Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Jela yamuita tena Chris Brown

Chris Brown ameibua msala mpya ambao unaweza kumletea hatari kubwa ya kumpeleka jela.

Muimbaji huyo Jumatatu hii alihudhuria katika klabu ya usiku ya Aja Channelside iliyopo mjini Florida lakini alijikuta akiibua jambo jipya baada ya kumpiga ngumi mpiga picha mmoja aliyefahamika kama Bennie Vines aliyekuwa akipiga picha ukumbini hapo.

Imedaiwa kuwa wakati Chris alipokuwa katika klabu hiyo wainzi wake waliwakataza wapiga picha wote kumpiga picha msanii huyo huku uongozi wa klabu hiyo ya Aja...

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Chris Brown aongezwa muda jela

Mwanamuziki wa Marekani Chris Brown atasalia jela kwa siku nyingine 131 baada ya kukiri kukiuka amri ya mahakama kuhusu kifungo cha nje alichokuwa amepewa na mahakama.

 

9 years ago

Bongo5

Chris Brown aukwaa msala mwingine tena

Chris-Brown-PNG

Chris Brown ni mtuhumiwa wa kumpiga na kumjeruhi mtu pamoja na wizi uliotokea Jumamosi iliyopita kwenye kiota cha Palms Casino Resort, jijini Las Vegas.

Chris-Brown-PNG

Polisi wanadaiwa kuitwa hapo asubuhi na walimkuta mwanamke aliyekuwa na majereha mwilini mwake kufuatia kupigwa.

Kwa mujibu wa The Hollywood Reporter, mwanamke huyo anadai kupigwa na Chris Brown baada ya kuchukua simu yake kupiga naye picha. Anadai kuwa muimbaji huyo alichukua simu yake.

Mwakilishi wa Brown alidai kuwa tuhuma hizo si za...

 

9 years ago

MillardAyo

Matatu ya kujua kutoka kwa Chris Brown >>> Radio na Muziki, kuitwa superstaa + Maisha ya jela!

Staa wa muziki wa R&B kutoka Marekani, Chris Brown anashikilia headlines za burudani na album yake mpya, ROYALTY. Nimekutana na interview aliyofanya Chris siku chache zilizopita na humo ndani amegusia vitu vingi ikiwemo mchango wa station za radio kwenye muziki wake, mtazamo wake wa kuwa na kuitwa superstaa na maisha aliyoishi akiwa jela. Haya ndio […]

The post Matatu ya kujua kutoka kwa Chris Brown >>> Radio na Muziki, kuitwa superstaa + Maisha ya jela! appeared first on...

 

10 years ago

Bongo5

Picha: Memphis Depay aonekana tena na Ex wa Chris Brown, Karrueche Tran

Mchezaji wa Manchester United, Memphis Depay ameonekana kwa mara nyingine akila bata na aliyekuwa mpenzi wa staa wa R&B Chris Brown, Karrueche Tran jijini Manchester. Tetesi za wawili hao kuwa pamoja zilianza baada ya kuanza kuonekana pamoja miezi michache iliyopita nchini Marekani. Wawili hao walionekana tena usiku wa Jumapili wakiwa pamoja wakitoka kwenye club moja […]

 

11 years ago

Bongo5

Chris Brown apigwa chini tena na mpenzi wake Karrueche Tran kisa Rihanna!

Button ya uhusiano wa mwimbaji Chris Brown na mrembo wake Karrueche Tran imewekwa ‘Off’ kwa mara nyingine na sababu ni Rihanna. Siku chache zilizopita kuna shabiki mmoja alipost picha ya Chris Brown akiwa kitandani na Rihanna na kumtag Breezy ambaye naye ali ‘like’, kwa mujibu wa TMZ hiyo ni moja ya sababu ya Karrueche ku’switch […]

 

10 years ago

Bongo5

Chris Brown aachana tena na Karrueche Tran, atangaza jukwaani kuwa yupo single (Video)

Kwa mara nyingine Chris Brown na mpenzi wake Karrueche Tran wameachana, lakini safari hii Chris mwenyewe ameamua kutoa taarifa hiyo akiwa jukwaani mbele ya mashabiki kwa kusema kuwa yupo single. Breezy ametoa habari hiyo akiwa jukwaani kwenye show ya Cali Christmas ya Power 106 iliyofanyika Ijumaa Dec 5. “How many single ladies we got in […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani