Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


NATASHA: USTAA KWENYE NDOA NI TATIZO

Stori: Gladness Mallya NENO! Mwigizaji wa kitambo Bongo, Suzan Lewis ‘Natasha’ amewataka wasanii wenzake kuachana na tabia ya kuingiza ustaa kwenye ndoa, jambo ambalo linasababisha kuwa na sifa mbaya ya kutodumu kwenye ndoa. Mwigizaji wa kitambo Bongo, Suzan Lewis ‘Natasha’ akiwa na mwanaye ,'Monalisa'. Akichonga na mwanahari wetu, Natasha alisema kuwa sababu ya ndoa za mastaa wengi kuvunjika ni...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

CATHY: USTAA KWENYE NDOA NI TATIZO

Na Rhoda Josiah MSANII maarufu katika tasnia ya filamu Bongo, Sabrina Rupia ’Cathy’ amewataka wasanii wenzake kutofanya ustaa kwenye ndoa zao kwani ndiyo chanzo cha kuvunjika kwa ndoa nyingi. Msanii maarufu katika tasnia ya filamu Bongo, Sabrina Rupia ’Cathy’. Akipiga stori na paparazi wetu, Cathy alisema kabla ya kuolewa lazima uwe na utayari wa kuolewa na kujuana kwa undani zaidi na mwenzio kabla...

 

10 years ago

Vijimambo

NATASHA SHAYROSE WIMBO WAKE MWINGINE HUU HAPA JIPAKULIE NATASHA MTANZANIA YUPO NORWAY


http://www.soundcloud.com/natashashyrosehttp://www.myspace.com/blackrose52http://www.oddisbold.comhttp://natasha-shyrose.blogspot.no. Ukitaka kujua zaidi kuhusu na Natasha tembelea kwenye hizo link na utakudundua kipaji chake siyo cha kubahatisha.

 

9 years ago

Mtanzania

Natasha: Majina ya Kiingereza kwenye filamu yana mvuto

NatashaMWIGIZAJI wa siku nyingi nchini, Susan Humba ‘Natasha’, amesema wazalishaji wa filamu wengi wa Tanzania walikuwa wakitumia majina ya Kiingereza kwenye filamu zao kwa madai kwamba huvutia yanapotamkwa tofauti na ya Kiswahili.

“Wazalishaji wa filamu hizo walikuwa wakidai kwamba majina hayo huvutia kutamkwa mfano ‘My love’, inavuta na inatamkika vema kuliko ‘Mpenzi wangu’.

Hata hivyo, alieleza kwamba miaka ya sasa wengi wamebadilisha hulka hiyo na kutumia majina ya Kiswahili yenye maana husika...

 

10 years ago

GPL

TATIZO LA KUWAHI KUMALIZA TENDO LA NDOA

Tatizo hili hutokea kwa baadhi ya wanaume ambapo anapata msisimko mapema au mara tu anapoanza tendo la ndoa na kumfanya amalize muda huohuo, yaani muda usiozidi hata dakika tatu. Tunaposema kamaliza tendo ni kwamba anafikia kilele au mshindo na kutoa manii. Wanaume wenye hali hii wakati mwingine hutoa manii hata kwa msuguano mdogo endapo ataguswa au kugusana na mwanamke na akijenga hisia hata kwenye msongamano atajikuta tayari...

 

11 years ago

GPL

TATIZO LA KUTOPATA RAHA WAKATI WA TENDO LA NDOA

Wapo ambao wakati wanapofanya mapenzi badala ya kupata raha, husikia maumivu, mwanaume katika uume lakini ni mara chache sana kulinganisha na wanawake. Mwanamke ndiye husumbuliwa zaidi na tatizo hili. Mwanamke anaweza kukosa raha kabisa na matokeo yake kuumia wakati tendo linapoanza pale mwanzoni ukeni au kwa ndani zaidi. Maumivu haya pia yanaweza kugawanyika katika makundi mawili. Kwanza ni maumivu wakati wa tendo ambayo ndiyo...

 

10 years ago

GPL

TATIZO LA KUWAHI KUFIKA KILELENI NA KUVUNJIKA KWA NDOA!

JAMBO hili la kuwahi kufika kileleni limeshakuwa ni tatizo kubwa sana ndani ya jamii na linakuwa na madhara makubwa sana kwenye familia zetu, mara nyingi husababisha kuvunjika kwa ndoa. Kama tulivyozungumza katika makala iliyopita kwenye upande wa dalili na visababishi basi ni vema kabisa ukiwa na dalili zifuatazo ukawahi mapema matibabu ili kujenga familia iliyo bora kabisa:
Tatizo lenyewe kuwahi kufika kileleni ni dalili ya...

 

10 years ago

GPL

TATIZO LA KUWAHI KUFIKA KILELENI NA KUVUNJIKA KWA NDOA-2

Wiki iliyoipita tuliishia katika  kipengele cha tatu cha tatizo la kisaikolojia.
Tuendelee… Ndoa nyingi zimekua zikivunjika kwa sababu mbali mbali lakini sababu kubwa na imekua ikitokea kwa watu wengi sana ni sababu ya kutokushiriki vizuri tendo la ndoa na mara nyingi inapotokea kwa wanaume. Kuwahi kufika kileleni limekua ni tatizo kubwa sana ambalo linawasumbua watu wengi sana na husababisha ndoa nyingi sana...

 

11 years ago

Mwananchi

SAIKOLOJIA&UTAFITI: Tatizo la wanaume dhaifu linavyohatarisha ndoa

>Ni vigumu kufahamu haya, lakini ndio ukweli kuwa kuna kasi ya kuongezeka kwa wanaume dhaifu nchini na ulimwengu kwa ujumla.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Usimamizi tatizo kwenye mikoa

MIKOA nchini bado inakabiliwa na changamoto ya usimamizi kwenye mamlaka za serikali za mitaa ambazo ndizo msingi wa kutoa huduma kwa wananchi. Kauli hiyo ilitolewa jana na Makamu wa Pili...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani