TATIZO LA KUWAHI KUFIKA KILELENI NA KUVUNJIKA KWA NDOA!
![](http://api.ning.com:80/files/79xb1yI4El8CPJa8OpgcNndBjGTq7PtKaSn5FumfLv2gJc0ahHSZEq2NLg-7K8u5JQT*tRPqAcDvxSRBFtovlq3UwJCYatZC/how_to_deal_with_a_bad_break_up.jpg?width=650)
JAMBO hili la kuwahi kufika kileleni limeshakuwa ni tatizo kubwa sana ndani ya jamii na linakuwa na madhara makubwa sana kwenye familia zetu, mara nyingi husababisha kuvunjika kwa ndoa. Kama tulivyozungumza katika makala iliyopita kwenye upande wa dalili na visababishi basi ni vema kabisa ukiwa na dalili zifuatazo ukawahi mapema matibabu ili kujenga familia iliyo bora kabisa: Tatizo lenyewe kuwahi kufika kileleni ni dalili ya...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/cGEsfZahF3uChV-MrSK4adiZqj0M0oD7oFKLO8fVmPovaM-sthnIq6KeN3oJQWtG3ey6gPVWjv9*5THWFwe*3WbokuW56tHy/how_to_deal_with_a_bad_break_up.jpg)
TATIZO LA KUWAHI KUFIKA KILELENI NA KUVUNJIKA KWA NDOA-2
9 years ago
Global Publishers17 Dec
Sababu 6 za wanaume kuwahi kufika kileleni -4
Kama tulivyoona, wiki iliyopita tuliishia katika kuliangalia kwa undani tatizo hili la mwanaume kuwahi kufika kileleni kuwa ni kuhusu kuwa na mbegu chache za kiume.
unaposema mbegu ni chache kuliko kiwango ni kwamba unatoa kiwango cha mbegu za kiume chini ya milioni kumi na tano, kila tendo moja.
Kiwango hicho kikiwa chini ya hapo, basi uwezekano wa kumpa mwanamke mimba haupo na badala yake unafanya tu tendo la ndoa lakini uwezo wa kusababisha ujauzito haupo. Sasa endelea na mada yetu ili...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jK7-NTyuxfC6Wh2HHOr*bT2iiROEfI-JPgKz2IxrwAlnVIs2dydwrkEYBpjYkL64JWQAEHS2LiFhPinSsl9GG6oIHglWgJz8/Chanzochatatizolakukosanyege.jpg?width=650)
TATIZO LA KUWAHI KUMALIZA TENDO LA NDOA
10 years ago
Vijimambo04 Mar
AENDA JELA KWA KUWAHI KUFIKA KAZINI MAPEMA
![](http://media.cmgdigital.com/shared/img/photos/2015/03/03/f8/42/mcgill.jpg)
Mwendesha lori la kuzoa taka kwenye majumba ya watu mji wa Sandy Spring jimbo la Georgia nchini Marekani anatakiwa kwenda jela wikiendi 14 kwa kisa ni kuwahi kuchukua taka mida ya saa 11 asubuhi badala ya saa 1 asubuhi.na kuwapigia watu kelele wakiwa wamelala.
Kervin McGill yeye mwenyewe alibaki mdomo wazi baada ya kusomewa mashitaka kwamba anapochukua taka saa 11 asubuhi anawapigia kelele waliolala na inakua usumbufu kwa wengine na majirani hao...
11 years ago
CloudsFM01 Aug
NAAZIZ AANIKA CHANZO CHA KUVUNJIKA KWA NDOA YAKE
First Lady wa The East African Bashment Crew, kundi linaloundwa na wasanii kutoka nchi za Uganda, Bebe Cool na Kenya, Wyre na Naaziz ambaye hivi karibuni alidondoka bongo kwa ajili ya Listening Party ya album ya Mzee Mnyama Tid, 255 ya clouds fm ilipata nafasi ya kuzungumza naye japo anakuaga mgumu wa kutiririka mambo yake, 255 ilimshawishi mwanadada huyu ambaye mwishoni mwa mwaka jana ndoa yao ilitangazwa kuvunjika, chanzo kilikua nini naaziz.
Aidha miezi kadhaa iliyopita habari zilizagaa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/2qI9QjpEOxwV48Ap1slAUjBX2aGdCNAd1MkUc*jlAWism9rc7AoSAseL0Wj6zVQC0Kn1o74nAfaHyb5hBrnmkvLd5jcoFJqu/dida1.jpg?width=650)
NDOA YA DIDA KUVUNJIKA;
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/czF6wJsbSj0vilvVKdJti74FO1l*IeXHX3E83QG0g8UvFi50WxWbGH8lnKAT1yE4sePUleH0sSJJzUHEODqfKdrhkj8PHxAz/maimatha.jpg?width=650)
NDOA YA MAIMARTHA YANUSURIKA KUVUNJIKA
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/oCcq6Ci9RxY/default.jpg)
10 years ago
GPL25 May