo linapoanza pale mwanzoni ukeni au kwa ndani zaidi. Maumivu haya pia yanaweza kugawanyika katika makundi mawili. Kwanza ni maumivu wakati wa tendo ambayo ndiyo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani