NATASHA: USTAA KWENYE NDOA NI TATIZO
![](http://api.ning.com:80/files/8QOPGYNO0tievgT15LtKoGIaFSf4sl5WgiJq-GYOgxWG7qZHBxWIa9HJSxCjb3vlrzZb*IStG9fTaf-q9ZNSzZ8rpqobiPrk/natasha.jpg)
Stori: Gladness Mallya NENO! Mwigizaji wa kitambo Bongo, Suzan Lewis ‘Natasha’ amewataka wasanii wenzake kuachana na tabia ya kuingiza ustaa kwenye ndoa, jambo ambalo linasababisha kuwa na sifa mbaya ya kutodumu kwenye ndoa. Mwigizaji wa kitambo Bongo, Suzan Lewis ‘Natasha’ akiwa na mwanaye ,'Monalisa'. Akichonga na mwanahari wetu, Natasha alisema kuwa sababu ya ndoa za mastaa wengi kuvunjika ni...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/FsV0PLw632pMjQP5EjC2lpZnJdefY7Yn*B3uxIWkE9hKwpS8DGrNDqYpUuh0LKypVy8QFc5kuOjue*9PMuavjdBpZERWr6JF/4.jpg?width=650)
CATHY: USTAA KWENYE NDOA NI TATIZO
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-RqNAtEJNzLw/VJyok7p8Z8I/AAAAAAADSiQ/O7LaZlJH5uE/s72-c/10173712_1537247396502117_8209725982127745919_n.jpg)
NATASHA SHAYROSE WIMBO WAKE MWINGINE HUU HAPA JIPAKULIE NATASHA MTANZANIA YUPO NORWAY
![](http://2.bp.blogspot.com/-RqNAtEJNzLw/VJyok7p8Z8I/AAAAAAADSiQ/O7LaZlJH5uE/s1600/10173712_1537247396502117_8209725982127745919_n.jpg)
http://www.soundcloud.com/natashashyrosehttp://www.myspace.com/blackrose52http://www.oddisbold.comhttp://natasha-shyrose.blogspot.no. Ukitaka kujua zaidi kuhusu na Natasha tembelea kwenye hizo link na utakudundua kipaji chake siyo cha kubahatisha.
9 years ago
Mtanzania23 Nov
Natasha: Majina ya Kiingereza kwenye filamu yana mvuto
MWIGIZAJI wa siku nyingi nchini, Susan Humba ‘Natasha’, amesema wazalishaji wa filamu wengi wa Tanzania walikuwa wakitumia majina ya Kiingereza kwenye filamu zao kwa madai kwamba huvutia yanapotamkwa tofauti na ya Kiswahili.
“Wazalishaji wa filamu hizo walikuwa wakidai kwamba majina hayo huvutia kutamkwa mfano ‘My love’, inavuta na inatamkika vema kuliko ‘Mpenzi wangu’.
Hata hivyo, alieleza kwamba miaka ya sasa wengi wamebadilisha hulka hiyo na kutumia majina ya Kiswahili yenye maana husika...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jK7-NTyuxfC6Wh2HHOr*bT2iiROEfI-JPgKz2IxrwAlnVIs2dydwrkEYBpjYkL64JWQAEHS2LiFhPinSsl9GG6oIHglWgJz8/Chanzochatatizolakukosanyege.jpg?width=650)
TATIZO LA KUWAHI KUMALIZA TENDO LA NDOA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/cPakA0chAExaViGwTSub4gzTPyGnwZDnQCkOWdcUMVTzpNx0AIpGjJSivSSAUvL*ljxbhZargqaFb*BAqLEnRg637m0GVIhg/painsex1.jpg?width=650)
TATIZO LA KUTOPATA RAHA WAKATI WA TENDO LA NDOA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/79xb1yI4El8CPJa8OpgcNndBjGTq7PtKaSn5FumfLv2gJc0ahHSZEq2NLg-7K8u5JQT*tRPqAcDvxSRBFtovlq3UwJCYatZC/how_to_deal_with_a_bad_break_up.jpg?width=650)
TATIZO LA KUWAHI KUFIKA KILELENI NA KUVUNJIKA KWA NDOA!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/cGEsfZahF3uChV-MrSK4adiZqj0M0oD7oFKLO8fVmPovaM-sthnIq6KeN3oJQWtG3ey6gPVWjv9*5THWFwe*3WbokuW56tHy/how_to_deal_with_a_bad_break_up.jpg)
TATIZO LA KUWAHI KUFIKA KILELENI NA KUVUNJIKA KWA NDOA-2
11 years ago
Mwananchi24 Jan
SAIKOLOJIA&UTAFITI: Tatizo la wanaume dhaifu linavyohatarisha ndoa
11 years ago
Tanzania Daima22 Jul
Usimamizi tatizo kwenye mikoa
MIKOA nchini bado inakabiliwa na changamoto ya usimamizi kwenye mamlaka za serikali za mitaa ambazo ndizo msingi wa kutoa huduma kwa wananchi. Kauli hiyo ilitolewa jana na Makamu wa Pili...