AENDA JELA KWA KUWAHI KUFIKA KAZINI MAPEMA
Kevin McGill anatarajiwa kwende jela wiki 14.
Mwendesha lori la kuzoa taka kwenye majumba ya watu mji wa Sandy Spring jimbo la Georgia nchini Marekani anatakiwa kwenda jela wikiendi 14 kwa kisa ni kuwahi kuchukua taka mida ya saa 11 asubuhi badala ya saa 1 asubuhi.na kuwapigia watu kelele wakiwa wamelala.
Kervin McGill yeye mwenyewe alibaki mdomo wazi baada ya kusomewa mashitaka kwamba anapochukua taka saa 11 asubuhi anawapigia kelele waliolala na inakua usumbufu kwa wengine na majirani hao...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/79xb1yI4El8CPJa8OpgcNndBjGTq7PtKaSn5FumfLv2gJc0ahHSZEq2NLg-7K8u5JQT*tRPqAcDvxSRBFtovlq3UwJCYatZC/how_to_deal_with_a_bad_break_up.jpg?width=650)
TATIZO LA KUWAHI KUFIKA KILELENI NA KUVUNJIKA KWA NDOA!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/cGEsfZahF3uChV-MrSK4adiZqj0M0oD7oFKLO8fVmPovaM-sthnIq6KeN3oJQWtG3ey6gPVWjv9*5THWFwe*3WbokuW56tHy/how_to_deal_with_a_bad_break_up.jpg)
TATIZO LA KUWAHI KUFIKA KILELENI NA KUVUNJIKA KWA NDOA-2
9 years ago
Global Publishers17 Dec
Sababu 6 za wanaume kuwahi kufika kileleni -4
Kama tulivyoona, wiki iliyopita tuliishia katika kuliangalia kwa undani tatizo hili la mwanaume kuwahi kufika kileleni kuwa ni kuhusu kuwa na mbegu chache za kiume.
unaposema mbegu ni chache kuliko kiwango ni kwamba unatoa kiwango cha mbegu za kiume chini ya milioni kumi na tano, kila tendo moja.
Kiwango hicho kikiwa chini ya hapo, basi uwezekano wa kumpa mwanamke mimba haupo na badala yake unafanya tu tendo la ndoa lakini uwezo wa kusababisha ujauzito haupo. Sasa endelea na mada yetu ili...
10 years ago
Mtanzania28 Apr
Farijala aenda jela tena kwa EPA
Na Kulwa Mzee, Dar es Salaam
MFANYABIASHARA Farijala Hussein aliyemaliza kifungo kwa kuiba fedha za akaunti ya EPA, amehukumiwa tena kwenda jela baada ya kupatikana na hatia katika kesi nyingine ya wizi wa zaidi ya Sh milioni 400 katika akaunti hiyo.
Vilio vilitawala katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam baada ya Farijala kuhukumiwa kwenda jela miaka mitatu kwa kila kosa na kurudisha zaidi ya Sh milioni 400. Mahakama ilimpa adhabu Farijala ya kwenda jela jumla ya miaka...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-iGGjqR9Ngeo/VLTTZKocV-I/AAAAAAAAyS4/z0m_H3XoQAs/s72-c/10342890_10153501536612971_2725750368417533822_n.jpg)
WAFANAYAKAZI WA UWANJA WA NDEGE SONGWE WACHELEWAJI KUFIKA KAZINI ABIRIA WALEO ALFAJIRI WASOTA KWA MASAA WAKIWASUBIRI WAFANYAKAZI HAO
![](http://3.bp.blogspot.com/-iGGjqR9Ngeo/VLTTZKocV-I/AAAAAAAAyS4/z0m_H3XoQAs/s640/10342890_10153501536612971_2725750368417533822_n.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-vT6Q8AiFHuI/VLTTaigEbfI/AAAAAAAAyTI/0rEn9AjXrtE/s640/10906033_10153501536512971_7923252858331797919_n.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-C_blzpl0PRA/VLTTfqikY9I/AAAAAAAAyTQ/eYtD1IOfyR8/s640/10930912_10153501536687971_3684894397407205348_n.jpg)
10 years ago
Vijimambo15 Dec
MFANYAKAZI WA NDANI ALIYEMTESA MTOTO UGANDA AENDA JELA MIAKA 4
![](http://api.ning.com/files/zXiKii5t5tuI60C5jJXhkQduOvSlOs9UXQWxFg7foWZRDRxOppckSNAG928HWlFyC3MlN1wKC9roO9WjN9Q-eNQhZddd*WiU/hausigeli.jpg)
HAUSIGELI aliyenaswa kwenye video akimtesa mtoto nchini Uganda, amehukumiwa kwenda jela miaka minne katika mahakama moja nchini humo.
![](http://api.ning.com/files/zXiKii5t5tuD-AtotXeNYmjuTLjr-m9h*kJgyjlTC4ss*n9B23EqmSNwGrl34zAK1EIf2FJeZgxFUgm73DmXesiLsbsAP48U/Monstermaidkicks.png)
Mfanyakazi huyo Jolly Tumuhirwe (22) aliiambia mahakama kuwa anajutia kile alichokifanya na anaomba msamaha kwa familia na jamii nzima.
Amehukumiwa kwa kosa la kumtesa mtoto Arnella mwenye miezi 18.
11 years ago
Mwananchi09 Jan
Hongera kwa Wazanzibari kuwahi fursa
11 years ago
Mwananchi24 Jun
FALSAFA MBADALA: Waelimike mapema badala ya kuzaa mapema
10 years ago
Habarileo27 Sep
Afya wajivuna kufika lengo la Milenia kwa watoto
WAZIRI wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk Seif Seleman Rashid amesema serikali imefikia Malengo ya Milenia ya kupunguza kupunguza vifo vya watoto chini ya umri wa miaka mitano kwa theluthi mbili kutoka mwaka 1995 hadi 2015.