Farijala aenda jela tena kwa EPA
Na Kulwa Mzee, Dar es Salaam
MFANYABIASHARA Farijala Hussein aliyemaliza kifungo kwa kuiba fedha za akaunti ya EPA, amehukumiwa tena kwenda jela baada ya kupatikana na hatia katika kesi nyingine ya wizi wa zaidi ya Sh milioni 400 katika akaunti hiyo.
Vilio vilitawala katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam baada ya Farijala kuhukumiwa kwenda jela miaka mitatu kwa kila kosa na kurudisha zaidi ya Sh milioni 400. Mahakama ilimpa adhabu Farijala ya kwenda jela jumla ya miaka...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo04 Mar
AENDA JELA KWA KUWAHI KUFIKA KAZINI MAPEMA

Mwendesha lori la kuzoa taka kwenye majumba ya watu mji wa Sandy Spring jimbo la Georgia nchini Marekani anatakiwa kwenda jela wikiendi 14 kwa kisa ni kuwahi kuchukua taka mida ya saa 11 asubuhi badala ya saa 1 asubuhi.na kuwapigia watu kelele wakiwa wamelala.
Kervin McGill yeye mwenyewe alibaki mdomo wazi baada ya kusomewa mashitaka kwamba anapochukua taka saa 11 asubuhi anawapigia kelele waliolala na inakua usumbufu kwa wengine na majirani hao...
10 years ago
Vijimambo15 Dec
MFANYAKAZI WA NDANI ALIYEMTESA MTOTO UGANDA AENDA JELA MIAKA 4

HAUSIGELI aliyenaswa kwenye video akimtesa mtoto nchini Uganda, amehukumiwa kwenda jela miaka minne katika mahakama moja nchini humo.

Mfanyakazi huyo Jolly Tumuhirwe (22) aliiambia mahakama kuwa anajutia kile alichokifanya na anaomba msamaha kwa familia na jamii nzima.
Amehukumiwa kwa kosa la kumtesa mtoto Arnella mwenye miezi 18.
5 years ago
Bongo514 Feb
Jela yamuita tena Chris Brown
Chris Brown ameibua msala mpya ambao unaweza kumletea hatari kubwa ya kumpeleka jela.
Muimbaji huyo Jumatatu hii alihudhuria katika klabu ya usiku ya Aja Channelside iliyopo mjini Florida lakini alijikuta akiibua jambo jipya baada ya kumpiga ngumi mpiga picha mmoja aliyefahamika kama Bennie Vines aliyekuwa akipiga picha ukumbini hapo.
Imedaiwa kuwa wakati Chris alipokuwa katika klabu hiyo wainzi wake waliwakataza wapiga picha wote kumpiga picha msanii huyo huku uongozi wa klabu hiyo ya Aja...
9 years ago
Bongo510 Dec
Meek Mill kurudi tena jela?

Huenda furaha ya Meek Mill kumchumbia mpenzi wake Nicki Minaj ikaingia dosari Jumanne ijayo atakapopanda kizimbani huko Philadelphia.
Mtandao wa Page Six umedai kuwa Mill atapanda kizimbani kwenye kesi kuhusu masharti ya kusafiri.
Chanzo kimeiambia Page Six kuwa akilemaa anaweza kurudi tena jela.
Mwaka jana msanii huyo alilazimika kusitisha show zake baada ya kuhukumiwa kifungo cha miezi sita jela kwa kukiuka masharti ya probation.
Awali Mill alipewa probation ya miaka mitano mwaka 2009...
10 years ago
Bongo528 Sep
DMX aachiwa kutoka jela, lakini anaweza kurudishwa tena!
9 years ago
Bongo518 Dec
Meek Mill kurudi tena jela, apatikana na hatia za kukiuka masharti ya probation

Mambo si mazuri kwa Meek Mill.
Rapper huyo wa Philadelphia, Alhamis hii alipanda kizimbani na kujitetea mbele za jaji kuwa amebadilika.
Wakati wa utetezi wake, Meek alimuingiza pia mpenzi wake Nicki Minaj: I’m not a gangsta. I’m not a criminal,” alisema. I have my queen, Nicki now. I’m trying to do better and feel like I can be the best rapper alive.”
Hata hivyo jaji hakushawishisha na utetezi wake na alimkuta na hatia ya kukiuka masharti ya probation na kuitaja Feb 5 kama siku ya...
10 years ago
Mwananchi06 Feb
Rais wa Ujerumani aacha gumzo,aenda Zanzibar kwa boti
9 years ago
Bongo525 Nov
Hanscana aenda Afrika Kusini kutafuta connection za kimataifa na kuongeza ujuzi kwa Justin Campos (picha)

Muongozaji na mtayarishaji wa video Hanscana yuko nchini Afrika Kusini, alikoenda kwaajili ya kuongeza ujuzi pamoja na kutafuta connection za kuwezesha kazi zake zifike kwenye vituo vya runinga vya kimataifa.
Hanscana akiwa an Justin Campos na mkewe Candice
Wiki hii Hanscana amekuwa akipost picha mbalimbali Instagram akiwa na director Justin Campos na mke wake Candice Campos ambaye pia ni producer wa video wa kampuni ya Gorilla Films.
Hanscana amepiga story na Bongo 5 na ametueleza...