Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


AENDA JELA KWA KUWAHI KUFIKA KAZINI MAPEMA

Kevin McGill anatarajiwa kwende jela wiki 14.
Mwendesha lori la kuzoa taka kwenye majumba ya watu mji wa Sandy Spring jimbo la Georgia nchini Marekani anatakiwa kwenda jela wikiendi 14 kwa kisa ni kuwahi kuchukua taka mida ya saa 11 asubuhi badala ya saa 1 asubuhi.na kuwapigia watu kelele wakiwa wamelala.
Kervin McGill yeye mwenyewe alibaki mdomo wazi baada ya kusomewa mashitaka kwamba anapochukua taka saa 11 asubuhi anawapigia kelele waliolala na inakua usumbufu kwa wengine na majirani hao...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

TATIZO LA KUWAHI KUFIKA KILELENI NA KUVUNJIKA KWA NDOA!

JAMBO hili la kuwahi kufika kileleni limeshakuwa ni tatizo kubwa sana ndani ya jamii na linakuwa na madhara makubwa sana kwenye familia zetu, mara nyingi husababisha kuvunjika kwa ndoa. Kama tulivyozungumza katika makala iliyopita kwenye upande wa dalili na visababishi basi ni vema kabisa ukiwa na dalili zifuatazo ukawahi mapema matibabu ili kujenga familia iliyo bora kabisa:
Tatizo lenyewe kuwahi kufika kileleni ni dalili ya...

 

10 years ago

GPL

TATIZO LA KUWAHI KUFIKA KILELENI NA KUVUNJIKA KWA NDOA-2

Wiki iliyoipita tuliishia katika  kipengele cha tatu cha tatizo la kisaikolojia.
Tuendelee… Ndoa nyingi zimekua zikivunjika kwa sababu mbali mbali lakini sababu kubwa na imekua ikitokea kwa watu wengi sana ni sababu ya kutokushiriki vizuri tendo la ndoa na mara nyingi inapotokea kwa wanaume. Kuwahi kufika kileleni limekua ni tatizo kubwa sana ambalo linawasumbua watu wengi sana na husababisha ndoa nyingi sana...

 

9 years ago

Global Publishers

Sababu 6 za wanaume kuwahi kufika kileleni -4

couplesKama tulivyoona, wiki iliyopita tuliishia katika kuliangalia kwa undani tatizo hili la mwanaume kuwahi kufika kileleni kuwa ni kuhusu kuwa na mbegu chache za kiume.

unaposema mbegu ni chache kuliko kiwango ni kwamba unatoa kiwango cha mbegu za kiume chini ya milioni kumi na tano, kila tendo moja.

Kiwango hicho kikiwa chini ya hapo, basi uwezekano wa kumpa mwanamke mimba haupo na badala yake unafanya tu tendo la ndoa lakini uwezo wa kusababisha ujauzito haupo. Sasa endelea na mada yetu ili...

 

10 years ago

Mtanzania

Farijala aenda jela tena kwa EPA

Na Kulwa Mzee, Dar es Salaam

MFANYABIASHARA Farijala Hussein aliyemaliza kifungo kwa kuiba fedha za akaunti ya EPA, amehukumiwa tena kwenda jela baada ya kupatikana na hatia katika kesi nyingine ya wizi wa zaidi ya Sh milioni 400 katika akaunti hiyo.

Vilio vilitawala katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam baada ya Farijala kuhukumiwa kwenda jela miaka mitatu kwa kila kosa na kurudisha zaidi ya Sh milioni 400. Mahakama ilimpa adhabu Farijala ya kwenda jela jumla ya miaka...

 

10 years ago

Vijimambo

WAFANAYAKAZI WA UWANJA WA NDEGE SONGWE WACHELEWAJI KUFIKA KAZINI ABIRIA WALEO ALFAJIRI WASOTA KWA MASAA WAKIWASUBIRI WAFANYAKAZI HAO

Songwe international Reporting time 6.15am Basi la airport staff linafika 07.40 am likiwa na wafanyakazi hivi kweli ndiyo utaratibu wa kazi?Abiria wakiwa wameduwaa wala hawajui wa kumuuliza kuwa ndege ipo au la poleni sana abiria wa leo asubuhiFoleni ya mabegi hakuna wa kukagua kazi ipo jee huu ni uungwana? kuwasotesha Abiria namna hii?

 

10 years ago

Vijimambo

MFANYAKAZI WA NDANI ALIYEMTESA MTOTO UGANDA AENDA JELA MIAKA 4

Jolly Tumuhirwe (22).
HAUSIGELI aliyenaswa kwenye video akimtesa mtoto nchini Uganda, amehukumiwa kwenda jela miaka minne katika mahakama moja nchini humo.
Jolly Tumuhirwe wakati akimtesa mtoto Arnella mwenye miezi 18.
Mfanyakazi huyo Jolly Tumuhirwe (22) aliiambia mahakama kuwa anajutia kile alichokifanya na anaomba msamaha kwa familia na jamii nzima.
Amehukumiwa kwa kosa la kumtesa mtoto Arnella mwenye miezi 18.

 

11 years ago

Mwananchi

Hongera kwa Wazanzibari kuwahi fursa

Siku moja kabla na baada ya mwaka mpya nilikuwa Unguja. Kuna mazuri na yanayotia moyo nayaona yakifanywa na Watanzania wenzetu kule katika kuboresha utalii wa ndani na kuvutia watalii wa kutoka nje.

 

11 years ago

Mwananchi

FALSAFA MBADALA: Waelimike mapema badala ya kuzaa mapema

Mimba kwa wasichana wadogo ni miongoni mwa sababu zinazowakatisha masomo wasichana wengi hapa Tanzania.

 

10 years ago

Habarileo

Afya wajivuna kufika lengo la Milenia kwa watoto

WAZIRI wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk Seif Seleman Rashid amesema serikali imefikia Malengo ya Milenia ya kupunguza kupunguza vifo vya watoto chini ya umri wa miaka mitano kwa theluthi mbili kutoka mwaka 1995 hadi 2015.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani